Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

Status
Not open for further replies.
Hivi hakuna namna ya kuanzisha chama mbadala ya CCM kitakachokuwa kinaongelea maslahi ya nchi nzima zaidi ya chadema kilichojikita kwenye ishu za kikabila?
 
IQ ya mbowe ni ndogo sana. Kama mwenyekiti wa chama kinachoheshimika hatakiwi kusema kitu kama hicho hadharani tena analalamika kwa mtu ambaye hayuko hai tena. Kwanini hakusema wakati yuko hai ili ikiwa kuja ukweli aangalie namna ya kurekebisha? Anamfokea marehemu? Huyu jamaa inakuwaje aisee!!
Ndio sababu unaona watu wanapata kuanza kuulizana ulizana makabila sasa. Itafika mahali chuki itaenea na boss akiwa mchaga hata ajili msukuma! Na wasukuma wakilijua hilo hawatawapa nafasi wachaga. Hii kansa ni mbaya na hatari sana. Huyu mbowe anataka kuangamiza taifa hili kwa kukosa umakini na busara.
Kitu ambacho hajajua ni kuwa wachaga ni moja ya makabila yaliyosambaa sana kufanya biashara mbalimbali karibu nchi nzima. Wakianzisha ubaguzi huu, ukishika mizizi ninachojua itahama kutoka kwenye ajira kwenda kwenye biashara. Baadae itafika kwa mtu na mtu.
Angalia mijadala tu sasa watu wanaulizana fulani kabila gani au dini gani? Haya mambo yanahitaji umakini na kuyakemea. Watu wapate nafasi kwa sifa zao na uwezo wao ila sio dini wala kabila.
 
Chunga Sana mwanasiasa anapoelekeo ukingoni mwa umaarufu wake na mwisho wa siasa zake, kitakachofuata ni kujiropokea tu kama huyu mshenzi asiyejua kwamba, hapo anaowahutubia ni wasukuma, wachaga, waha, wapare na kila kabila liko hapo,

Huyu ni wa kusususiwa na kila mwenye akili timamu sasa
 
Mbowe mjinga sana ametuudhi sana wasukuma mpumbavu huyu tutamuonyesha kuwa sisi hatujawahi kushindwa mbona Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini
Tunamsubiri kanda ya ziwa tutatunza hii clip.Na atajua kuwa siasa hajui. Amesahau kuwa wakati waziri mramba akiwa waziri wa fedha.Ndaniel yona alikuwa waziri wa uwekezaji na Rita mlaki akiwa waziri wa viwanda na biashara
 
Naamnini mbowe anajua anachozungumza kuliko nyie mnapiga kelele tu.
 
Siamini Mbowe anaweza kuongea uchafu kama huu ..
 
Hapa TZ hakuna wabaguzi wakubwa kama wachaga pia ni wapiga madili sana ndiyo maana Hayati Magufuli aliwanyoosha na amefanya wana kanda ya ziwa kuwatambua wachaga walivyowabaguzi na kesho nilikiwa nimepanga kumuuzia eneo langu mchaga pale maeneo ya Kisesa nimegaili kabisaaa na kuanzia leo sitakuwa na ukaribu na mchaga yeyote!
Unateseka bure. Wachagga watakjja kukununua kabisa na ww mwenyewe
 
Kwani ni uongo ndugu zangu,maendeleo yaliyokuwepo kaskazini yanafanana na yaliyokuwepo kigoma,iringa na mtwara na kwingine? Hata hivyo kwa Nini umeiacha mistari mitatu baadae ya hiyo uliyoizungushia? Ili unacho maanisha kipate maana kamili acheni uhuni.
Kwani uwanja wa ndege nduli upo usukumani eneo gani vile?
Upo Chato kitovuni kwa ibilis magufuli mfu
 
Yaani unataka kuamini utumishi walikuwa hawashortlist wachaga? Mbona kuna wachaga kibao waliajiriwa na utumishi na sio vyema kuweka list humu.
Siyo vema sana kuongelea mambo ya ukabila hapa Tanzania, lakini kwa hakika vitendo vya Rais Magufuli vinatulazimisha tuingie huko.

Magufuli alikuwa very clear katika chuki yake dhidi ya Wachagga. Unaweza kuelewa chuki yake kwa kiasi fulani. Nyerere alikutana na "The Chagga Problem" katika elimu. Kutokana na uchagani kuwepo shule nyingi za msingi, Wachagga wengi zaidi walikuwa wakiingia sekondari kuliko makabila mengine. Hili lilikuwa bomu. Nyerere akaja na solution. Quota system. Idadi maalum ikagawanywa kila mkoa, ili kutoa fursa sawa kwa mikoa yote, hata kama inamaanisha kuna vijana wa kichaga waliofaulu vizuri wataachwa ili kuchukua wa mikoa mingine wenye ufaulu wa chini.

Nyerere alifanya haya bila chuki yoyote dhidi ya Wachagga.

Magu ni tofauti. Alibomoa Kimara kwa ukatili usio na kipimo, akijua wamejaa Wachagga, wakati kule Mwanza alisitisha bomoabomoa, akitangaza bila aibu, mchana kweupe, MSIWABOMOLEE HAWA WALINIPA KURA!!
Magufuli alichukia sana Wachagga. Maeneo mengi kawaondoa, lakini badala yake kajaza wasukuma wengi mno, na kwa hiyo hatatui chochote, bali anatia chumvi nyingi mno kwenye kidonda.

Wakati Nyerere alikuwa anapambana na ukabila, Magu kaurejesha kwa kasi
 
Nonsense
Anasema waliajiriwa wasukuma tuu
Apo apo anawatetea wachaga tu na anasema yeye ni mchaga

Swali
Kama waliajiriwa wasukuma tu Vipi Kuhusu makabila mengine ?
Tanzania inamakabila mangapi ?
Kama yeye sio mbaguzi na fikra duni mbona hajayasemea makabila mengine!?

Nae ni kaburu tu !
 
Siyo vema sana kuongelea mambo ya ukabila hapa Tanzania, lakini kwa hakika vitendo vya Rais Magufuli vinatulazimisha tuingie huko.

Magufuli alikuwa very clear katika chuki yake dhidi ya Wachagga. Unaweza kuelewa chuki yake kwa kiasi fulani. Nyerere alikutana na "The Chagga Problem" katika elimu. Kutokana na uchagani kuwepo shule nyingi za msingi, Wachagga wengi zaidi walikuwa wakiingia sekondari kuliko makabila mengine. Hili lilikuwa bomu. Nyerere akaja na solution. Quota system. Idadi maalum ikagawanywa kila mkoa, ili kutoa fursa sawa kwa mikoa yote, hata kama inamaanisha kuna vijana wa kichaga waliofaulu vizuri wataachwa ili kuchukua wa mikoa mingine wenye ufaulu wa chini.

Nyerere alifanya haya bila chuki yoyote dhidi ya Wachagga.

Magu ni tofauti. Alibomoa Kimara kwa ukatili usio na kipimo, akijua wamejaa Wachagga, wakati kule Mwanza alisitisha bomoabomoa, akitangaza bila aibu, mchana kweupe, MSIWABOMOLEE HAWA WALINIPA KURA!!
Magufuli alichukia sana Wachagga. Maeneo mengi kawaondoa, lakini badala yake kajaza wasukuma wengi mno, na kwa hiyo hatatui chochote, bali anatia chumvi nyingi mno kwenye kidonda.

Wakati Nyerere alikuwa anapambana na ukabila, Magu kaurejesha kwa kasi
Mkuu kuliongelea swala la chuki za magufuli dhidi ya wachaga na hata wahaya nimewasikia wakilalamika kuchukiwa na magufuli haliwezi kuwa relevant kwa sasa kwani ameshafariki, labda kama una hoja kwamba wachaga wanachukiwa na kila rais atakayekuja na serikali nzima..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom