Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Amewahi kumtukana sana zamani, labda wewe ni mgeni mjini au ulikuwa bado mdogo.

Hata hivyo, hiyo haifanyi January asiweze kumtumia Mange against yeyote kwasasa kwasababu, Mwamvita ameshapatana na Mange, means Mange na January kwasasa ni ✅

Hata pia, hii haifanyi Mange ashindwe kuja kumtusi Januari in the future, huyo ndio mange huwa anamtukana yeyote, muda wowote kwasababu yoyote. Na huwa anatumiwa na yeyote, muda wowote kwasababu yoyote.

Wakati wako ukifika, tulia dawa ikuingie.

Mnadili na a certified bipolar woman.
Mange ni kichaa yani ukiwa na akili timamu upaswi kuwa na urafiki na Mange au kumkaribia huyo ni chizi na chizi hana mipaka kabisa! Huyu anamtukana na anatoa siri zozote zile hana siri huyu kichaa kikimpanda anakutaja…..
Viongozi wengi wanashindwa kunkemea kwa kuwa wanamuogopa sana na pengine wanajua anawajua ndio maana hawathubutu kumsema yani mpaka Makonda alivyosema kuna wanao mtuma ndio unaona watu wanajifanya wanaumizwa …hivi hao viongozi kwanini hadi leo hawajamkemea ?
 
Kwa namna nchi ilivyoharibiwa.sisi wazalendo tunafurahi wakiwa wanatukanwa ili wajijue kabisa kuwa nchi yetu wameiharibu tofauti na wanavyodanganywa na chawa wao.
 
Either hajui au anapotosha kwa makusudi, Hii ni vita ya Urais ndiyo, mtu anaweza kujiuliza ni kivipi wakati Mama lazima amalize muda wake? Ndio maana huyo uliyomqoute ameisisitiza hii point, ukweli ni kuwa January is now 50 of age, rafu anayocheza ni kumuomba mama asigombee mwakani kusudi agombee yeye, kwasababu kumuacha mama agombee mwakani ni kumfanya Januari asubiri miaka mingine 15 ndipo aje agombee (kama Mungu atamjalia). Hii uncertainty ndiyo inayowafanya hiyo team wafosi kuachiwa kugombea 2025.

Ni kweli kuwa kinachoendelea ni vita ya Urais, ielekewe hivyo.
Ndio maana naamini Makonda hajasema kwa bahati mbaya ni wazi katumwa kusema ili kuwavuruga ili wajue mipango na mbinu zao zimeanza kujulikana…..lazima tujiulize kwanini Makonda kasema jana tena mbele ya Rais? Ni bahati mbaya? Na ilikuwa ina uhusiano gani?
Mtu asiyeifahamu CCM ndio anaweza kushangaa mwana CCM kumtumia mtu kumtukana kiongozi…yani Wana CCM wanapeana hadi Sumu ndio washindwe kufanya yanayofanywa?
Mange ana backup ya watu
 
Watu imara hawababaishwi na vitu vidogo kama matusi
Maneno hajawahi kuvunja mfupa
Ningekuwa rais ningemuacha aseme kadiri inavyomfaa ningezuia mtu yoyote kuandika habari, kujadili habari zake kama hivi

Lakini usalama wa nchi wajitafakari kushindwa kudeal na mtu kama yule ni kuonyesha udhaifu mkubwa sana kama taifa



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Watu imara hawababaishwi na vitu vidogo kama matusi
Maneno hajawahi kuvunja mfupa
Ningekuwa rais ningemuacha aseme kadiri inavyomfaa ningezuia mtu yoyote kuandika habari, kujadili habari zake kama hivi

Lakini usalama wa nchi wajitafakari kushindwa kudeal na mtu kama yule ni kuonyesha udhaifu mkubwa sana kama taifa



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Labda wanaona raha
 
Haya mambo yamenizidia huyu Mange Kimambi anamdhalilisha sana Rais wetu na baadhi ya Watanzania wanafurahia kabisa kuona mambo haya hii ni aibu kwa Taifa letu, Rais anavyotukanwa manake tunatukanwa Watanzania wote, hainingii akilini kawmba Watanzania tumekuwa dhaifu kiasi hiki. Kwamba hatuwezi kumwajibisha huyu Mange. Anapokaa panajulikana.

Jamani naomba mniambie kwani Marekani matusi yanaruhusiwa kumtukana mtu sio uvunjaji wa sheria wala sio tatizo kwanini Waziri wa Mambo ya nje anashindwa kukutana na ubarozi wa Marekani wakazungumza kuhusu hili jambo. Kama Mange anataka kukosoa akosoe, sio kutukana matusi. Naamini hata Marekani matusi ni kosa yule anajivunia matusi hoja mnaweza mkabishana sio matusi!

January Makamba jitahidi kuwasiliana na mamlaka zinazohusika ili kukomesha tabia ya Mange ya matusi ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.

Nachukia sana kumwona Rais wangu anadhalilishwa hata kama natofautiana naye kwenye baadhi ya mambo.
Akitukanwa rais ni kama tumetukanwa watanzania wote? Acha uongo mzee!
 
Hizi zote ni consipiracy shida ni kwamba watu mmeanza lalamika zama hizi. Na kipindi cha Kikwete je alikuwa analipwa na nani. Maana hakuna awamu amabayo hajaishambulia labda ya Mkapa na akina mwinyi kwa sababu alikuwa mdogo na mitandao haikuwepo.
Awamu ya Magufuli ilianza anamsifia, baadaye akaanza kumshambulia. Same hata hii awamu. Same awamu ya Kikwete.
Wewe unayeelewa hebu tuambie kigogo ni nani na mbona kama mnafahamu hadi leo mmeshindwa kumkamata na abdo anaendelea mashambulizi. Mlianza mara January, ikaenda mkaanza mara nape yani kigogo ashakuwa watu mbalimbali.
Mange hata siku moja hakuwahi kumtukana Kikwete!! Marehemu Kimambi baba yake mzazi Mange alikuwa rafiki wa karibu sana wa Kikwete hivyo Kikwete kwa Mange alikuwa baba yake!
Kama unao lete ushahidi wa Mange akimtukana kaka wa Msoga!
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Tatizo wapumbavu ninyi hamjui tofauti ya matusi na ukosoaji. Hebu tupe mfano wa hayo matusi tafadhali
 
Mtu akikufatilia kwa muda mrefu post zako thread hii, inawezekana ukawa proxy ya January kweli, kuna kitu unalazimisha sana na kukitetea sana. Kwanini unalazimisha kwa nguvu zote kwamba 2025 lolote haliwezi kutokea!?,tumekuuliza hapa unaijua siasa vizuri!?,hujajibu.. ila watu wakikwambia ugomvi huu ni wa Uraisi 2025 unakuja juu sana kusema hawana ushahidi, waweza kuhisi upo mbele ya wengine kumbe katikati ya mistari yako unasomeka kirahisi sana.
Anaweza akawa ndo yeye maana january hata akili huwa hana... Yule anabebwa tu na ccm lakini mtupu sana. Hana kitu kabisa.
 
Watu wanawaza 2025

Acha kuwa mjinga
Mjinga ni wewe ambaye unadhani kuna mjinga yeyote ambaye ni mteule wa Samia anaweza kudhubutu kuchukua fomu kumchallenge wakati akijua fika lazima Samia amalize vipindi viwili. Hizo ni fikra zako mwenyewe na fomu washasema inatoka moja.
 
Yapo mengi yanalipwa kumpamba mr March
Mtu akikufatilia kwa muda mrefu post zako thread hii, inawezekana ukawa proxy ya January kweli, kuna kitu unalazimisha sana na kukitetea sana. Kwanini unalazimisha kwa nguvu zote kwamba 2025 lolote haliwezi kutokea!?,tumekuuliza hapa unaijua siasa vizuri!?,hujajibu.. ila watu wakikwambia ugomvi huu ni wa Uraisi 2025 unakuja juu sana kusema hawana ushahidi, waweza kuhisi upo mbele ya wengine kumbe katikati ya mistari yako unasomeka kirahisi sana.
 
Anajifanya mwanadiplomasia ati[emoji16]

Anatutuliza sisi wajinga tusijue 2025 wanataka kupindua mesa

Kikwete ametuletea watu wa ajabu sana hadi kina upara wanataka urais
Mkuu hiyo ya lazima Samia amalize vipindi viwili umeisoma wapi!?,kwanini unakomaa watu wakariri hivyo!?,unaficha nini nyuma ya pazia?,wewe ni Mungu?,una guarantee gani ya maisha kwa kiongozi yeyote!?,michango yako sio ya wachangiaji wa kawaida JF, una ajenda za siri nyuma yako, mwanzoni sikugundua hilo, kuna vitu unakomalia sana hadi umeshtukiwa.
 
Hajawahi kumtukana kwa lolote huwa longolongo tu kujifanya hawapatani

Km akaunt ya kigogo huwa anajitukana utashaangaa kwa mange?

Amewahi kumtukana sana zamani, labda wewe ni mgeni mjini au ulikuwa bado mdogo.

Hata hivyo, hiyo haifanyi January asiweze kumtumia Mange against yeyote kwasasa kwasababu, Mwamvita ameshapatana na Mange, means Mange na January kwasasa ni [emoji736]

Hata pia, hii haifanyi Mange ashindwe kuja kumtusi Januari in the future, huyo ndio mange huwa anamtukana yeyote, muda wowote kwasababu yoyote. Na huwa anatumiwa na yeyote, muda wowote kwasababu yoyote.

Wakati wako ukifika, tulia dawa ikuingie.

Mnadili na a certified bipolar woman.
 
Huyu Binti kwanza ni mwana ccm mimi huwashangaa wanaojiita wapinzani kumshabikia. Ikiwa anaweza kumtukana Raisi aliepo madarakani jua kuwa anaweza kumtukana yoyote hata Mbowe

Alafu ni mpuuzi sana ni mtu aliokosa adabu, heshima, a very sadist person. Kudhalilisha watu ndio furaha yake.

Kueneza siri za watu hadharani, picha za watu za utupu, kutukana watu matusi hayo ndio maisha yake.

Tatizo sio yeye tatizo ni wanaomshabikia, wanaojozana kwenye page zake na hiyo app yake, hao ndio wanaompa kichwa na kiburi akijiona mtu mkubwa na wamana.
 
Samia aliaminishwa Rais magufuli ni mbaya

Akabeba zile chuki

Kupiga picha na mange ilikuwa kuwakomoa wafuasi wa magufuli

Lkn rember the karma
Na ndio maana CDF mstaafu alithibitisha sio mtu wa kwanza kuambia msiba, huyu ndio alikuwa anahujumu na kupeleka information kwa hakina kigogo, na mange.

Karma!
 
Back
Top Bottom