Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Um
Either hajui au anapotosha kwa makusudi, Hii ni vita ya Urais ndiyo, mtu anaweza kujiuliza ni kivipi wakati Mama lazima amalize muda wake? Ndio maana huyo uliyomqoute ameisisitiza hii point, ukweli ni kuwa January is now 50 of age, rafu anayocheza ni kumuomba mama asigombee mwakani kusudi agombee yeye, kwasababu kumuacha mama agombee mwakani ni kumfanya Januari asubiri miaka mingine 15 ndipo aje agombee (kama Mungu atamjalia). Hii uncertainty ndiyo inayowafanya hiyo team wafosi kuachiwa kugombea 2025.

Ni kweli kuwa kinachoendelea ni vita ya Urais, ielekewe hivyo.
Umesema wewe nani akupinge. But check me pm tafadhali.
Mh. My akaunti imepata shida and I lost pia the contact! Tafadhali Mama.....
 
Bwana mdogo nisikilize kwa makini

Mzee kikwete na mzee kimambi walikuwa maswaiba

Kikwete alipokuwa rais,alimchukua makamba ikulu

Na makamba na kimambi walikuwa karibu kiasi kwamba akamshawishi mange aje agombee ubunge wa viti maalumu jimbo la kinondoni km sikosei ila alipigwa chini kura za ndani ya chama

Na ilivyo January alikuwa anamtumia sana kufanikisha mambo yake

Ile kumtukana matusi madogo madogo ni kuzuga tu (tusijue ushirikiano wao)

Makamba na mange hawajawahi kugombana


Ndio maana unaweza kuta ile account ya kigogo inamtukana makamba,zito nape ila nyuma ya pazia ndio wao[emoji16]
Sasa hapo ndipo unaharibu kabisa, Hata tukimuacha Januari pembeni, Kikwete na Ridhiwani wameshatukanwa sana kwenye blog, wewe unazungumzia huo udugu wa makopa wa Kikwete na Kimambi, wakati Mange hata ndugu zake wa kuzaliwa akina Anili ameshawatukana sana?

Hayo ya kigogo mimi siyajui, the topic here is Mange kimambi na uhusika wa wanaomtuma kumtukana Mama Samia, which most of us tunakubali kuwa yawezekana ni January na genge lake, ikaja hoja yakuwa mbona hata January ameshawahi kutukanwa na Mange sana? (Hiki ndicho unachokikataa wewe) Wengine tukaconclude hata kama Mange ameshamtukana January sana hapo kale (akatoa na ushahidi wa January kuhusika na Scam moja hivi) bado haiondoi ukweli kuwa baada ya kupatana anaweza mtumia pia. Kigumu kwako kuelewa ninini hapa?

I see umetoka kwenye “hajawahi kumtukana” hadi “hawajawahi kugombana”.

Unajaribu kucontrol hii narration kwa maslahi ya nani? Your ego is too big to accept that you fuc*** up in your first comment.

Ciao.
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Samahani kwa kusema haya ila inabidi niseme tu ukweli kuwa jamii ya Kitanzania ni jamii ya kijinga, watu wengi wanapenda majungu, wana chuki, wapenzi wa udaku, na hawana akili za maendeleo
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Kiongozi kutukanwa, wananchi kumtukana kiongozi, ni sehemu ya haki ya binadamu na uhuru wa kujieleza.

Kama mtu hataki kutukanwa asigombee uongozi.
 
Ila hata kama siyo President ni mke wa mtu na ni mama .

Hii siyo sawa.

Hivi huo usalama wa taifa huwa wao hawana Instagram ?
Hata mimi nineshangaa mtu anataja jina kabisa fulani acha kufanya hivi na fulani mmmh nimeogopa hii si kweli
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Walianza wenyewe kuwadhalilisha wapinzani Sasa yamewarudia hapo Nani wakulaumiwa? Au wapinzani walipokua wanakandwa ulikia hauumii? Waswahili wanasema muosha huoshwa ndio Mana unapoona vitendo viovu jitahidi kukemea iwe imetokea kwako au kwa mwengine Ila ukijifanya haikuhusu siku ikirudi kwako unatakiwa kupokea kwa mikono miwili,kinachotokea leo nimatokeo ya ujinga wakufumbia macho maovu kwakudhani upo salama bila kujua kesho itakua zamu ya Nani tujifunze kuheshimu utu kwa yoyote kwakua binadamu wote ni ndugu
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Hasira mlizo nazi mgezihamishishia kudai katiba mpya na tume huru huenda bandari na ngorongoro visingruzws
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Watu wakiongea vizuri na Mange atamtaja anayemtuma !
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai !! 🙏
 
Kiongozi kutukanwa, wananchi kumtukana kiongozi, ni sehemu ya haki ya binadamu na uhuru wa kujieleza.

Kama mtu hataki kutukanwa asigombee uongozi.
Kweli mkuu, Sasa mtu km mama samia akitukanwa yeye anapata hasara gani mbona anakula mema ya nchi... Hv mtu km mama Samia tukisema tubadilishane maisha mm niende ikulu nikatukanwe yeye achukue maisha yangu atakubali!!!!

Watu mbona wanakuza sana mambo, mbona mama samia amefanya maisha yetu yamekua magumu mpaka watu wanatudharau na wake zetu kututukana, hii haijakaa sawa maana mama samia huwa anawatukana wananchi kila siku indirectly.... Ameuza bandari zetu, kodi kila mahali, maisha magumu... Hayo yote ni zaidi ya matusi...
 
Kweli mkuu, Sasa mtu km mama samia akitukanwa yeye anapata hasara gani mbona anakula mema ya nchi... Hv mtu km mama Samia tukisema tubadilishane maisha mm niende ikulu nikatukanwe yeye achukue maisha yangu atakubali!!!!

Watu mbona wanakuza sana mambo, mbona mama samia amefanya maisha yetu yamekua magumu mpaka watu wanatudharau na wake zetu kututukana, hii haijakaa sawa maana mama samia huwa anawatukana wananchi kila siku indirectly.... Ameuza bandari zetu, kodi kila mahali, maisha magumu... Hayo yote ni zaidi ya matusi...
1.Rais ni political figure.
2.Rais kutukanwa kimsingi ni political speech.
3.Wananchi wanatakiwa kuwa na haki ya kikatiba kufanya political speech
4. Wananchi wanatakiwa kuwa na haki ya kikatiba kumtukana rais.
 
Huyu Binti kwanza ni mwana ccm mimi huwashangaa wanaojiita wapinzani kumshabikia. Ikiwa anaweza kumtukana Raisi aliepo madarakani jua kuwa anaweza kumtukana yoyote hata Mbowe

Alafu ni mpuuzi sana ni mtu aliokosa adabu, heshima, a very sadist person. Kudhalilisha watu ndio furaha yake.

Kueneza siri za watu hadharani, picha za watu za utupu, kutukana watu matusi hayo ndio maisha yake.

Tatizo sio yeye tatizo ni wanaomshabikia, wanaojozana kwenye page zake na hiyo app yake, hao ndio wanaompa kichwa na kiburi akijiona mtu mkubwa na wamana.
Mange ni ishara ya maelezi ya mtoto yaliyofeli nchini mwetu. Nyumbani, shuleni, nk. Ni ajabu kuona nchi inaingiza mtaala WA dini, na kuona mitalaa ya maelezi, na makuzi ya mtoto sio muhimu. Nchi zinazojielewa zinaanzania kumlea mtoto toka akiwa mtoto.

Dini peke yake.hataweza kumlea mtoto. Dunia imebadirika Sana
 
Haya mambo yamenizidia huyu Mange Kimambi anamdhalilisha sana Rais wetu na baadhi ya Watanzania wanafurahia kabisa kuona mambo haya hii ni aibu kwa Taifa letu, Rais anavyotukanwa manake tunatukanwa Watanzania wote, hainingii akilini kawmba Watanzania tumekuwa dhaifu kiasi hiki. Kwamba hatuwezi kumwajibisha huyu Mange. Anapokaa panajulikana.

Jamani naomba mniambie kwani Marekani matusi yanaruhusiwa kumtukana mtu sio uvunjaji wa sheria wala sio tatizo kwanini Waziri wa Mambo ya nje anashindwa kukutana na ubarozi wa Marekani wakazungumza kuhusu hili jambo. Kama Mange anataka kukosoa akosoe, sio kutukana matusi. Naamini hata Marekani matusi ni kosa yule anajivunia matusi hoja mnaweza mkabishana sio matusi!

January Makamba jitahidi kuwasiliana na mamlaka zinazohusika ili kukomesha tabia ya Mange ya matusi ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.

Nachukia sana kumwona Rais wangu anadhalilishwa hata kama natofautiana naye kwenye baadhi ya mambo.
Ni aibu yake mwenyewe wala sio aibu yetu Watanzania wote, tafadhali sana. Hivi Rais wa Marekani alipokuwa na kasha ya kufanya ngono na mfanyakazi wake wa Ikulu, ile ilikua ni aibu ya Wamarekani wote? Acheni bhange
 
Viongozi wetu wajitafakari wawajibike kurudisha heshima zao, ukiona watu wanafurahia means wanamtazamo sawa na aliyetukana ni vile wao hawawez kuongea km yeye... Siungi mkono kbs watu kuwatukana viongozi wao kwan nao n binadamu wanaweza wakafny vbaya zaid na kuharibu badal ya kujenga.
 
Back
Top Bottom