Umtama Mula
Senior Member
- Jan 11, 2021
- 171
- 496
Um
Mh. My akaunti imepata shida and I lost pia the contact! Tafadhali Mama.....
Umesema wewe nani akupinge. But check me pm tafadhali.Either hajui au anapotosha kwa makusudi, Hii ni vita ya Urais ndiyo, mtu anaweza kujiuliza ni kivipi wakati Mama lazima amalize muda wake? Ndio maana huyo uliyomqoute ameisisitiza hii point, ukweli ni kuwa January is now 50 of age, rafu anayocheza ni kumuomba mama asigombee mwakani kusudi agombee yeye, kwasababu kumuacha mama agombee mwakani ni kumfanya Januari asubiri miaka mingine 15 ndipo aje agombee (kama Mungu atamjalia). Hii uncertainty ndiyo inayowafanya hiyo team wafosi kuachiwa kugombea 2025.
Ni kweli kuwa kinachoendelea ni vita ya Urais, ielekewe hivyo.
Mh. My akaunti imepata shida and I lost pia the contact! Tafadhali Mama.....