Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.

Unaingia madarakani kwa kupora uchaguzi, yaani kuutukana uchaguzi, halafu unataka upewe heshima baada ya kupata cheo kwa kupora uchaguzi! Katika mazingira hayo unategemea ukitukanwa watu waone hatari?
 
Huyo anafanya spinning

Mfuatlie kuanzia huko juu ya uzi utamjua ni eidha mwenyewe kipara au machawa wake
Mange hata siku moja hakuwahi kumtukana Kikwete!! Marehemu Kimambi baba yake mzazi Mange alikuwa rafiki wa karibu sana wa Kikwete hivyo Kikwete kwa Mange alikuwa baba yake!
Kama unao lete ushahidi wa Mange akimtukana kaka wa Msoga!
 
Huyu Binti kwanza ni mwana ccm mimi huwashangaa wanaojiita wapinzani kumshabikia. Ikiwa anaweza kumtukana Raisi aliepo madarakani jua kuwa anaweza kumtukana yoyote hata Mbowe

Alafu ni mpuuzi sana ni mtu aliokosa adabu, heshima, a very sadist person. Kudhalilisha watu ndio furaha yake.

Kueneza siri za watu hadharani, picha za watu za utupu, kutukana watu matusi hayo ndio maisha yake.

Tatizo sio yeye tatizo ni wanaomshabikia, wanaojozana kwenye page zake na hiyo app yake, hao ndio wanaompa kichwa na kiburi akijiona mtu mkubwa na wamana.
Kupora chaguzi za nchi ni zaidi ya matusi ya huyo muhuni. Mtu anayejiheshimu hawezi kupora uchaguzi. Huwezi kutaka heshima, huku unapata madaraka kwa njia za kishenzi. Hata ukipewa matusi watu tunaona ni sawa tu maana hujiheshumu.
 
Kupora chaguzi za nchi ni zaidi ya matusi ya huyo muhuni. Mtu anayejiheshimu hawezi kupora uchaguzi. Huwezi kutaka heshima, huku unapata madaraka kwa njia za kishenzi. Hata ukipewa matusi watu tunaona ni sawa tu maana hujiheshumu.

inawezekanwa wewe ni katika wale kundi la BAVICHA, mana na wao matusi ndio mfumo wa maisha yao
 
Ndio maana naamini Makonda hajasema kwa bahati mbaya ni wazi katumwa kusema ili kuwavuruga ili wajue mipango na mbinu zao zimeanza kujulikana…..lazima tujiulize kwanini Makonda kasema jana tena mbele ya Rais? Ni bahati mbaya? Na ilikuwa ina uhusiano gani?
Mtu asiyeifahamu CCM ndio anaweza kushangaa mwana CCM kumtumia mtu kumtukana kiongozi…yani Wana CCM wanapeana hadi Sumu ndio washindwe kufanya yanayofanywa?
Mange ana backup ya watu
Sawasawa kabisa, kama mtu hawajui CCM ndio atashangaa haya yanayoendelea.
 
Mange ni ndugu yenu anatokea kaskazini wana midomo kuna huyo Surungi ,wakifika nje kukaa na wazungu wanaanza dharau 😅😅😅watu washamba sana hao .

Jaribu kuangalia wenye wanawake weny mdomo wanatokea wapi kwa sana ,kujiona wanajua sana wakikaa na wazungu basi wanajiona wazungu kumbe weusi mpaka kweny makalio.
Mtu akikaa nje ya nchi upeo unapanuka kidogo, unaona jinsi Africa kiongozi kachaguliwa na wananchi halafu anakuja kujikuta mungu mtu aabudiwe na wananchi waliompa kiti. Sasa nadhani CCM wanaonja pain waliyokuwa wanawapa upinzani pia in other way. Tena afadhali yao hawalali huko rumande nakuwa harassed na polisi. Minaona tunakaribia kubalance hii nchi. Kila mtu ni equal hakuna mkubwa zaidi ya mwingine.
 
Kwa
Mkuu ulishawahi sikia ngoma flan ya Nas enzi za bill ina mstari mmoja unasema I wanna talk to FBI and the CIAs to the motherf..k president...

So kwao kawaida sidhani kama watafanya chochote juu ya hilo.
Hao Wamarekani hilo neno Mother f..k kwa wenyewe ni kama kiwakilishi sio tusi kama tunavyotafsiri huku
 
Hajawahi kumtukana kwa lolote huwa longolongo tu kujifanya hawapatani

Km akaunt ya kigogo huwa anajitukana utashaangaa kwa mange?
We jamaa unaweza kubishana aisee! Mwanzo nilidhani bahati mbaya kumbe umedhamiria kabisa, unaijua U-turn? Humo Januari alichafuliwa sana, kitu kilichofanya Mwamvita (Nduguye yake January) kutumia influence yake Vodacom wakamsitishia Mange sponsorship.

Elewa tena, Hii haifanyi Januari ashindwe kwasasa kumtumia Mange against yeyote, ndio maana kwa wenye akili na wanaojali hautakiwi kuwa na ushirika na mtu kama Mange kwasababu once “common interests” zikiisha basi anaweza turn against you either.
 
Sasa h
Mkuu ulishawahi sikia ngoma flan ya Nas enzi za bill ina mstari mmoja unasema I wanna talk to FBI and the CIAs to the motherf..k president...

So kwao kawaida sidhani kama watafanya chochote juu ya hilo.
Sasa hapo kamtaja jina Moja Kwa Moja ni rais Gani? Kosa ni kumtukana mtu directly.
 
Kwa
Sikuona hizi nyuzi awamu ya 5 JPM alipokuwa akitukanwa

Sasa mkae kwa kutulia sindano ziwaingie

What comes around goes around

Mbona inasemakana hata baadhi ya siri za Ikulu yeye ndio alikuwa anavujisha????wacha KARMA imtafune

Muoshwa huoshwa muda wake sasa umefika hana wa kumlaumu atubu kwa muumba wake periodView attachment 2962351
Kwa hyo Bi dada ashikilie hapo hapo 🤔
 
Hivi watu kwanini mnakumbu kumbu fupi?

Mumesahau aliyeanzisha kazi ya matusi ni JPM kupitia Musiba. Mbona hatukuwasikia mkimkemea Musiba leo mnamkemea yule Dada! kwa lipi.

Unapanda Bangi ukitegemea utavuna Alizeti!

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Hivi naomba niulize, wakati ule Musiba anaandika na kusema matusi Viongozi na watu wengine mitandaoni na mpaka kwenye magazeti yake matusi na udhalilishaji huku akipita mitaa ya hapa hapa Tanzania hamkumuona?
Mbona sio viongozi wala hawa wapiga filimbi tuliwasikia wakikemea au kuchukua hatua?
Alimfedhehesha hadi Marehemu Maalim na Zitto kuwa wanamdenya yule kijana wao afisa habari ambaye sasa yuko CCM na wote mlikuwa mnacheka ila leo ndio mmeona ni jambo baya?
Huyo huyo Bashite alikuwa na project yake ya vijana kuwachafua kwa mitandao viongozi wa upinzani kisha mnachekelea!
Mmeyaanzisha ona sasa yanavyotuharibia nchi yetu hadi bi mkubwa na serikali yetu inafedheheshwa!


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Haya mambo yamenizidia huyu Mange Kimambi anamdhalilisha sana Rais wetu na baadhi ya Watanzania wanafurahia kabisa kuona mambo haya hii ni aibu kwa Taifa letu, Rais anavyotukanwa manake tunatukanwa Watanzania wote, hainingii akilini kawmba Watanzania tumekuwa dhaifu kiasi hiki. Kwamba hatuwezi kumwajibisha huyu Mange. Anapokaa panajulikana.

Jamani naomba mniambie kwani Marekani matusi yanaruhusiwa kumtukana mtu sio uvunjaji wa sheria wala sio tatizo kwanini Waziri wa Mambo ya nje anashindwa kukutana na ubarozi wa Marekani wakazungumza kuhusu hili jambo. Kama Mange anataka kukosoa akosoe, sio kutukana matusi. Naamini hata Marekani matusi ni kosa yule anajivunia matusi hoja mnaweza mkabishana sio matusi!

January Makamba jitahidi kuwasiliana na mamlaka zinazohusika ili kukomesha tabia ya Mange ya matusi ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.

Nachukia sana kumwona Rais wangu anadhalilishwa hata kama natofautiana naye kwenye baadhi ya mambo.
Hao viongozi mnaowatetea wakisoma hivi mlivyoviandika watabaki wanashangaa na halafu wataanza kuwachekeni tu. Wenyewe huko walipo wanapenda kudharirishwa ndiyo maana wanapenda kufanya mambo yanayopelekea wao kutukanwa na kudharirishwa
 
Bwana mdogo nisikilize kwa makini

Mzee kikwete na mzee kimambi walikuwa maswaiba

Kikwete alipokuwa rais,alimchukua makamba ikulu

Na makamba na kimambi walikuwa karibu kiasi kwamba akamshawishi mange aje agombee ubunge wa viti maalumu jimbo la kinondoni km sikosei ila alipigwa chini kura za ndani ya chama

Na ilivyo January alikuwa anamtumia sana kufanikisha mambo yake

Ile kumtukana matusi madogo madogo ni kuzuga tu (tusijue ushirikiano wao)

Makamba na mange hawajawahi kugombana


Ndio maana unaweza kuta ile account ya kigogo inamtukana makamba,zito nape ila nyuma ya pazia ndio wao[emoji16]
We jamaa unaweza kubishana aisee! Mwanzo nilidhani bahati mbaya kumbe umedhamiria kabisa, unaijua U-turn? Humo Januari alichafuliwa sana, kitu kilichofanya Mwamvita (Nduguye yake January) kutumia influence yake Vodacom wakamsitishia Mange sponsorship.

Elewa tena, Hii haifanyi Januari ashindwe kwasasa kumtumia Mange against yeyote, ndio maana kwa wenye akili na wanaojali hautakiwi kuwa na ushirika na mtu kama Mange kwasababu once “common interests” zikiisha basi anaweza turn against you either.
 
Kwa

Hao Wamarekani hilo neno Mother f..k kwa wenyewe ni kama kiwakilishi sio tusi kama tunavyotafsiri huku
Ni lugha ya mtaani, ndio maana official haitumiki kwakuwa ni tusi. Mtaani utasikia mtu anamwambia mwenzake we mseng.. lakini huwezi kumwambia rais au mtu mwenye heshima we mseng.. nini maana bado ni tusi.
Ukitaza akina dave chappelle kila siku wanawatusi marais jukwaani.
Jamaa aliwahi kusema stejini obama akiwa rais, akimsema michelle obama kuwa fucking a president doesn't make you intelligent and start running things. Akaendelea na kuongea vitu ambavyo hapa kwetu ingeonekana ni kumdisrespect rais na mke wake.
 
Back
Top Bottom