Hawakumtukana, walimuita mashamba tu.Huyo January hana moral authority ya kukemea wanao mtukana Rais Samia kwa kuwa yeye Nape na Kinana bila kumsahau mzee wa makamba walishiriki kumtukana Rais na watu walishangilia …na hata Mange alivyokuwa anamtukana Magufuli watu walichekelea sasa sote tunaanza kuona ubaya huo
Huelewi lolote kuhusu siasa wewe, unajua kipindi cha JPM Mange alikuwa analipwa na nani!?,unajua akaunti ya KIGOGO ilikuwa inamilikiwa na nani!?January ana sababu gani ya kumlipa amtukane mtu ambaye amemrudisha kwenye uongozi? Mange mwenyewe amemtukana sana January enzi za JK hadi urafiki wa Mwamvita na huyo dada ukafa. Toa sababu moja inayokufanya ufikirie january anaweza kuwa ndiye anamtuma afanye hivyo. Sioni sababu kwa sababu inaelekea hana shida na maza na maza ni mtu wa karibu wa January na Mzee wake kiasi kwamba miezi miwili nyuma alienda kwa Mzee Makamba wazo hapo kumtembelea na hii inaonyesha jinsi gani walivyo karibu.
Hata Magufuli alikuwa Rais na ni baba wa watoto lakini alitukanwa na hadi wakina January na Nape ,Kinana bila kumsahau Mzee Makamba hadi waliomba msamaha…huyo Mange alimdhalilisha sana Magufuli lakini watu mlishangilia sana….Ila hata kama siyo President ni mke wa mtu na ni mama .
Hii siyo sawa.
Hivi huo usalama wa taifa huwa wao hawana Instagram ?
Zote ni dalili za kupyaya kwenye nafasi.Ila hata kama siyo President ni mke wa mtu na ni mama .
Hii siyo sawa.
Hivi huo usalama wa taifa huwa wao hawana Instagram ?
Ndio matusi hayo sasa unafikiri akutukanaye ana kuchagulia matusi?Hawakumtukana, walimuita mashamba tu.
Mkuu uko sahihi kabisa, mamlaka zinazotakiwa angalau kuchukua hatua dhidi ya matusi ya Mangekimambi hazijawahi hata kuattempt tukaona wamekwama wapi na kwa sbb au sheria zipi. Waziri wa mambo ya nje, waziri wa habari, balozi wa marekani, msemaji mkuu wa serikali, waziri wa mambo ya ndani wote wako kimya sijui wanasubiri Rais ndo awaambie wachukue hatua au wakemee!!??? Sasa kajitokeza mtu ambae ameona ukimya na Rais anendelea kuchafuliwa mitandaoni then watu wanaona nongwa....Why Why between my interview passing around......I hate them.......wamwache Makonda aoneshe ujasiri wake kwa maslahi ya nchi, kama angekuwa mnafiki Rais Jana hiyo hiyo angemkemea......Lazima tuungane kumlinda Rais wetu na kama wewe huwezi acha waliojasiri waseme na kutenda.......siyo kweli kwamba mawaziri licha ya kuteuliwa na Rais wote wanaweza kuwa na nia nzuri na kumtakia mema, waswahili wanasema kikulacho kinguoni mwakoHuelewi lolote kuhusu siasa wewe, unajua kipindi cha JPM Mange alikuwa analipwa na nani!?,unajua akaunti ya KIGOGO ilikuwa inamilikiwa na nani!?,Mama Samia katukanwa matusi ya nguoni, umeona waziri wa mambo ya nje akichukua hatua yoyote!?,watu hawana shida ya uwaziri, wana shida ya Uraisi, waweza kuita tamaa au vyovyote vile ndo binadamu tupo tofauti. Mange ana backup kubwa sana ndo maana anajiamini. Vilevile Makonda ana backup kubwa sana ndo maana kaongea vile Jana. Vita ni kubwa kuliko tunavyodhani.
Mshamba sio tusiNdio matusi hayo sasa unafikiri akutukanaye ana kuchagulia matusi?
Hata Yuda Iskarioti alikuwa ndugu kabisa wa Yesu na ndiye alikuwa Mtunza Hazina wa wale thenashara 🐼January ana sababu gani ya kumlipa amtukane mtu ambaye amemrudisha kwenye uongozi? Mange mwenyewe amemtukana sana January enzi za JK hadi urafiki wa Mwamvita na huyo dada ukafa.
Toa sababu moja inayokufanya ufikirie january anaweza kuwa ndiye anamtuma afanye hivyo.
Sioni sababu kwa sababu inaelekea hana shida na maza na maza ni mtu wa karibu wa January na Mzee wake kiasi kwamba miezi miwili nyuma alienda kwa Mzee Makamba wazo hapo kumtembelea na hii inaonyesha jinsi gani walivyo karibu.
Alimshindwa naniliu, kuna wa kumuweza sasa??!!Suala la muda, wakimtaka wanampata
Huko Migombani ndio mnaitana Washamba Hapa Mjini Mshamba ni tusiHawakumtukana, walimuita mashamba tu.
Atakuwa charged kwa kosa/makosa gani na mahakama ipi.?Suala la muda, wakimtaka wanampata
Achana na hayo yani leta walau hata ishara za kuonyesha January ndiye anaweza kufanya hicho.Hata Yuda Iskarioti alikuwa ndugu kabisa wa Yesu na ndiye alikuwa Mtunza Hazina wa wale thenashara 🐼
Hizi zote ni consipiracy shida ni kwamba watu mmeanza lalamika zama hizi. Na kipindi cha Kikwete je alikuwa analipwa na nani. Maana hakuna awamu amabayo hajaishambulia labda ya Mkapa na akina mwinyi kwa sababu alikuwa mdogo na mitandao haikuwepo.Huelewi lolote kuhusu siasa wewe, unajua kipindi cha JPM Mange alikuwa analipwa na nani!?,unajua akaunti ya KIGOGO ilikuwa inamilikiwa na nani!?
Mama Samia katukanwa matusi ya nguoni, umeona waziri wa mambo ya nje akichukua hatua yoyote!?,watu hawana shida ya uwaziri, wana shida ya Uraisi, waweza kuita tamaa au vyovyote vile ndo binadamu tupo tofauti.
Mange ana backup kubwa sana ndo maana anajiamini. Vilevile Makonda ana backup kubwa sana ndo maana kaongea vile Jana. Vita ni kubwa kuliko tunavyodhani.
kesi ya nyani unampa ngedereMara paaaap unaemtuma awasiliane na ubalozi, ndio sponsor wa mange.
Mwanasiasa anafanya jambo lolote tena ogopa sana Mtu anayeutamani UraisAchana na hayo yani leta walau hata ishara za kuonyesha January ndiye anaweza kufanya hicho.