Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

Mwanasiasa anafanya jambo lolote tena ogopa sana Mtu anayeutamani Urais
Wanaoutafuta urais ni wengi sasa kwanini kidole anyoshewe yeye. Na kama anautafuta urais basi kama anataka kushambulia Rais wa sasa kumshambulia hakuna faida kwake maana kwa siasa za nchi hii zilivyo atamaliza awamu mbili inabidi amshambulie anayeweza kugombea baada ya awamu mbili za Samia. Yani kwa sasa hawezi ahta kuchukua fomu kugombea dhidi ya samia maana lazima tu achukue vipindi viwili sasa kumshambulia kutampa faida gani? Kumbuka pia ndiye kamrudisha kwenye mema ya nchi.
 
Wanaoutafuta urais ni wengi sasa kwanini kidole anyoshewe yeye. Na kama anautafuta urais basi kama anataka kushambulia Rais wa sasa kumshambulia hakuna faida kwake maana kwa siasa za nchi hii zilivyo atamaliza awamu mbili inabidi amshambulie anayeweza kugombea baada ya awamu mbili za Samia. Yani kwa sasa hawezi ahta kuchukua fomu kugombea dhidi ya samia maana lazima tu achukue vipindi viwili sasa kumshambulia kutampa faida gani? Kumbuka pia ndiye kamrudisha kwenye mema ya nchi.
Wewe ndio unamnyooshea January

Lema kawataja Watano 🐼
 
Wewe ndio unamnyooshea January

Lema kawataja Watano 🐼
Mimi sijamnyooshea kidole ila naona upepo wa thread hii unamsema January. Lema huyu huyu aliyesema Ni furaha kwa Mungu Lowassa kupigwa mawe halafu baadaye akasema mwenye ushahidi aende mahakamani au lema yupi mkuu? Sijamsikiliza kumbe kataja majina?
 
Sikuona hizi nyuzi awamu ya 5 JPM alipokuwa akitukanwa

Sasa mkae kwa kutulia sindano ziwaingie

What comes around goes around

Mbona inasemakana hata baadhi ya siri za Ikulu yeye ndio alikuwa anavujisha????wacha KARMA imtafune

Muoshwa huoshwa muda wake sasa umefika hana wa kumlaumu atubu kwa muumba wake period
Screenshot_20240413_153949_Instagram.jpg
 
Haya mambo yamenizidia huyu Mange Kimambi anamdhalilisha sana Rais wetu na baadhi ya Watanzania wanafurahia kabisa kuona mambo haya hii ni aibu kwa Taifa letu, Rais anavyotukanwa manake tunatukanwa Watanzania wote, hainingii akilini kawmba Watanzania tumekuwa dhaifu kiasi hiki. Kwamba hatuwezi kumwajibisha huyu Mange. Anapokaa panajulikana.

Jamani naomba mniambie kwani Marekani matusi yanaruhusiwa kumtukana mtu sio uvunjaji wa sheria wala sio tatizo kwanini Waziri wa Mambo ya nje anashindwa kukutana na ubarozi wa Marekani wakazungumza kuhusu hili jambo. Kama Mange anataka kukosoa akosoe, sio kutukana matusi. Naamini hata Marekani matusi ni kosa yule anajivunia matusi hoja mnaweza mkabishana sio matusi!

January Makamba jitahidi kuwasiliana na mamlaka zinazohusika ili kukomesha tabia ya Mange ya matusi ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.

Nachukia sana kumwona Rais wangu anadhalilishwa hata kama natofautiana naye kwenye baadhi ya mambo.
Huyo Januari ndo mratibu Mkuu wa matusi enzi za Magufuli na sasa pia
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Hivi ni mole gani pale ikulu alikuwa anavujisha siri nzito za vikao vya siri vilivyokuwa vinafanyika usiku wa manane lakini kesho yake asubuhi unakuta siri zote zipo kwa dada wa taifa, Kigogo, Sarungi, Ngurumo, Chahali, kule Ubelgiji; na kwingineko? Na Magufuli alipoondoka tu uvujishaji huo ukakoma mara moja?

Nilishangaa sana Mama alipokwenda Marekani na kushikana mkono na dada wa taifa huku akijua matusi na udhalilishaji aliokuwa akifanyiwa bosi wake. Labda alifikiri kwamba akijipendekeza kwa dada wa taifa basi yeye atakuwa salama. Inasikitisha sana.

Huyu mama ni mtu mzima. Na hata ukimwangalia tu unaiona huruma ya umama katika uso wake. Wapo wanaosema eti anavuna alichokipanda yeye mwenyewe lakini kwa kuzingatia ubinadamu tu na hata maadili yetu ya Kiafrika, kabisa kabisa hastahili matusi hayo.

Halafu Kagame yeye huwa anawezaje kuwanyamazisha watu wa aina ya dada wa taifa po pote walipo duniani; na sisi kwa nini hatuwezi?

 
Huelewi lolote kuhusu siasa wewe, unajua kipindi cha JPM Mange alikuwa analipwa na nani!?,unajua akaunti ya KIGOGO ilikuwa inamilikiwa na nani!?

Mama Samia katukanwa matusi ya nguoni, umeona waziri wa mambo ya nje akichukua hatua yoyote!?,watu hawana shida ya uwaziri, wana shida ya Uraisi, waweza kuita tamaa au vyovyote vile ndo binadamu tupo tofauti.

Mange ana backup kubwa sana ndo maana anajiamini. Vilevile Makonda ana backup kubwa sana ndo maana kaongea vile Jana. Vita ni kubwa kuliko tunavyodhani.
Dah umeongea point tupu
 
Kwa hiyo kumbe ni kweli masponsa wa Mange Kimambi kwenye hii project yake ni mawaziri wake mwenyewe Samia akina Mwigulu Nchemba,maana nilifikiri yule Bashite anaropoka tu. Ila na yeye Bashite awataje kweli tena kwa ushahidi ili huu mchezo ufe kabisa.
Mkuu ni hasira na upunguani wa Makonda tu, Haamini timing waliomfanyia watoto wa mjini. SG dreams are officially no more!
 
Hizi zote ni consipiracy shida ni kwamba watu mmeanza lalamika zama hizi. Na kipindi cha Kikwete je alikuwa analipwa na nani. Maana hakuna awamu amabayo hajaishambulia labda ya Mkapa na akina mwinyi kwa sababu alikuwa mdogo na mitandao haikuwepo.
Awamu ya Magufuli ilianza anamsifia, baadaye akaanza kumshambulia. Same hata hii awamu. Same awamu ya Kikwete.
Wewe unayeelewa hebu tuambie kigogo ni nani na mbona kama mnafahamu hadi leo mmeshindwa kumkamata na abdo anaendelea mashambulizi. Mlianza mara January, ikaenda mkaanza mara nape yani kigogo ashakuwa watu mbalimbali.
Mkuu Mange hana rafiki wala adui wa kudumu, waweza kufikiria ni mzalendo lakini sio kweli yeye anaangalia maslahi yake binafsi. Huyo KIGOGO alikuwa anapewa details za ndani ikulu ya JPM na nani!?,unadhani Mange angekuwa anayoongea anayatunga kutoka kichwani na ni uongo angekuwa hai leo!?, (hadi picha),Sasa jiulize anapewa information na nani!?,kwa makusudi gani!?,., jibu rahisi, kwenye kila awamu Kuna watu wa ndani wasiopenda mambo yanayoendelea ndani kwa ndani aidha kwa nia nzuri au mbaya, ndo watu wanaomtumia mtu kama Mange, mifumo yetu ingekuwa haijagawanyika huyo Mange angeshakuwa historia siku nyingi. Ila wakipanga hivi, hapohapo kuna mtu anamwambia tumepanga hivi, fanya hivi. Naishia hapa.
 
January ana sababu gani ya kumlipa amtukane mtu ambaye amemrudisha kwenye uongozi? Mange mwenyewe amemtukana sana January enzi za JK hadi urafiki wa Mwamvita na huyo dada ukafa.

Toa sababu moja inayokufanya ufikirie january anaweza kuwa ndiye anamtuma afanye hivyo.

Sioni sababu kwa sababu inaelekea hana shida na maza na maza ni mtu wa karibu wa January na Mzee wake kiasi kwamba miezi miwili nyuma alienda kwa Mzee Makamba wazo hapo kumtembelea na hii inaonyesha jinsi gani walivyo karibu.
👍👏
 
Sikuona hizi nyuzi awamu ya 5 JPM alipokuwa akitukanwa

Sasa mkae kwa kutulia sindano ziwaingie

What comes around goes around

Mbona inasemakana hata baadhi ya siri za Ikulu yeye ndio alikuwa anavujisha????wacha KARMA imtafune

Muoshwa huoshwa muda wake sasa umefika hana wa kumlaumu atubu kwa muumba wake period
Karma kama karma!
 
Sikuona hizi nyuzi awamu ya 5 JPM alipokuwa akitukanwa

Sasa mkae kwa kutulia sindano ziwaingie

What comes around goes around

Mbona inasemakana hata baadhi ya siri za Ikulu yeye ndio alikuwa anavujisha????wacha KARMA imtafune

Muoshwa huoshwa muda wake sasa umefika hana wa kumlaumu atubu kwa muumba wake period
Duh! Kumbe bitozo ndio alikuwa anavujisha nyaraka nyeti! Au ndio alikuwa anawapa taarifa nyeti akina kigogo 🤣🤣 na mange 🤣🤣🤣
 
Kipindi kile anatukanwa Magufuli na watu mbalimbali tulikuwa tunashangilia sana hasa sisi upande huu wa mkono wa kushoto katika mwili huu mmoja. Nilisema hatupo salama. What goes around comes around.

Waliwezeshwa sana watu wadumu kila siku kumtukana Magufuli. Mimi nyuzi zangu zipo humu. Kuna maamuzi kadhaa ya Magufuli nliyapinga. Kwa hoja. Sikuwa namtukana.

Hawa hawa watu ndiyo ambao sasa wamegeuka wanamtukana Rais aliyepo madarakani. Na anakaa nao mezani anacheka nao. Kama tu ilivyokuwa mwanzo na hata sasa ndivyo ambavyo itakuwa.

Huwa nawaza hicho kisichana kimangi kimekuzwa na nani? Kinachofanya ni ushenzi wa hali ya juu. Mliokuwa mkishangilia wakati anatukanwa Magufuli sasa mnaanza kuona unapomfuga chatu.

Yeye kumtukana Rais haiiniumizi kichwa. Inaniumiza kichwa kuwa ana wafuasi. Ana mashabiki. Hapo ndo naona tatizo la watanzania. Wengi hawna akili. Wengi hawajielewi. Mimi jana mtu wa karibu nami alinitaka nisome yale matusi akichekelea. Nilimwambia hana akili. Huwezi furahia mwanamke, rais anatukanwa vile. Hata kama unapishana naye kiitikadi. Si sawa.

Uhuru una mipaka. Hakuna uhuru usio na mipaka. Labda ukiwa kaburini tu. Duniani kila kitu kina mipaka. Mangi athibitishe maneno yake.
Wakati watu wanadukuliwa na taarifa zao kumwagwa mitandaoni ulikuwa upande gani ?
 
Anapotukwa rais ni kuitukana nchi. Ni kuishushia heshima nchi. Baba au mama yako anapokosea kuna namna ya kusema naye na akaelewa.
NB: Si kila unachoshindwa kutafsiri kutoka kwa mtu itakuwa inamaana amekosea kwa kuwa kiongozi hawezi kuwa anaona kama wanavyoona wanaoongozwa. Nikiwa na maana ya kwamba kiongozi ni lazima atangulie miaka kadhaa mbele ndipo anaitwa kiongozi. Kuna vitu utakuja kuelewa baadaye kwamba vilikuwa ni vya muhimu kama kiongozi alivyona. (UKISOMA HABARI ZA FARAO NA NDOTO YA MIAKA SABA YA NJAA NA KILICHOTOKEA KWA WANANCHI KWA KUTOELEWA WALICHOAMBIWA KWA KUWA HABARI ZA NJAA ZILITOLEWA WAKATI WAPO KWENYE MAVUNO)
 
Huyo unayemwomba unamjua vizuri?
Haya mambo yamenizidia huyu Mange Kimambi anamdhalilisha sana Rais wetu na baadhi ya Watanzania wanafurahia kabisa kuona mambo haya hii ni aibu kwa Taifa letu, Rais anavyotukanwa manake tunatukanwa Watanzania wote, hainingii akilini kawmba Watanzania tumekuwa dhaifu kiasi hiki. Kwamba hatuwezi kumwajibisha huyu Mange. Anapokaa panajulikana.

Jamani naomba mniambie kwani Marekani matusi yanaruhusiwa kumtukana mtu sio uvunjaji wa sheria wala sio tatizo kwanini Waziri wa Mambo ya nje anashindwa kukutana na ubarozi wa Marekani wakazungumza kuhusu hili jambo. Kama Mange anataka kukosoa akosoe, sio kutukana matusi. Naamini hata Marekani matusi ni kosa yule anajivunia matusi hoja mnaweza mkabishana sio matusi!

January Makamba jitahidi kuwasiliana na mamlaka zinazohusika ili kukomesha tabia ya Mange ya matusi ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria.

Nachukia sana kumwona Rais wangu anadhalilishwa hata kama natofautiana naye kwenye baadhi ya mambo.
 
Back
Top Bottom