Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Sasa unakufuru ulitaka usiambiwe kuwa u kafiri mwenye kukufuru?
 
Kama walezi wako umeshindwa kuuelewa ushauri wao hata hapa naamini hakuna utakae muelewa we endelea kuwa huru tu ila usinyetuke wala usiwe mzinifu maana ni dhambi na we ni mtu wa kanisa

Sent using GunTrigger
 
Oa wewe Mengi ndo bilionea na alioa wee na tuhela twako twa kununulia vibambala na nyanya chungu vinakutia wazimu.
Find a woman and get married.
Oh umetaja vibambala hadi tumbo limeshtuka
 
Msaidizi si beki tatu wapo?
Wengi tu tumelelewa na beki 3.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
Mzee baba hata mchumba huna sasa utaoa nin😁😁 afu sio kila mwanaume ana hadhi ya kuoa,wengine muwe mnakuja kwa mashemeji mnapikiwa mnakula afu mkalale ghetoni
 
Nimeona na nina familia mkuu...but siamini furaha kwenye kuoa...kuna mambo mengi sana tunasucrifise kwa ajili ya kufanya maisha ya songe kiasi kwamba nilipokuwa single ilikuwa tofauti...hivyo yaani.
Hongera kwa hilo Mkuu,furaha inaanzia kwako mwenyewe sio kwa mwenza wako so kama hauna furaha afu unaoa ili upate furaha it will never happen...
 
Usioe mkuu...narudia tena USiOE! Kama watoto tafuta demu piga mimba leo watoto..pambana na life lako as long as unafurahia unachokifanya.... hakuna furaha kwenye kuoa mkuu..belive me!
Aisifuye mvua imemnyea😂😂😂
 
Halafu cha ajabu wanaozaliwaga NJE ya NDOA huwa wana toboa maisha NA wanajielewa kuliko waliozaliwa kwenye ndoa..!!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
Hapana nakataa mkuu angalia namba yawaliotoboa hali yakuwa pangu pakavu then linganisha nawaupande wapili utapata jibu.

Hawa wachache waliotoboa hali yakuwa wametokea familia zisizo namisimamo tunawaadmire nakuwa promote kwasababu tunajua aso walizopitia.

Mifano ipo mingi sana angalia hata historia za viongozi wetu waliotuongoza nawanaotuongoza katika nafasi mbalimbali kuanzia serikalini mpaka sector binafsi wengi wao hawajatokea mtaani from no where. Wengi wao unaona kabisa kuna mazingira tayari alikuwa kaandaliwa nawazazi/mzazi wake.

Lengo langu nilitaka nikwambie kuwa, wachagulie watoto wako, kizazi chako mama anayestahili kuwa mama hata kama ukiamua uzae2. Na Mwanamke akishakuwa mama bora basi tayari anastahili kuwa mke bora.

Vuta subira wakati wako sio umri ukifika utaoa2.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisifuye mvua imemnyea😂😂😂
Kwli kabisa...hakuna kipya napata kwenye ndoa ambacho ningekikosa ningekuwa single...ndo maana namshauri jamaa kama ana fraha na life yake kama lilivyo asioee mkuu...
 
Kiaje?
How?

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
Mzee ujana mbaya 30's hata mtoto huna unategemea uje upate mchumba uoe na uzae utakuwa 34...nimekutana na watu wengi waliofanikiwa kimaisha wanajuta kuchelewa kuoa na kuzaa angalia yasikukute kama hayo majuto
 
Kwli kabisa...hakuna kipya napata kwenye ndoa ambacho ningekikosa ningekuwa single...ndo maana namshauri jamaa kama ana fraha na life yake kama lilivyo asioee mkuu...
Duu mkeo angeona hii comment angezimia🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…