Jipe muda kiongozi,Mambo mazuri hayahitaji presha na harakaMfano nafasi za kazi 100 ,walikuwa shortlisted ni 800 hiyo ni ratio ya 1:8 na waliofaulu ni 200 kwenda oral kati ya nafasi 100 kati ya watu 800 haizuii usahili kuendelea maana yake ile ratio ya 1:8 tayari imefanyika hata kama sio 1:3. Shida wabongo nafasi zikiwa 100 wakaitwa watu 10,000 utasikia nyomi mnaenda kupoteza nauli na muda ,hizo nafasi zina wenyewe. Yaani sisi ngozi nyeusi tuna shida sana.
Mfano nafasi za kazi TRA zilikuwa 1097 walioitwa written interview jumla ni 13000 hiyo ni ratio ya 1:11. Swala la kufaulu written kwenda oral hajalishi Ratio muhimu ifikie lengo la wahitajika. Mfano nafasi kama ni 100 wakaitwa oral 200 haijalishi watenda tu kupambana huko huko. Nakuangalia ufaulu wa juu. Na kama wasailiwa hawatokidhi basibusahili utarudiwa upya kwa
Hivi kazi zilishawahi kutangazwa tena baada ya utumishi kutopata mtu aliyequalify kwenye oral?Mfano nafasi za kazi TRA zilikuwa 1097 walioitwa written interview jumla ni 13000 hiyo ni ratio ya 1:11. Swala la kufaulu written kwenda oral hajalishi Ratio muhimu ifikie lengo la wahitajika. Mfano nafasi kama ni 100 wakaitwa oral 200 haijalishi watenda tu kupambana huko huko. Nakuangalia ufaulu wa juu. Na kama wasailiwa hawatokidhi basibusahili utarudiwa upya kwa kutangaza upya nafasi za kazi.
Kwanza wanawezaje kukosa watu kwenye oral?Hivi kazi zilishawahi kutangazwa tena baada ya utumishi kutopata mtu aliyequalify kwenye oral
Yani watu wameenda oral lakini hakuna aliyepata 50 katika oral.Kwanza wanawezaje kukosa watu kwenye oral?
Haiwezekaniki hiyoYani watu wameenda oral lakini hakuna aliyepata 50 katika oral.
Mkuu, inaonekana upo utumishi kikazi naomba unifanyie mchongo wa kazi hapo pesa ya kukutoa ipo mkuu😁😁Vuteni subra vijana.kuna good news soon zinakuja
Ndio nilfanya
Kwahiyo na waliofanya oral tayari nao wanaweza kurudia?Wangekuwa washatangaza mkuu km kuna issue ya kurudia Oral kipindi hichi wako fasta sana, sifikirii km hiyo issue inawezakana yatazuka mengine mapya.
Hata sijajua kweli ila yote yanawezakana maana hamna mwenye uhakika naloKwahiyo na waliofanya oral tayari nao wanaweza kurudia?
Dah, na life lilivo mtaani mtu kapambana kaingia oral leo wamtangazie wanarudia, sio poa aiseeHata sijajua kweli ila yote yanawezakana maana hamna mwenye uhakika nalo
Tuvute subra uskute mkeka uko njiani maana hizi ni tetezi tu kuhusu kurudiwaDah, na life lilivo mtaani mtu kapambana kaingia oral leo wamtangazie wanarudia, sio poa aisee
Jamaaa anashangaa hiyo ratio?Nilishawahi kuitwa oral interview wasailiwa 50 wanaotakiwa 22 pekeeeHakuna kitu kama hicho hadi wanaita watu walishajua hiyo ratio
Sidhani kama hili linawezekana. Maana nafasi zilikuwa 294, walioitwa Oral ni 465. Sasa kama wameshindwa kupata watu 294 kati ya 465 itakuwa ajabu. Labda kama wanaongeza nafasi.Kuna mdau juzi kati alifanya written interview utumishi kada ya Tax management officer ii mwajiri akiwa TRA, kwa maelezo yake anasema aliscore 45.5 kwenye huo mtihani, sasa anasema kuna mtu kamjulisha kuwa kuna habari inaendelea huko utumishi kuwa kuna uwezekano wa watu walioscore kuanzia 49 mpaka 45 kuitwa kufanya oral interview sababu ni kwamba kuna idadi ya watu ambayo haijatimia na walioitwa awali kwenye oral ni wachache sana.
Binafsi nijuavyo utumishi hawana huo utaratibu na sijawahi kuusikia ila jamaa kakomaa na hizo habari.
So naomba kuuliza ,lina ukweli hilo suala au ndugu yangu anajifariji bure tu?
Uwezekano wa kurudia interview haujawah kuwepo Kama watu wamefeli Kuna kitu kinaitwa re-advitesement ....kwa hyo mtaomba upya.Sema sidhani kama wanaweza rudia oral...nimaoni yangu tu.
Haijawah tokea na Kama watu wakikosekana nafasi inatangazwa upya always..Kama hakuna watu wa kanzidata...Kweni wameshawahi kuchukua alama chini ya 50?
Unatushauri vipi tunaojipa moyoHaijawah tokea na Kama watu wakikosekana nafasi inatangazwa upya always..Kama hakuna watu wa kanzidata...
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Kama hzo information una uhakika Ni valid kua nafasi zimebaki ..Anza kupiga msuli wa written na sio oral ili uwe mbele ya muda...Unatushauri vipi tunaojipa moyo
Ngoja tusubili maana wk 3 zishaisha nahisi tangu oral ifanyike na hakuna jibu loloteKama hzo information una uhakika Ni valid kua nafasi zimebaki ..Anza kupiga msuli wa written na sio oral ili uwe mbele ya muda...
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app