Ujue me naona hzi kada zetu za social sciences tunashangaa watu kufeli angalien matokeo ya TRA IT system analyst Kama sikosei walioenda oral ukizidisha Mara tatu bado hawajaz nafasi zilizotakiwa.Jamaaa anashangaa hiyo ratio?Nilishawahi kuitwa oral interview wasailiwa 50 wanaotakiwa 22 pekeee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio kwamba hakutakuepo Ila idadi haitokava nafasi zoteYani watu wameenda oral lakini hakuna aliyepata 50 katika oral.
Ngoja tusubili maana wk 3 zishaisha nahisi tangu oral ifanyike na hakuna jibu lolote
Zinaelekea mkuu af unajua kusubili kitu mda mrefu inakera sanaWiki tatu bado mkuu [emoji23]
Ila
Zinaelekea mkuu af unajua kusubili kitu mda mrefu inakera sana
Daah Mungu atende jamboKweli inakera mkuu sema wiki ijayo mkeka lazima utoke
Nafikiri range Ni within 3 months ..kwa hyo inaweza ikawa Zaid week tatu...Kweli inakera mkuu sema wiki ijayo mkeka lazima utoke
Huwa imatokea wanaongeza Majina.Kuna mdau juzi kati alifanya written interview utumishi kada ya Tax management officer ii mwajiri akiwa TRA, kwa maelezo yake anasema aliscore 45.5 kwenye huo mtihani, sasa anasema kuna mtu kamjulisha kuwa kuna habari inaendelea huko utumishi kuwa kuna uwezekano wa watu walioscore kuanzia 49 mpaka 45 kuitwa kufanya oral interview sababu ni kwamba kuna idadi ya watu ambayo haijatimia na walioitwa awali kwenye oral ni wachache sana.
Binafsi nijuavyo utumishi hawana huo utaratibu na sijawahi kuusikia ila jamaa kakomaa na hizo habari.
So naomba kuuliza ,lina ukweli hilo suala au ndugu yangu anajifariji bure tu?
Hiyo huwa ni kwenye writtenHuwa imatokea wanaongeza Majina.
Majina ya nyongeza kwenye usaili wa...
Kada ya .....
Nafikiri range Ni within 3 months ..kwa hyo inaweza ikawa Zaid week tatu...
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Yeah Ila kinacholeta matumaini kwamba watatoa haraka kwa sababu ..watu wanahtajika as soon as possible...kwa kua kila kitu kiliend kwa kudelay hata interview yenyeweNi kuendelea kusubiri tu mkuu hakuna namna
Yeah Ila kinacholeta matumaini kwamba watatoa haraka kwa sababu ..watu wanahtajika as soon as possible...kwa kua kila kitu kiliend kwa kudelay hata interview yenyewe
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Hizo gharama za kwenda kufanya hizo oroo watawalipia? Nonsense kama ni kweli
Wiki yatatu ndo hii walisema yangetoka ndan ya huo mda ikipita hii week hapo nikusubiri mpaka watakapopenda wao maana hamna namnamatokeo ya walioajiliwa wanayatoa lini mwenye details wakuu ya tra
Jumatatu saa7 mchanaWiki yatatu ndo hii walisema yangetoka ndan ya huo mda ikipita hii week hapo nikusubiri mpaka watakapopenda wao maana hamna namna
Ww mwenyewe uhakika huna [emoji3][emoji3][emoji1787]Jumatatu saa7 mchana