- Thread starter
- #21
Ni halisi kabisaWe jamaa mbona Kama unatupiga fix
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni halisi kabisaWe jamaa mbona Kama unatupiga fix
Ni uhalisia,,,ila nafikiria pa kuanzia ili kupata suluhisho nashindwa. Nianze na daktari au mshauri wa saikolojiaKama ni kweli basi pole.
Binafsi sipendi dada au mama aliyeweka kipini cha pua, yaani nahisi kichefuchefu hata hivi nnavyoandika.
Kama anauza kitu siwezi nunua hata kama ni kizuri na ninakuhitaji.
Sitamani hata kumtazama😏
Wewe ni jinsia gani? Kama vipi inawezekana una ujauzito mchangaNi bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
meWewe ni jinsia gani? Kama vipi inawezekana una ujauzito mchanga
😃😃Usikute una mimba, halafu unasingizia watu wanene.....
matipwa tipwa naona washaanza kuku shambulia.by the way mwanamke bonge asili yake nimchafu.kamabata tuuNi bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Aspirin, kichefuchefu/kutapika inatokana na kinyaa.Sasa me unapataje kichefuchefu?
Basi tutafute tiba!Hata sisi wanaume wanene wanatuchefua
Kwa first trisemister huwa ni kawaida kabisa, vumilia baada ya miezi mitatu hali hiyo itaisha utakaa sawa hata ukipishana na mnene hutajisikia chochote. Huwa inatokeaNi bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Weee,,,! umeandika nini hiki?Kwa first trisemister huwa ni kawaida kabisa, vumilia baada ya miezi mitatu hali hiyo itaisha utakaa sawa hata ukipishana na mnene hutajisikia chochote. Huwa inatokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi kuna watu wa ovyo hadi wanaume wanapewa mimba tu, haya maisha haya🤔Yaani kabisa na ubaba wangu niote mimba Evelyn,,
Ningefurahi kama ungeamua kujikita kwenye mada. Tabia ya kuandika mambo ambayo hayana msaada kwenye hoja ni bora ubaki kimya. Why do you write so cheap ideas? Toa ushauri kama upo au la!Siku hizi kuna watu wa ovyo hadi wanaume wanapewa mimba tu, haya maisha haya🤔
Habari,Ni bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Suluhisho lake linaweza kuwa nini mkuu?Habari,
Ni suala la kufatiliwa, kwani linaweza kuwa ni tatizo lenyewe binafsi na jinsi lilivyounganishwa kwenye ubongo wako au kuna mengine pia ambayo huyajui binafsi. Hii inaweza kuwa inatokana na:
1: experience/imani yako kuhusiana na unene
2: experience au imani yako kuhusiana na watu wanene
umewahi kuwa shoga au wewe ni shoga? hizo dalili unazo?Hizo ni dalili za kuwa shoga na hapo ukikutana na mwanaume mnene unavutiwa nae
Ushauri ni kwamba vumilia second trimester utakua okayNingefurahi kama ungeamua kujikita kwenye mada. Tabia ya kuandika mambo ambayo hayana msaada kwenye hoja ni bora ubaki kimya. Why do you write so cheap ideas? Toa ushauri kama upo au la!