Hili linaweza kuwa tatizo la kisaikolojia?

Hili linaweza kuwa tatizo la kisaikolojia?

Suluhisho lake linaweza kuwa nini mkuu?
Kumwona mwanasaikolojia ili akuongoze kwenye kutambua msingi wa tatizo na jinsi ya kuondoa kinachohusika.

Kwani hicho unachoamini ndo huupa ubongo habari hasi na kufatiwa ubongo kutoa vichocheo vinavyosisimua kituo cha kichefuchefu/kutapika kweye ubongo.
 
Ni bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Mimi kumgonga demu kibonge ni ishu asee.. yaani akivua nguo kitambi, mapaja na matako yana mabonde mabonde na ile minyama nyama inavyoning'inia huwa nasikia kichefu chefu alafu wengi wao kwa ndani wakivua nguo wanakuaga na harufu mbaya jasho sio jasho kinyesi sio kinyesi mpaka ikanilazimu niachane na mademu vibonge sasa hivi ni mwendo wa vipotabo tu
 
Mimi kumgonga demu kibonge ni ishu asee.. yaani akivua nguo kitambi, mapaja na matako yana mabonde mabonde na ile minyama nyama inavyoning'inia huwa nasikia kichefu chefu mpaka ikanilazimu niachane na mademu vibonge sasa hivi ni mwendo wa vipotabo tu
Yaani hata fikira za kumtongoza mwanamke mnene huwa sina kabisa. Yaani nakwepa hata kukaribiana nao. Full kichefuchefu!
 
Mimi kumgonga demu kibonge ni ishu asee.. yaani akivua nguo kitambi, mapaja na matako yana mabonde mabonde na ile minyama nyama inavyoning'inia huwa nasikia kichefu chefu mpaka ikanilazimu niachane na mademu vibonge sasa hivi ni mwendo wa vipotabo tu
Eti mabonde mabonde..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu hii mpya ya kufungulia mwaka
 
Hatari sana. Watu wana matusi kweli rafiki yangu 😀
Aamna shida kutambua jinsia ya mtu ni tatizo, Sasa unakuta mtu anahisi tofauti na hoja iliyozungumziwa!!

Kwa once ulikua kwenye mahusiano na binti mwenye mwili mnene?
 
Aamna shida kutambua jinsia ya mtu ni tatizo, Sasa unakuta mtu anahisi tofauti na hoja iliyozungumziwa!!

Kwa once ulikua na mahusiano na binti mwenye mwili mnene?
Hapana. Sijawahi hata kufikiria.
 
Kwangu mm nikiona michirizi ile ya nyuma ya mapaja, japo sio kutapika,.ila sijui naonaje...samahanini warembo wa jf!
 
Maumbo tu ya kawaida wala si wanene. Mimi mwili wangu ni wastani tu si mnene wala mwembamba kimbao.
Hii hali imekuanza muda gani? Kabla ya balehe? Baada ya balehe?
Unakuwa na mawazo gani kichwani ukiwaona?
 
Back
Top Bottom