- Thread starter
- #81
kumbeVimbaumbau hawanivutii kabisa, kuna wengine kama wanaume tu
Wengine wana hadi 6 packs ukiwaangalia vizuri.
Jamani zile nyamanyama ni nzuri sana.
Uchafu ni asili ya mtu,kama mchafu ni mchafu tu hata uwe mwembamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbeVimbaumbau hawanivutii kabisa, kuna wengine kama wanaume tu
Wengine wana hadi 6 packs ukiwaangalia vizuri.
Jamani zile nyamanyama ni nzuri sana.
Uchafu ni asili ya mtu,kama mchafu ni mchafu tu hata uwe mwembamba.
Afya ya akiliNi bahati mbaya sana inatokea, nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa.
Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na wewe utakuwa mnene,,,usinijibu maana hali itakuwa tofauti.
Sista umepanick[emoji23][emoji23][emoji23]. Hiyo ni psychological effect tu wala hajamtuhumu mtu na yupo hapa kutatuliwa tatizo lake. [emoji23][emoji23][emoji23] yaani wanawake kila kitu wanafikiri wanawindwa wao, mtu anaweza kukufia mikononi mwako kwa psychological ideas ulizozicement kchwani mwako hivihivi kama unavyomtuhumu mtoa mada.Kwahiyo umeconclude wadada wanene wote wanatoka uchafu mweupe sehemu za siri?? Na umekua mkubwa bado hujataka kujua kwamba kutokwa uchafu mweupe ni ugonjwa iwe kwa mtu mnene au hata mwembamba ili mradi ni mwanamke??
Try to change ur mind bro!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu aiseeNi bahati mbaya sana inatokea, nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa.
Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Ipo hivi mkuu unakutana na besela (msichana mrembo mwenye kichuguu nyuma) limefunga mzigo wa maana na limejichomekea kwenye jeans moja matata kabisa, umeiona kwa nyuma tu haujaona sura unajipa matumaini kua huu msosi ndio wenyewe unaisogelea uione sura, aiseee inageuka sura duuuuuh unahisi kujitapikia sura haiendani na mwili, hicho ndio chanzo cha wewe kuhisi kujitapikia maana umekutana na sinia limefunikwa na kawa ukajua ndani kuna msosi wa maana unafunua kawa unachokikuta unatamani utapike tu buuuuwaaaaaaaaanikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji2960]Kwa first trisemister huwa ni kawaida kabisa, vumilia baada ya miezi mitatu hali hiyo itaisha utakaa sawa hata ukipishana na mnene hutajisikia chochote. Huwa inatokea
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119]Ukikutana na dem wangu utatapika na kuharisha mara stinambili kwa wiki
Hili ni la kujadili kwenye kikao😀🤣🤣🤣 tumekukosea nini sie vibonge?
Tuwasaidie ndugu zetu.Balaa la mutu munene kwenye suala la harufu sio poa.
Mita 100 kutoka usawa alipo ...smell inakuambia flani yupo hapa.
#even wembamba nao.
mshamba_hachekwi 😂😂Ni bahati mbaya sana inatokea, nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa.
Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
HahahaBalaa la mutu munene kwenye suala la harufu sio poa.
Mita 100 kutoka usawa alipo ...smell inakuambia flani yupo hapa.
#even wembamba nao.