Hili linaweza kuwa tatizo la kisaikolojia?

Hili linaweza kuwa tatizo la kisaikolojia?

Hapana. Sijawahi hata kufikiria.
Shida ipo wapi hapo..

Labda useme nini unakiona na kuhisi pale unapokutana na mwanamke futu kama huyu👇
59BAC11C-7B6F-43FD-8A87-8ACBAFC3C81E.jpeg
 
Ulishafanya mapenzi na mwanamke mnene ukapata experience mbaya, ? Kama vile uchafu, harufu mbaya..?
Nikiwa mdogo sana, nimewahi kumuona dada mmoja mnene jirani yetu akiwa amekaa bila nguo ya ndani na nikanotisi uchafu mweupe ukitoka sehemu za siri. Basi nimekuwa tu na hiyo hali kila nikawaona wadada wanene.
 
Nikiwa mdogo sana, nimewahi kumuona dada mmoja mnene jirani yetu akiwa amekaa bila nguo ya ndani na nikanotisi uchafu mweupe ukitoka sehemu za siri🤢🤢🤢🤮🤮🤮
Ina maana hii hali inakuja tuu ghafla au unamkumbuka huyo uliemsema
 
Nikiwa mdogo sana, nimewahi kumuona dada mmoja mnene jirani yetu akiwa amekaa bila nguo ya ndani na nikanotisi uchafu mweupe ukitoka sehemu za siri. Basi nimekuwa tu na hiyo hali kila nikawaona wadada wanene.
Kwahiyo umeconclude wadada wanene wote wanatoka uchafu mweupe sehemu za siri?? Na umekua mkubwa bado hujataka kujua kwamba kutokwa uchafu mweupe ni ugonjwa iwe kwa mtu mnene au hata mwembamba ili mradi ni mwanamke??

Try to change ur mind bro!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi najaribu kuwaza tu itakuwa kuna mahali ulishuhudia uchafu kutoka kwa mtu mnene. Labda anaweza akawa mwanamke uliyelala naye au uliyekumbana naye kwenye mkusanyiko ukala kijasho 😂

Ila Mkuu ukija huku kwetu uwe umebeba ndimu maana huku ni mwendo wa chubby chubby zakutosha.

Ila pole Mkuu.
 
😂😂😂nimecheka kifala
 
Ni bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
Endelea hivo hivo mkuu maan kilichopo huko ndani ndo utazima kabisa.
Sema tako usilinunie.
 
Asanteni sana kwa ushauri mzuri. Wengine mnadhani ni masihara ila ni halisi kabisaaa,,,,Nitafanyia kazi ushauri.
 
Vimbaumbau hawanivutii kabisa, kuna wengine kama wanaume tu
Wengine wana hadi 6 packs ukiwaangalia vizuri.

Jamani zile nyamanyama ni nzuri sana.
Uchafu ni asili ya mtu,kama mchafu ni mchafu tu hata uwe mwembamba.
 
Back
Top Bottom