IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Shida ipo wapi hapo..Hapana. Sijawahi hata kufikiria.
Labda useme nini unakiona na kuhisi pale unapokutana na mwanamke futu kama huyu👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ipo wapi hapo..Hapana. Sijawahi hata kufikiria.
Nikiwa mdogo sana, nimewahi kumuona dada mmoja mnene jirani yetu akiwa amekaa bila nguo ya ndani na nikanotisi uchafu mweupe ukitoka sehemu za siri. Basi nimekuwa tu na hiyo hali kila nikawaona wadada wanene.Ulishafanya mapenzi na mwanamke mnene ukapata experience mbaya, ? Kama vile uchafu, harufu mbaya..?
Daaaah!Shida ipo wapi hapo..
Labda useme nini unakiona na kuhisi pale unapokutana na mwanamke futu kama huyu👇
View attachment 2469074
Mkuu ni mama Kijacho tuu ndio anajisikia kutapika akiona hata kitu cha kawaida. Tena hasa miezi mitatu ya mwanzo nikahisi labda na yeye mama K.Hahahaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti atazoea dah! clearmind ameshika mimba hahahaa!!!
Ina maana hii hali inakuja tuu ghafla au unamkumbuka huyo uliemsemaNikiwa mdogo sana, nimewahi kumuona dada mmoja mnene jirani yetu akiwa amekaa bila nguo ya ndani na nikanotisi uchafu mweupe ukitoka sehemu za siri🤢🤢🤢🤮🤮🤮
Ghafla tuIna maana hii hali inakuja tuu ghafla au unamkumbuka huyo uliemsema
Kwahiyo umeconclude wadada wanene wote wanatoka uchafu mweupe sehemu za siri?? Na umekua mkubwa bado hujataka kujua kwamba kutokwa uchafu mweupe ni ugonjwa iwe kwa mtu mnene au hata mwembamba ili mradi ni mwanamke??Nikiwa mdogo sana, nimewahi kumuona dada mmoja mnene jirani yetu akiwa amekaa bila nguo ya ndani na nikanotisi uchafu mweupe ukitoka sehemu za siri. Basi nimekuwa tu na hiyo hali kila nikawaona wadada wanene.
😂😂😂😂Na kwanini uwe na mwili wastani? Ni huli ukashiba au?
Sio nambeba yani namzoa natokea mbali napiga mbioo nikimfikia nalichotaMkuu, unaweza kumbeba kweli au ndo ile tangulia nakuja 😀
Endelea hivo hivo mkuu maan kilichopo huko ndani ndo utazima kabisa.Ni bahati mbaya sana inatokea. Nikikutana na mwanamke/binti mnene hata barabarani tukatazamana tu, nahisi kutapika kabisa. Hivi hili laweza kuwa ni tatizo tu la kisaikolojia au nini wataalamu?
kwanini,,,We jamaa jau sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
😵Kapime ujauzito mkuu.