Hili ni swali langu kwenu mnaosema Israel ni ya wapelestina, Acheni kujitia upofu mtazame uhalisia

Hili ni swali langu kwenu mnaosema Israel ni ya wapelestina, Acheni kujitia upofu mtazame uhalisia

Mkuu usinigombanishe na mtume muhammad bhana wala hilo halitowezekana, ninachokisema ni hiki mtoa mada amezungumza mambo ya asili, na mimi nikajibu kuwa asili ya watu wa hapo ni wakanaani na hili ni kabila la kiarabu.

Ama kuhusu mambo ya yerusalem mimi nimepinga kuwa umar radhi za allah ziwe juu yake hakukabidhiwa funguo na viongozi wa watu wa kitabu?! mzozo hapa sio waliokutwa ila mimi nimesema nchi ni palestine na hata kwenye kiarabu huitwa filistine, huu tu ndo mzozo mengine yote ni sawa ila nchi ya israeli imeanza juzi kati tu ardhi inayogombaniwa miaka yote ni ardhi ya palestine.

Kinachotokea ni wakati gani wayahudi wanakuwa na nguvu na wakati gani waislamu wanakuwa na nguvu.
Aliesema Muhammad alipokwenda Jerusalem alikuta wapalestina ni wewe ama kuna mtu alidukua akaunti yako ya Jf?.
Alafu umeongeza vitu vingine vingi ambazo hata sijaviuliza.
 
Msikiti gani ambao haukuwepo? huo msikiti wa aqswa ni msikiti wa kale umetanguliwa tu na baytul haraam pale ilipo al kaaba tukufu, na hata mtume swala na salaam ziwe juu yake alifika kwenye msikiti huo wakati wa uhai wake na ndio ilipo ardhi takatifu.

Hao wana wa israeli hawakupewa hiyo ardhi milele bali ardhi hiyo watakaa watu wachamungu na hiyo ndio ahadi ya allah, hata hao wapalestina kwa sasa wamekuwa wanyonge kwasababu ya kuacha misingi ya dini yao.
karne gani ndugu, msikiti huo ulikuwepo wakati wa Yesu? wakati uislam na muhamad wamekuja karibia karne 5 baada ya Yesu (miaka karibia 500 huko). ndipo huo msikiti ulijengwa baada ya kuvunja hekalu la wayahudi alilojenga mfalme wao suleiman. na kwa sasa wapo kwenye maandalizi ya kuvunja ule msikiti ili kurestore hekalu mahali lilipokuwepo. soma historia na Biblia pia.
 
karne gani ndugu, msikiti huo ulikuwepo wakati wa Yesu? wakati uislam na muhamad wamekuja karibia karne 5 baada ya Yesu (miaka karibia 500 huko). ndipo huo msikiti ulijengwa baada ya kuvunja hekalu la wayahudi alilojenga mfalme wao suleiman. na kwa sasa wapo kwenye maandalizi ya kuvunja ule msikiti ili kurestore hekalu mahali lilipokuwepo. soma historia na Biblia
Sulaymaan alayhi ssalaam hakuwa mfalme pekee bali mtume wa allah na ndiye aliyeasisi msikiti huo, sasa unaposema haukuwepo nashindwa kukuelewa.

Ama mafunzo yake yeye na mitume waliotangulia kama musa alayhi ssalaam na waliokuja baada yake sio haya wanayoyafuata hawa wayahudi.
 
Aliesema Muhammad alipokwenda Jerusalem alikuta wapalestina ni wewe ama kuna mtu alidukua akaunti yako ya Jf?.
Alafu umeongeza vitu vingine vingi ambazo hata sijaviuliza.
Mkuu mimi sijasema alienda akakuta wapalestina bali nimesema alienda ardhi ya palestine, wewe ndio ukaleta habari ya birth and rebirth ambayo haikuwa msingi wa mjadala wetu.
 
Ukifuata historia utajichanganya kwenye mengi.

Na ikiwa hiyo ndiyo mizani yako hata hii Tanzania itapasuliwe vipande kwa sababu hata kabla ya Bartolomeu Dias kuja kwenye huu ukanda hii nchi ambayo kwa sasa inaitwa Tanzania sehemu ya hii nchi ilikuwa ni sehemu ya dola za tawala nyengine.

Sehemu ya dola ya tawala zipi?mbona kama unataka kujitoa akili,hizo historia unazitoa wapi zaidi ya kwenye maandiko ya vitabu.
 
Udini, uislam, mara yaccoub, mara yushaa, mara Jacob, mara Joshua dah ujinga ujinga mwingi tu, wenye shida sana ni waislam hawa watu uwa nashindwa kuwaelewa kabisa

Wanataka wajimilikishe dini ya wayahudi na miji ya wayahudi.
 
Wengi ni wafia dini ya mudi,wanajitia uchizi ila ukweli upo wazi na historia ipo wazi kabisa.
Nyie ndo mmewasaliti wakristo wenzenu wa palestina, sisi mnaotuita wafuasi wa Mudi ndio tunaowatetea. Leo hii wanapigwa kama mbuzi mpaka mapadre.

Hii video wakati nyie mnasherehekea Pasaka wenzenu wanabaguliwa siku ya pasaka hapa masista wakitemewa Mate


Kanisani pia wanapangiwa

Fujo zote hizi wana deal na Mchungaji mzee tena miaka 85 wanamtoa kinguvu kanisani


Nyie msioelewa mnatoa mimacho wafuasi wa Mudi, ila uhalisia waisilamu, wakristo, wasio na dini wote waliopo palestine ni kitu kimoja.
 
Tusichanyanya mafile, hatuzungumzii biblia bali tunazungumzia uenyeji wa ardhi husika


Tuliza kicha tafakari hili swali

Hivi mfano pale Mecca pangevavamiwa na wagiriki kisha waarabu wa hapo wangesafirishwa kutumiskishwa huko ugiriki na hapo Mecca mgiriki angeuza viwanja kwa waisrael, baada ya miaka 100 waarabu wangerudi kwenye ardhi yao ya Mecca, Je waisreal wangewakatalia kwamba hio sio ardhi yao kwasababu wameishi miaka 100 na wana hati za ardhi walizouziwa na wagiriki ?
Mkuu siku hizi ni rahisi kabisa kujua kama mtu sehemu fulani ni asili yake, watu hutumia carbon dating kupima mabaki ya maiti maelfu ya miaka nq dna za sasa.

Tafiti zote za kisayansi zinaonesha wapalestina lile ni Eneo lao


Hio report ya National Geography isome
 
Kanaani ndio nchi waliyopewa wayahudi, waisrael na Mungu wao baada ya kutoka Misri.

Kabla hawajaingia ktk ile nchi, wakiongozwa na Yoshua mwana wa nuni baada ya Musa kufa. Mungu aliwaambia wana wa Israel, mtakapoingia ktk hiyo nchi, waangamizeni wenyeji wote.

Wana wa Israel wakaacha wakanaani na wengine pia. Mungu alikasirika, akawaambia wana wa Israel, hayo mataifa mliyoacha kuyaangamiza yote. Hakika yatakuwa kama mwiba ktk maisha yenu yote.

Palestina ni kama mwiba ktk maisha yote ya Taifa la Israel, na hiyo ni nchi halali kabisa ya Israel sababu Baba yao Ibrahim alikaa hapo na aliimiliki hata.

Baada ya Ibrahim kufa, wakaja watu wengine kuishi hapo, hiko ndicho kipindi cha wana wa Israel walipokuwa utumwani kwa miaka 430 nchini Misri.
What if Palestina ndio watu wa kanaani? Scientifically ipo proved

DNA from the Bible's Canaanites lives on in modern Arabs and Jews

Kazi kwenu waimba mapambio na one sided love yenu.
 
Nikupe taarifa tu kama ni mvivu wa kusoma kuwa Wapalestina wakristo na waislamu ni asilimia hawakupishana sana.

Na wao ni wakristo orginal siyo ya kupitia Rome wala Ujerumani. Hanaan Ashrawi aliyekuwa mke wa Arafat ni mkristo wakati Arafat mwenyewe alikuwa muislamu.

Hiyo homa ya udini munajipaka nyinyi watetezi wa Israel musiotambuliwa
Viongozi wengi wa kupigabia uhuru wa Palestina ni Wakristo, huwezi Ongelea Palestina bila kumuongelea George Habash, Hapo Chile tu kuna Wapalestina 500,000 na majority ni wakristo.
 
Ujue mkuu,mimi kabla majibu ya swali la wale akina dada wa Kiislamu la ya kwamba wao wataoana na akina nani ikiwa buana zao watapewa bikira 72 kila mmoja hayajapatikana.

Mimi nina swali jingine pia,nalo ni;
Kati ya Suez canal na safari ya wana wa Israel kutoka Misri ni kipi kilianza?

Labda km nakosea lkn ninahisi Palestine na Israel zote zinapakana na Misri,hata km hazipakani lkn kabla ya Suez canal hapa hapakuwa na haja ya kutumia fimbo kutawanya bahari ya sham maana njia ilikuwepo.

Majibu ya swali tafadhari kwanza naomba.
Swali la bikra 72, sio kwamba wanawake hawana equivalent yake, ila ni kwamba haijasemwa wazi, Hekma yake ni kwamba wanawake wameumbwa na Haya/Aibu,

Ashakum sio matusi, ila imagine mwanamke aambiwe Peponi utapata mpingili una Nchi saba, huoni ingeleta dhihaka nyingi sana na wangetaniwa sana?

Mwenyezi Mungu yeye ndio ametuumba na yeye ndio anajua deep kwenye mioyo yetu tunatamani nini na yeye ndio atakaetulipa hio siku ya kiama, tuombe tu kwa mwenyez Mungu tuwe na mwisho mwema na wote tuingie Peponi.

All in All peponi kwa mujibu wa Dini ya kiisilamu utapata chochote nafsi yako inayohitaji, At minimum ni Ardhi yenye ukubwa sawa na Dunia mara 10, hao ma Hurs pia sio binadamu ni race maalum ku serve wanadamu peponi, so ukitaka playstation, Pombe, Nyama choma kila kitu utakipata, kuna Vitu vimekatazwa Duniani Peponi vitaruhusiwa.
 
Asante mkuu.
Umejuaje kuwa Mungu hakuliweka wazi suala la hao wanaokaba nafasi za bikira 72 kuwa ni busara na hekima za kulinda utu wao?
Swali la bikra 72, sio kwamba wanawake hawana equivalent yake, ila ni kwamba haijasemwa wazi, Hekma yake ni kwamba wanawake wameumbwa na Haya/Aibu,

Ashakum sio matusi, ila imagine mwanamke aambiwe Peponi utapata mpingili una Nchi saba, huoni ingeleta dhihaka nyingi sana na wangetaniwa sana?

Mwenyezi Mungu yeye ndio ametuumba na yeye ndio anajua deep kwenye mioyo yetu tunatamani nini na yeye ndio atakaetulipa hio siku ya kiama, tuombe tu kwa mwenyez Mungu tuwe na mwisho mwema na wote tuingie Peponi.

All in All peponi kwa mujibu wa Dini ya kiisilamu utapata chochote nafsi yako inayohitaji, At minimum ni Ardhi yenye ukubwa sawa na Dunia mara 10, hao ma Hurs pia sio binadamu ni race maalum ku serve wanadamu peponi, so ukitaka playstation, Pombe, Nyama choma kila kitu utakipata, kuna Vitu vimekatazwa Duniani Peponi vitaruhusiwa.
 
Hiyo kabla ya hakukuwa na taifa fulan ni hoja yenye kibyongo. G
Hata 1891 kurudi nyuma hakukua na nchi inayoitwa Tanganyika sasa sijui why kwa upande wa Israeli unapata hoja.
Turudi kwenye swali langu:- hao waisrael, kwao ni wapi kabisa!! mbona wanajadiliwa as if walishuka toka mawinguni tu wakafikia hapo middle east. Why jamii zote ziwe na maeneo yao ya asili but ikifika kwa waisrael inaonekana wameibuka tu from no where around 1949's?.
Waisrael walikua wakiishi Nchi mbalimbali za kiarabu na Middle east, Morocco, Tunisia, Iran, Iraq kote huko kulikua na waisrael. Wengine walikua Ulaya na maeneo mengine Wapo makundi mengi kuna
-Ashkenaz hawa ni weupe Blonde Hair na macho ya Blue wengi walikua Ulaya, Ashkenaz inamaanisha Ujerumani
-Sepharidic jews, Hawa waliishi Iberian Penisula sehemu kama Spain
-Mirzahi ama Arab jews hawa waliishi Nchi za kiarabu.

Kihistoria Wakati wakiuliwa huko Ulaya na maeneo mengine jews waliishi kwa amani Nchi za kiisilamu, unaposema jews golden Age ndio hio hio Islamic Golden Age, tuliwahifadhi na kuwatetea maelfu kwa maelfu ya miaka.

Ugomvi baina ya waisilamu na Jews unahusiana zaidi na Zionism, baada ya Mazionist kuja na kupora Palestina ndio wakaanza kutimuliwa wayahudi nchi za kiarabu ila hii ni chini ya miaka 100 iliopita.

Eneo la palestina linamilikiwa na Wote waisilamu, wakristo na wayahudi. Sababu mtu ni muisilamu ama Mkristo haimaanishi hakua muisraeli wa zamani, kuna waisrael kibao walisilimu ama kubatizwa.

Kama Comment za juu links nilizoeka kuna ushahidi wa kisayansi kwamba wapalestina wa sasa ndio wakaazi wa zamani eneo hilo,

Pia unatAkiwa ufahamu definition ya Uarabu ya sasa haimaanishi ethnicity ya mtu, Sudan ni weusi ila wanaitwa waarabu, Morocco na Algeria ni Amazingh/berbers wanaitwa waarabu, Iraq, syria, Lebanon etc kuna Ethnicity group nyingi wote wanaitwa waarabu, Egpty kopts wanaitwa waarabu etc. Ki asili waarabu ni wale wanaoishi Ghuba tu, Saudi, Yemen, Oman, part ya Iraq etc.

Ukiangalia by Appearence wapalestina hawafanani na waarabu, hivyo kusema walihamia toka nchi za kiarabu ni uongo mkubwa tu. Hawa wa sasa wanaoitwa levant arabs ndio wakazi halisi wa hilo eneo wapo Syria, lebanon, Palestina etc ni weupe wengine blonds, wana blue eyes etc. Hawapo kama waarabu wa kawaida. Ukichukua ushahidi wa kisayansi + appearence zao + culture zao kama upo open minded utaelewa vizuri hilo ni eneo la Palestine.
 
Asante mkuu.
Umejuaje kuwa Mungu hakuliweka wazi suala la hao wanaokaba nafasi za bikira 72 kuwa ni busara na hekima za kulinda utu wao?
Kama unavyoona kwenye Elimu ya kawaida kuna certificate, diploma, Degree, master, Phd hadi ma professor na kwenye dini ya uisilamu pia hivyo hivyo tuna stage za Elimu, Equivalent ya professor tunaitwa maulamaa, hawa ni watu waliosoma dini na kukubalika na wasomi wenzao wana equivalent ya research na papers kiasi kwamba wanaruhusiwa kutafsiri vitu.

Kupitia miongozo yao na vitabu vyao tunapata Explanation ya mambo mbalimbali. Nimetafuta mahala niliposoma hio Explanation sijapapata ila kama utahitaji zaidi nitaangalia zaidi.

Pia hio wanaume tutapata Hur ila namba kamili hakuna, hio Hadithi ya idafi kuwa ni 72 most of time hutumiwa tu na haters wa Uisilamu, ina debate sana ndani ya uisilamu kuhusu usahihi wake na Maulamaa wengi hawaitumii.
 
Kama unavyoona kwenye Elimu ya kawaida kuna certificate, diploma, Degree, master, Phd hadi ma professor na kwenye dini ya uisilamu pia hivyo hivyo tuna stage za Elimu, Equivalent ya professor tunaitwa maulamaa, hawa ni watu waliosoma dini na kukubalika na wasomi wenzao wana equivalent ya research na papers kiasi kwamba wanaruhusiwa kutafsiri vitu.

Kupitia miongozo yao na vitabu vyao tunapata Explanation ya mambo mbalimbali. Nimetafuta mahala niliposoma hio Explanation sijapapata ila kama utahitaji zaidi nitaangalia zaidi.

Pia hio wanaume tutapata Hur ila namba kamili hakuna, hio Hadithi ya idafi kuwa ni 72 most of time hutumiwa tu na haters wa Uisilamu, ina debate sana ndani ya uisilamu kuhusu usahihi wake na Maulamaa wengi hawaitumii.
Nikajua labda yanapatikana ndani ya Quran mkuu,kumbe siyo?

Sasa hii Quran ni ya nini?
 
Pamoja mkuu.
Waisrael walikua wakiishi Nchi mbalimbali za kiarabu na Middle east, Morocco, Tunisia, Iran, Iraq kote huko kulikua na waisrael. Wengine walikua Ulaya na maeneo mengine Wapo makundi mengi kuna
-Ashkenaz hawa ni weupe Blonde Hair na macho ya Blue wengi walikua Ulaya, Ashkenaz inamaanisha Ujerumani
-Sepharidic jews, Hawa waliishi Iberian Penisula sehemu kama Spain
-Mirzahi ama Arab jews hawa waliishi Nchi za kiarabu.

Kihistoria Wakati wakiuliwa huko Ulaya na maeneo mengine jews waliishi kwa amani Nchi za kiisilamu, unaposema jews golden Age ndio hio hio Islamic Golden Age, tuliwahifadhi na kuwatetea maelfu kwa maelfu ya miaka.

Ugomvi baina ya waisilamu na Jews unahusiana zaidi na Zionism, baada ya Mazionist kuja na kupora Palestina ndio wakaanza kutimuliwa wayahudi nchi za kiarabu ila hii ni chini ya miaka 100 iliopita.

Eneo la palestina linamilikiwa na Wote waisilamu, wakristo na wayahudi. Sababu mtu ni muisilamu ama Mkristo haimaanishi hakua muisraeli wa zamani, kuna waisrael kibao walisilimu ama kubatizwa.

Kama Comment za juu links nilizoeka kuna ushahidi wa kisayansi kwamba wapalestina wa sasa ndio wakaazi wa zamani eneo hilo,

Pia unatAkiwa ufahamu definition ya Uarabu ya sasa haimaanishi ethnicity ya mtu, Sudan ni weusi ila wanaitwa waarabu, Morocco na Algeria ni Amazingh/berbers wanaitwa waarabu, Iraq, syria, Lebanon etc kuna Ethnicity group nyingi wote wanaitwa waarabu, Egpty kopts wanaitwa waarabu etc. Ki asili waarabu ni wale wanaoishi Ghuba tu, Saudi, Yemen, Oman, part ya Iraq etc.

Ukiangalia by Appearence wapalestina hawafanani na waarabu, hivyo kusema walihamia toka nchi za kiarabu ni uongo mkubwa tu. Hawa wa sasa wanaoitwa levant arabs ndio wakazi halisi wa hilo eneo wapo Syria, lebanon, Palestina etc ni weupe wengine blonds, wana blue eyes etc. Hawapo kama waarabu wa kawaida. Ukichukua ushahidi wa kisayansi + appearence zao + culture zao kama upo open minded utaelewa vizuri hilo ni eneo la Palestine.
Ninachokiona mimi hivi vitabu viwili (Quran & Bible) tofauti yake ni ndogo sana.
1 . Vyote vinalenga kukuza uchumi wa waliokaa na kuviandaa.
2. Kwakuwa ni plans za kiuchumi,hivyo viko kwenye ushindani vikishindania wateja kwa kujinadi kwa kila namna ya uzuri wa kipekee.
3. Kimoja kinapondea upande wa pili.
4. Kimoja kinajitetea ili kuirejesha thamani yake iliyokuwa ikididimia sokoni.

5 . Vyote vina mfumo wa kiunyonyaji either material or human resources.
 
Kanaani ndio nchi waliyopewa wayahudi, waisrael na Mungu wao baada ya kutoka Misri.

Kabla hawajaingia ktk ile nchi, wakiongozwa na Yoshua mwana wa nuni baada ya Musa kufa. Mungu aliwaambia wana wa Israel, mtakapoingia ktk hiyo nchi, waangamizeni wenyeji wote.

Wana wa Israel wakaacha wakanaani na wengine pia. Mungu alikasirika, akawaambia wana wa Israel, hayo mataifa mliyoacha kuyaangamiza yote. Hakika yatakuwa kama mwiba ktk maisha yenu yote.

Palestina ni kama mwiba ktk maisha yote ya Taifa la Israel, na hiyo ni nchi halali kabisa ya Israel sababu Baba yao Ibrahim alikaa hapo na aliimiliki hata.

Baada ya Ibrahim kufa, wakaja watu wengine kuishi hapo, hiko ndicho kipindi cha wana wa Israel walipokuwa utumwani kwa miaka 430 nchini Misri.
Kwani Nabii Ibrahim alikua myahudi ?
 
Hua nikisoma maandiko Kama haya, ninaishia kucheka yaani MUNGU awaruhusu, waisraeli kuangamiza mataifa mengine bila sababu.

Hivi vitabu msipende kuvisoma kwa kuongozwa na hisia, sababu kina mapungufu mengi sana.
Wamemezeshwa na malengo ya wazungu waache tu wafate Iman bira akili , mwenyezi Mungu anapotaka kuwaangamiza waja wake anatumia malaika na wala si watu awaambie mukiingia huko uweni watu wote halafu mukai ninyi haya si maneno ya Mungu labda aseme ya mzungu . Kwahiyo ndio maana Israel inakuwa wasio na hatia sababu ndio Mungu wao kawaambia eeeh!
 
Back
Top Bottom