Hili suala la Bongo Zozo kujipenyeza kila mahali hadi chumbani kwa baba limekaaje?

Museum ni jumba la maonesho, tofauti na ikulu
 
TANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Sorry unaongelea vyombo vya jikoni kama sufuria, sahani na vikombe ... ?

... au unaongelea vile VYOMBO vilivyo mteka MOO halafu vikamuokota akiwa ametupwa jalalani GYMKHANA

... au unaongelea vile VYOMBO vilivyovamia CLOUDS FM amabvyo ilifikia boss wao alikua yule M*T*KO makubwa aliekuwa pale Ilala Boma

... au unaongelea vyombo vilivyom'minia risasi yule jamaa wa Singida alipokua kule Dodoma Kutimiza wajibu wa kikatiba

... au unaongelea vile vyombo vilivyojipatia umaarufu wa jina la WASIOJULIKANA

... we unaongelea vyombo gani kwani kama vyombo vya jikoni sawa ni muhimu sana katika maisha yetu watanzania

Ila kama ni hivi VYOMBO vya pale kwenye lile jengo la yule ndege maarufu anaekula viranga vya kuku ... Hamna kitu

Nilichoka siku niliposhuhudia mtoto wa shemeji yake na moja ya chombo alipopata ajira ya kuwa chombo na Div 4 yake ya D mbili hapo ndipo nilipo choka kabisa
 
Magufuli ndio aliasisi inteligence?

Aliwakosea nini huyu mzee?

Ifike mahali watu kama nyinyi mkemewe hizo ni chuki binafsi

Magufuli alifanya makubwa sana ambayo wewe na ukoo wako hakuna mwenye akili kumzidi
 
Ujasusi sio suala la kudhuru tu
 
Huyu j

Huyu jamaa kipindi cha nyuma alikuwa anaishi iringa eneo la wilokesi kazi yake kubwa ilikuwa kununua fedha za zamani.wengi walijua ni fbi
Fbi hafanyi kazi nje ya marekani

Nchi hii ina vilaza wengi na ndio wanaanzisha na kuchangia mada humu
 

Mkuu huenda ww ni mgeni au unakwepa kuongea ukweli, hayo mambo ya msingi watu wanahoji na wanaishia kutekwa, kufayiwa ukatili ikiwemo na kuhujumu sehemu zao za vipato.
 
Mkuu huenda ww ni mgeni au unakwepa kuongea ukweli, hayo mambo ya msingi watu wanahoji na wanaishia kutekwa, kufayiwa ukatili ikiwemo na kuhujumu sehemu zao za vipato.
Na matokeo yake wanafwata mkia!uoga na ubinafsi, mimi ni mzaliwa na mkulia wa huku lingusenguse sio mgeni na always ninapenda facts
 
Magufuli ndio aliasisi inteligence?

Aliwakosea nini huyu mzee?

Ifike mahali watu kama nyinyi mkemewe hizo ni chuki binafsi

Magufuli alifanya makubwa sana ambayo wewe na ukoo wako hakuna mwenye akili kumzidi
Nyie ndio mliokuwa mkimwita Magufuli mheshimiwa Mungu huku mkisema kuwa Tanzania haitampata kiongozi mwenye akili kama Magufuli.
Magufuli alikuwa na akili ndogo tu sema tu wengi wa aliowaongoza akili zao zilikuwa ndogo zaidi that's why walimwina genius sana ikiwemo wewe.
Kiongozi atakayeweza kuondoa ufukara na umaskini wa Watanzania ambao wengi vitanda vyao viko juu ya madini na ardhi yenye rutuba huyo ndiye tutamwita kiongozi Bora na mwenye akili sana.
Sio kiongozi mshenzi, muuaji, mwenye matamko na muongo kama Magufuli.
 
Nimebahatika kujuana na waingereza kadhaa, hivyo siwezi kumshangaa Bongozozo, Waingereza wakikipenda kitu wanakuwa na kauchizi Fulani ndani yake. Kilichobaki tuwaachie watu wa ulinzi na usalama wao wanajua zaidi
 
Sio rahisi kufahamu malengo halisi ya mtu mpaka upate muda wa kuwa nae karibu.

Huyu jamaa anatuzuga tu hana jema lolote.
 
Kumbe anatafuta fedha za kale halafu anatuzuga kuipenda Taifa Stars??

Wazungu bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…