Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Museum ni jumba la maonesho, tofauti na ikuluMaeneo mengi tu ya huko amefika kwenye museum na maeneo kibao. Ila yote kwa yote bongo zozo ni sawa tu na wazungu Koko wengine japo hofu yako, ni sahihi tu. Hata sisi tungejifunza ujasusi wa hivyo tungekuwa mbali, Leo kununu gari zambia bei rahisi wakati yanapita bandari na Boda za kwetu. Kuna mahali tumekwama
Wewe bujibuji bongo zozo unamuhofia nini?Museum ni jumba la maonesho, tofauti na ikulu
Kwanini wewe humuhofii kitu?Wewe bujibuji bongo zozo unamuhofia nini?
Mbona hata lissu anaupiga mwingi online lakini hapewi ubalozi..?Bongo zozo ni content creator anaupiga mwingi huko online
Sorry unaongelea vyombo vya jikoni kama sufuria, sahani na vikombe ... ?TANZANIA na vyombo vya usalama sio wajinga kiasi hicho mnachodhani
Lissu ni content creator?Mbona hata lissu anaupiga mwingi online lakini hapewi ubalozi..?
sir yes Sir....... uko sahihiSorry unaongelea vyombo vya jikoni kama sufuria, sahani na vikombe ... ?
Sisi tunanini Cha kuhofia watu?Kwanini wewe humuhofii kitu?
Magufuli ndio aliasisi inteligence?Intelligence ya Tanzania iliyoasisiwa na Jiwe Magufuli inaangalia kulinda kit cha Rais aliyeko madarakani mengine hayawahusu.
Huyo Bongo zozo siku akiinua kinywa tu kuropoka jambo lolote kuhusu RAIS ataitwa uhamiaji na kupewa masaa 24 tu aondoke haraka
Ujasusi sio suala la kudhuru tuHata sie pia tulikuwa na mawazo kama yako lakini baadae tukafahamu kwamba jamaa amejitolea tu na kuipenda nchi yetu kwa sababu anaye mwanamke wa kibongo alafu mwenyewe umesikia amesema anatamani ampe mkono kwanza lakini kwa sababu za kiusalama harusiwi kumpa mkono raisi mpaka raisi atoe yeye kwanza naami kwa intelligence ya nchi yetu huyu jamaa kama angelikuwa mtu wa hivyo unavyomchukuria asingefikia hapo halipo.labda nahisi utofauti wa rangi yake nasi ndio inayochangia jamaa kumfikiria kwamba ni jasusi fulani kumbe ujasusi ,ubaya hauna rangi wala ukabila
Fbi hafanyi kazi nje ya marekaniHuyu j
Huyu jamaa kipindi cha nyuma alikuwa anaishi iringa eneo la wilokesi kazi yake kubwa ilikuwa kununua fedha za zamani.wengi walijua ni fbi
Muda mwingine middle class wa kitanzania mna push Ile line ya uwezo wa kawaida wa kufikiri, tupo more concern na mambo ya ajabu huku yanayotuathiri zaidi tunayakwepa au kuogopa vivuli vyetu.
Nchi hii Ina more pressing issues kuliko huyu mzalendo tuliyetofautiana rangi tu, maadui wetu bado ni ujinga, umasikini na maradhi SIO woga kuhusu usalama wa politicians wetu, budgets zao za kiusalama watanzania wengi hatuzijui and we can't ask them.
Na matokeo yake wanafwata mkia!uoga na ubinafsi, mimi ni mzaliwa na mkulia wa huku lingusenguse sio mgeni na always ninapenda factsMkuu huenda ww ni mgeni au unakwepa kuongea ukweli, hayo mambo ya msingi watu wanahoji na wanaishia kutekwa, kufayiwa ukatili ikiwemo na kuhujumu sehemu zao za vipato.
Watu wa kumtegemea Denis Urio kupeleleza UGAIDI, unategemea nin!!?tatizo tiss wamejazwa mazazwa ya uvccm hajui chochote kuhusu intelligence wanaendekeza ukada tu eagle house
Nyie ndio mliokuwa mkimwita Magufuli mheshimiwa Mungu huku mkisema kuwa Tanzania haitampata kiongozi mwenye akili kama Magufuli.Magufuli ndio aliasisi inteligence?
Aliwakosea nini huyu mzee?
Ifike mahali watu kama nyinyi mkemewe hizo ni chuki binafsi
Magufuli alifanya makubwa sana ambayo wewe na ukoo wako hakuna mwenye akili kumzidi
Sio rahisi kufahamu malengo halisi ya mtu mpaka upate muda wa kuwa nae karibu.Mwaka Jana kaenda Zanzibar akaambiwa aende Oman Kuna Wazanzibar wanazo hizo hela za wajerumani na dinar za waoman kipindi wanaitawala Zanzibar alienda lakini sijui kama akifanikiwa .Bongozozo kazi yake kubwa hapa Tanzania licha ya kuwa kaoa mwanamke kutoka Moshi ni kutafuta Mali za kale hasa hizi hela za wajerumani.kwenye mpira anazuga tu .
Kumbe anatafuta fedha za kale halafu anatuzuga kuipenda Taifa Stars??Bongozozo ni mjanja sana na kazi kubwa anayoifanya hapa Tanzania ni kutafuta hela za zamani za wajerumani zile zinazoitwa Simba mbili na vitu vingine vya kale kama hivo sema anawazuga wasiojua lakini kazi yake kubwa ni hiyo.Huko kujifanya ni shabiki wa Taifa stars ni uongo tu.