Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww kiazi kabisa unafananisha wakatit wa ukoloni na nyakati hizi!!?Acha uboya wewe, kabla hata wakoloni hawajaja tulikaa kwa amani sana.
Nenda vijijini huko ndani kabisa, hamna polisi wala mgambo lakini amani imetawala
Aiseee umefikiri ndani ya box mhenga, eg CarpeterzAnatia shaka. Hata mababu zake walitumia mbinu hizihizi
Mi pia najiulizaga sana!Huyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
Ni kweli aisee!Hivi kicheko na mashamsham aliyonayo mbona haya Wiyani na alivyo. Yaani kuna vitu usoni havina ushirikiano
Yaani ni kama maigizo flani hivi, but wenye kujua watakua wanajua zaidi!!Hivi kicheko na mashamsham aliyonayo mbona haya Wiyani na alivyo. Yaani kuna vitu usoni havina ushirikiano
Ni kweliLabda nikueleze kwa upana kidogo, Kuna mission ili ufanikiwe mnakubariana wewe na wenzako kuwa ikitokea nimefanikiwa kufika na nikacheka jueni Hali ni mbayaa, au nikifika nikakohoa eleweni hivi na vile,fanyeni hiki na kile, au nikampa mkono wa kulia, kushoto, nikavaa barakoa mlegezo, nikavaa viatu hivi and the same.
NI ngumu kumgundua ila hizi mbinu zipo.
Kua kila mahali alafu kiongozi mkubwa wa nchi anasikika akisema nchi imeibiwa sana rasilimali nisawa na kutokuwepo.Inawezrkana ukawa huna mgogoro wowote ila ukawa shamba la bibi wakawa wanakuchora tu.Usalama wa nchi ni zaidi ya unavyofikiria.Watu wa usalama wapo kila mahali na wanajua wajibu wao ndio maana unaona tupo salama tunadunda tunatembea kifua mbele,, jaribu kuleta zako za kuleta uone moto utakaokuwakia, This is Tanzania my friend " !!!
Bongo zozo hana lolote,bali anatafuta maisha kushibisha tumbo lake,hana atharo yoyote ileHuyu jamaa huenda ni shushushu VIP , lakini sisi tunamchukulia poa huku tukijidanganya kuwa msemo usemao KIKULACHO KI NGUONI MWAKO umepitwa na wakati
View attachment 2129177
nakubaliana na wewe. Bongo kwanz ni mshemej ameoa machame.na pia hiv kuna kitu gan west wasiwe nacho wakiamua tu wanabonyez setalait chaa dar nzima hio hapo.unaambiw pale msassn jamaa wa ubaloz walikua wametulia wanaona mwiz wa simu njia alizopitia mpk alipoend kujificha jaamaa wwametulia tu wanamchek kupitia saterait yao ambayo iliend kufungwa katika sayar ya mwezin ambayo ma ulaya wanayo so wakitaka ishu yoyot inabonyezwa tu. acha mawazo ya kwemy series zinatuharibu sana kujiona tuna juaa interijensiaMuda mwingine middle class wa kitanzania mna push Ile line ya uwezo wa kawaida wa kufikiri, tupo more concern na mambo ya ajabu huku yanayotuathiri zaidi tunayakwepa au kuogopa vivuli vyetu.
Nchi hii Ina more pressing issues kuliko huyu mzalendo tuliyetofautiana rangi tu, maadui wetu bado ni ujinga, umasikini na maradhi SIO woga kuhusu usalama wa politicians wetu, budgets zao za kiusalama watanzania wengi hatuzijui and we can't ask them.
!Kua kila mahali alafu kiongozi mkubwa wa nchi anasikika akisema nchi imeibiwa sana rasilimali nisawa na kutokuwepo.Inawezrkana ukawa huna mgogoro wowote ila ukawa shamba la bibi wakawa wanakuchora tu.Usalama wa nchi ni zaidi ya unavyofikiria.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wamemtuma waoHaya mambo yapo Tanzania tu, idara ya shughuli za kisiri imelala fofofo nchi inachezewa kiboya
Ujamaa bado upo ?!!Ndio ujamaa ulivyo
Kwani
Ujamaa bado upo ?!!
[/QUOTE
Imani huwa haifi
Muandiko wako mgumu kuuelewa makosa mengi mno sijui tatizo simu au mwenyewe .Halafu usipende kufipisha maneno inafanya makosa yawe mengi zaidi.nakubaliana na wewe. Bongo kwanz ni mshemej ameoa machame.na pia hiv kuna kitu gan west wasiwe nacho wakiamua tu wanabonyez setalait chaa dar nzima hio hapo.unaambiw pale msassn jamaa wa ubaloz walikua wametulia wanaona mwiz wa simu njia alizopitia mpk alipoend kujificha jaamaa wwametulia tu wanamchek kupitia saterait yao ambayo iliend kufungwa katika sayar ya mwezin ambayo ma ulaya wanayo so wakitaka ishu yoyot inabonyezwa tu. acha mawazo ya kwemy series zinatuharibu sana kujiona tuna juaa interijensia
Umemaliza game mkuu !Pros and Cons...
Tuna kipi cha kuficha humo chumbani kwa so called Baba ?
Ki-utalii mzungu kuzumgumzia na kujivika Utanzania na kuipenda Tanzania ni Tangazo la Tanzania kwa hao so called mashushu wanzake ili nao waje kutumia dollar zao...
Wakitaka kuiba siri / nyaraka hawatatumia huyo so called shushushu, watatumia hata mke wako, wewe mwenyewe mawaziri wako au hata huyo anayekufagilia chumbani