Choosen Branch
Member
- Sep 4, 2024
- 51
- 34
Habari za muda huu wanajukwaa?
Ipo hivi niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mshichana mmoja anayetokea ukanda wa kaskazini, msichana huyo pia alikuwa akisoma chuo kimojawapo huko Arusha.
Sasa kilichokuwa kikinishangaza licha ya tabia yake kuwa njema na mcha Mungu mzuri lakini bado wazazi wake hasa mama yake ameendelea kumlea kama mtoto mdogo yani bado anamfuatilia sanaa kana kwamba ni binti bado hajavunja ungo.
Jambo hili lilinifanya kujiuliza maswali mengi kwa mfano, je huyu binti anayetarajiwa kuwa mke wa mtu siku chache za usoni anafuatiliwa hivi na mzazi wake ina leta picha gani kwenye jamii?
Soma Pia: Wote wenye tabia mbaya ni malezi mabovu ya mama zao
Jambo jingine mama yake ni mkali sanaa kiasi kwamba akiona tuu kijana yeyote anajisogeza kuongea na mwanaye anamkaripia hadharani sasa najiuliza huyo mama hataki mwanae atongozwe ataolewa vipi? Hata mwanaye anamuogopa sanaa.. Mlio na watoto wa kike hebu mje mtoe uzoefu wenu.
Ipo hivi niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mshichana mmoja anayetokea ukanda wa kaskazini, msichana huyo pia alikuwa akisoma chuo kimojawapo huko Arusha.
Sasa kilichokuwa kikinishangaza licha ya tabia yake kuwa njema na mcha Mungu mzuri lakini bado wazazi wake hasa mama yake ameendelea kumlea kama mtoto mdogo yani bado anamfuatilia sanaa kana kwamba ni binti bado hajavunja ungo.
Jambo hili lilinifanya kujiuliza maswali mengi kwa mfano, je huyu binti anayetarajiwa kuwa mke wa mtu siku chache za usoni anafuatiliwa hivi na mzazi wake ina leta picha gani kwenye jamii?
Soma Pia: Wote wenye tabia mbaya ni malezi mabovu ya mama zao
Jambo jingine mama yake ni mkali sanaa kiasi kwamba akiona tuu kijana yeyote anajisogeza kuongea na mwanaye anamkaripia hadharani sasa najiuliza huyo mama hataki mwanae atongozwe ataolewa vipi? Hata mwanaye anamuogopa sanaa.. Mlio na watoto wa kike hebu mje mtoe uzoefu wenu.