Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Sema wengi huwa wanna pigo za kihuni anaakuliza hivyo ili aanze kukupiga vizinga kisawa sawa
Ukijifanya unasifa ukajibu vzur subiria izo rocket π utakubali mziki.Jamani...kwani mnafanya kazi wapi mpaka kuulizwa iwe big deal kiasi hicho???π³
All I knoww is, watu wenye kazi zao za maana hawakogi that insecure.π
Wasiwasi wenu lakionaires wa nchi hii.πUkijifanya unasifa ukajibu vzur subiria izo rocket π utakubali mziki.
πππHuna huo ujasiri wa kuniombea papuchi
Binafsi siulizi, ila sioni tatizo mtu kuuliza au kuniuliza!Ni imani tu mmejiwekea.
Binafsi nikikutana na mtu aka-catch interest yangu (generally, that is), lazima ntamuuliza kwasababu ni sehemu ya kujua aina ya mtu nnaezungumza nae. Kwahiyo huwa nauliza, na naulizwa sana hata kwenye convo ya kwanza kabisa. Wala sijawahi kuchukulia vibaya kana kwamba huyo mtu ananichunguza zaidi ya vile inapaswa.
Sasa pana mtego gani hapo Mkuu?Salute Comrades!
Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.
Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.
Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"
Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.
Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.
Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono [emoji23]
Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Huo ndo ukweli kwan mlengaga nn?Wasiwasi wenu lakionaires wa nchi hii.π
BlockKunq dem nilimjibu najishuhulisha na ujenzi aiseee ikqwa kila nikipiga naambiwa inatumika sijui shida ni ipi
Hongera sana,nipe pesa rafiki ili nimpatie mchumba asipate nguvu ya kuniuliza kazi gani nafanya.Napambana! π π
Napopambania huwa silipwi na hata nikilipwa huwa wanachelewa sana, na ikinifikia yote inaishia kwenye π₯
KwaniniMie huu uzi siwezi jibu nipo nipo tu
Huyo alikublock mkuuKunq dem nilimjibu najishuhulisha na ujenzi aiseee ikqwa kila nikipiga naambiwa inatumika sijui shida ni ipi
Sasa mbona hiyo mifano yako hao watu kazi zao hazina maokoto ya maana!Salute Comrades!
Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili.
Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially Kama mwanamke husika Ni anakidhi vigezo vyako.
Basi kipindi unamtongoza mwanamke Kuna hili swali ambalo lazima atakuuliza.
Swali lenyewe Ni Kama ifuatavyo ," Kwa hiyo wewe unajishughulisha na Nini maishani?"
Nina imani wanaume wengi wamewahi kuulizwa hilo swali na wanawake.
Bro sikiliza,Hilo swali hapo juu huwa haliulizwi kwa bahati mbaya Kama wengi tunavyofikiria.Hilo swali Ni la kimkakati limekaa kimtego Sana.
Jibu utakalompa ndilo litakaamua mustakabali wa mahusiano yenu Kati yako na huyo mwanamke unayemtongoza.
Mwanamke akikuuliza huwa unafanya shughuli/ kazi gani huwa anataka kujua Kama hiyo kazi in uwezo wa kukupa kipato Cha uhakika na hatimaye hutashindwa kumhudumia.Kwa hiyo hapo mwanamke anajali kuhusu financial security.
Kwa mfano mwanamke akikuuliza unafanya shughuli gani kujikimu kimaisha kisha wewe unamjibu " Mimi ni lecturer pale UDSM au Mimi Ni bank teller" walahi hapa probability ya kukubaliwa ombi lako Ni 99%.
Sababu Ni kwamba mwanamke atakuwa na uhakika wa kuhudumiwa vizuri coz tayari anajua unafanya kazi yenye mshahara mnono π
Wanaume kuweni makini Sana na hilo swali ambalo wanawake wanapenda kuwauliza pindi mnapowatongoza.
Inaonesha huna shule kwa jinsi unavyo wachukia wasomimkuu hapo ukituliza kichwa hata lekicha wa yudizim unamnyandulia madem zake......
Unapambana kama Mzee wa kupambania π binti kiziwiHalafu wewe kwanini hukuniuliza? π
Mimi napambana tu mjini, elewa neno kupambana π€£