makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Niko single nainjoi, niko singo nainjoi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok sawasawa mkuuuHapana mdau, kama umenielewa vyema namanisha....kwanini nijiuliza maswali ya kushangaa watu kabla na baada ya kuingia kwenye mahusiano.
Hahaha, vifimbocheza eti.. wadada walivyo wazuri mwamba anakuambia yupo single!!Hao wanaogongagonga ni vifimbocheza
Wanao(ngwa)ni vitenesi-jumping no position....
We niache tu, nainjoi 😭Hapo sasa 😂😂...u single unaenjoy niniii
Msalimie shemejiNiko single nainjoi, niko singo nainjoi.
😂 😂 😂Huo ni uzembe mkuu...duniani Kuna a lot of varieties unakuaje single?upelekwe tu Isanga Dodoma wakakunyonge
🤣🤣🤣ni uzembe usiovumilikaHahaha, vifimbocheza eti.. wadada walivyo wazuri mwamba anakuambia yupo single!!
Hakika, nani asopenda kumbato na joto[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni uzembe usiovumilika
Mtaachana tuuNa wewe😳!aaaah wakutie kitanzi tu🤣🤣🤣🤣Maana huo Sasa ni uzembe
🤷🤷🤷🤷 Ni one among basic needsHakika, nani asopenda kumbato na joto![]()
![]()
![]()
Homie gal,kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi 🤸🤸🤸🤸Mtaachana tuu
Vina muda basi
😀😀😀nakwambia utakuja tu kuwa single ntakutesa km hivi🤷🤷🤷🤷 Ni one among basic needs
Homie gal,kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi 🤸🤸🤸🤸
Masingo waendelee kuwepo Kwa jinsia zote,,huwaga wanachangamsha tulio ndoani na kwenye uchumba na uchumba sugu,,,Masingo wawe wanalipwa kazi wanayoifanya ni kubwa mnoo!!Masingle wote wanyongwe tu😁😁😁
Sanamu lako lijengwe wapi babaMasingo waendelee kuwepo Kwa jinsia zote,,huwaga wanachangamsha tulio ndoani na kwenye uchumba na uchumba sugu,,,Masingo wawe wanalipwa kazi wanayoifanya ni kubwa mnoo!!
We hauko single?Masingle wote wanyongwe tu😁😁😁
Salaam zimefika Kaka.Msalimie shemeji
Nakazia, masingo wanasaidia kuimarisha ndoa😁😁Masingo waendelee kuwepo Kwa jinsia zote,,huwaga wanachangamsha tulio ndoani na kwenye uchumba na uchumba sugu,,,Masingo wawe wanalipwa kazi wanayoifanya ni kubwa mnoo!!
Sasa si ninyongwe tuWe hauko single?