Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kuwanyonga tunapotezeana muda kusubiri mpaka wakate roho ili tukaenjoy na mabebezi wetu, hao walipuliwe na bomu tu.Masingle wote wanyongwe tu😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwanyonga tunapotezeana muda kusubiri mpaka wakate roho ili tukaenjoy na mabebezi wetu, hao walipuliwe na bomu tu.Masingle wote wanyongwe tu😁😁😁
🤣🤣🤣🤣Nimependa Sana ushauri wako,tuwasiliane na Kim Jong Lee au Putin Vladimir watusaidie Yale ma missiles yao tumalizane na hao singleKuwanyonga tunapotezeana muda kusubiri mpaka wakate roho ili tukaenjoy na mabebezi wetu, hao walipuliwe na bomu tu.
Ukiwa masikini huna chochote kapuku unajiuliza : hivi hawa matajiri Ina maana wanaishi kwenye mansion za Pesa mingi km hii
Ukiwa Tajiri umejaza bank a/c za kila bank na biashara kibao unajiuliza : hivi hawa masikini wanaishije kwenye nyumba za kupanga hawafikirii kujenga ?
Mtazamo tu usijenge chuki
Mdau we umekua una mpenzi tangu unazaliwa.Binafsi siamini kama mtu anaweza kuishi single, dunia ilivyo na raha mkiwa wawili-wawili unakubali vipi kuishi single?
Sema nilisahau, wapo wale wanagonga(ngwa) na yoyote so sijui tuseme wapo single au nivipi.
Kabisa, naiona point yako.Ni kawaida kujiuliza hivo vijiswali...mtu anapopata kitu huwashangaa wasionacho,mimi nikiwa kwenye gari nawashangaa watembea kwa mguu,nikipata siti kwenye daladala nawashangaa waliosimama,nikila kuku nawashanga waliokula mihogo,nikivaa nguo mpya nashangaa waliovaa kukuu so that is life alienacho anamshanga asiyenacho.