Kwa hiyo Wana kazi yao special?Masingo waendelee kuwepo Kwa jinsia zote,,huwaga wanachangamsha tulio ndoani na kwenye uchumba na uchumba sugu,,,Masingo wawe wanalipwa kazi wanayoifanya ni kubwa mnoo!!
Kwani Half american Yuko occupied?😀😀😀nakwambia utakuja tu kuwa single ntakutesa km hivi
🤣🤣🤣Kweli kabisa?Sanamu lako lijengwe wapi baba
Aseme haraka ujenzi uanze😀😀🤣🤣🤣Kweli kabisa?
Masingle wa siku hizi wako kwenye mahusiano yasiyo rasmi.Ni ajabu mtu anajitangaza yupo single ila bado ana mtu wa kulala nae.
Kwa maana nyingine kuwa single ni uhuni na umalaya Malaya... Single tu waachie wanaojielewa na wanaojua kutunza miili yao.
Mtu anapiga show kila week na bado anajiita single?!!!!
Unyongwe kwasababu Gani wakati wanaume wapo?Sasa si ninyongwe tu
not yet 😎Kwani Half american Yuko occupied?
Sasa hiyo Sio Single..Masingle wa siku hizi wako kwenye mahusiano yasiyo rasmi.
Myajenge Sasa na bidadanot yet 😎
Naaam!!!bibieehh Joa,,,hongera umejaaliwa Uelewa!!Kwa hiyo Wana kazi yao special?
CHATO!!kama hamtojali lakini.Sanamu lako lijengwe wapi baba
Hata ungesema katikati ya ikulu wala usijaliCHATO!!kama hamtojali lakini.
Ameen!!Ame.Hata ungesema katikati ya ikulu wala usijali
Hatari sanaNaaam!!!bibieehh Joa,,,hongera umejaaliwa Uelewa!!
[emoji28][emoji28]Masingle wote wanyongwe tu[emoji16][emoji16][emoji16]