Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!

Shtuka, misaada unaijua wewe wakati wananchi wao wenyewe wapo hoi taabani. Sasa wewe soma udaku badala ya kusoma local news. England nusu tu idondokee uko. Times have changed, soma na kufuatilia local news sio udaku.
 
Nilitaka kukupinga kwamba wapo vijana wengi hawajapata nafsi na wengu hawaamin kwenye hiyo mifumo wa uongoz hivyo wakaamua kujitafuta pengine, lkn swala la kijana kwenja JNIA alf anakimbiza gari nimecheka basi tuh 😂 lbda wanalipwa lkn kama hapat chchote n kwel weng hawana akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…