Hili Taifa Vijana wangetumia ⅓ ya Akili zao leo hii tungekuwa Taifa kubwa kiuchumi zaidi ya Taifa la Marekani!


Very well!

Thank you for this Positive clarification!
 
Baba yako akiwa shoga na wewe utakuwa shoga pamoja na watoto wako?
Shida yenu vijana wa zamani akili zenu zimekaa kiwivu,
Hamjui kuwa kuna ratiba,

Hapo usikute mtu kaweka ratiba yake fresh/katoka job lakin starehe yake ni mziki, so anaenda mpokea mwanamziki wake, ( matamasha na mapokezi ya wasanii hufanyika dunia nzima kuanzia USA) Ila niny wazee wa wivu mnaona vijana wana enjoyyyyyy mnaanza kuwafungulia uzi,
Katika siku 365 ni siku ngapi za kumpokea harmonize ?

Maisha sio kazi tu, yanahitaj refreshing pia, kama ambavyo huwa tunaacha kazi kwenda taifa kwenye mpira ndivyo na wengine wanaenda pokea wasanii wao, au kama niny wazee wa zamani mlivyokuwa mnaacha kazi ili muoe wake wengi, all in all hakuna aliekuja kukuomba buku, na nikuhakikishie vijana wa sasa wanafanya kazi kuliko vijana wa wakati wowote ule Tz hii
 

Mkuu ratiba ya kukimbiza gari kutoka Airport to kawe zaidi ya Km 22?

Hebu acha utani mkuu!
 
Hii nchi wakumlaumu hakuna, wote tuko hivyo hivyo.
 
Ni Kweli mtupu umeongea kijna kutoka musoma ,Mara


Vijana wa Tanzania wengi Ni mambumbu na vichwa maji akili hawana na unaweza kufikiri Ni akili za kawaida hz au nn

Vijna ndio walio lifikisha taifa Hili Happ liliko wanawachekea mafisadi na kuudhuria mikutano Yao huku wakitapeliwa na wanasiasa
 
Hizo rasilimali zimekuja leo ?
Niny vijana wa zamani mlikuwa wapi kulinda migodi ya dhahabu ?
Mmeharibu nch wenyewe leo mnatupa mzigo vijana

Baba yako angeolewa na wewe ungekubali kuolewa?
 
Mkuu ratiba ya kukimbiza gari kutoka Airport to kawe zaidi ya Km 22?

Hebu acha utani mkuu!
Mkuu hizo km ukikimbiza hazizidi masaa 3, hapo unatembea sio kukimbia,
Sasa unajua wale walikuwa na ratiba gani? Mbna huwa tunaua siku nzima kwenda kwenye mikutano ya siasa, au kwenda kwenye match ya simba na yanga,
Leo masaa matatu yafanye utokwe povu ?
 

Nakukubali sana mwanangu wa faida!
 

Mkuu hii kitu huwezi kuikuta kwenye mataifa ambayo vijana wanajitambua!

Haya mambo ya kijinga yapo Tanzania tu!
 
Baba yako angeolewa na wewe ungekubali kuolewa?
Wew nae kilaza,
Hii nchi matatizo mengi mmeleta niny vijana wa zamani, ni aibu kwa kijana wa zamani kujifanya et hii nchi vijana wa leo ndo wamefanya isiendelee wakati fika unajua upuuzi wa vijana wa zaman ndo umeharibu hii nchi
 
Mkuu hii kitu huwezi kuikuta kwenye mataifa ambayo vijana wanajitambua!

Haya mambo ya kijinga yapo Tanzania tu!
Unafuatilia mziki wa USA, ? Au S.Korea .? Hicho kilichofanyika hapo ni kawaida sanaaa, sema tu wivu wenu wazee unawatesa
 
Duh.! This is too much.
 
Tofautisha tamasha na uzumbukuku wa vijana wengi
 
Wew nae kilaza,
Hii nchi matatizo mengi mmeleta niny vijana wa zamani, ni aibu kwa kijana wa zamani kujifanya et hii nchi vijana wa leo ndo wamefanya isiendelee wakati fika unajua upuuzi wa vijana wa zaman ndo umeharibu hii nchi
Mleta mada ni kilaza halafu anajiona smart kinoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…