Hili Tamasha la kufunga Kizimkazi Kuna Tambiko kubwa linafanyika muda huu? Kweli nchi haiendeshwi na katiba.

Hili Tamasha la kufunga Kizimkazi Kuna Tambiko kubwa linafanyika muda huu? Kweli nchi haiendeshwi na katiba.

Hili kundi la hawa wazee waliovaa nguo nyeusi na nyekundu sijawaelewa maana wamepiga Ngoma zao na mikia ya kiganga kwa zaidi ya dakika 40.
Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.
Ghafla mama akashuka stejini na kwenda kwenye lile eneo lenye vibuyu na kuweka hela na bahasha na kurudi mezani kuu. Kwa hakika hili ni tambiko la aina yake.
Kila jamii ina utamaduni wake. Mbona wewe unakwenda kutambika kanisani na hela unatoa ?. Ya kwao hayakuhusu kabisaaa
 
Hili kundi la hawa wazee waliovaa nguo nyeusi na nyekundu sijawaelewa maana wamepiga Ngoma zao na mikia ya kiganga kwa zaidi ya dakika 40.
Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.
Ghafla mama akashuka stejini na kwenda kwenye lile eneo lenye vibuyu na kuweka hela na bahasha na kurudi mezani kuu. Kwa hakika hili ni tambiko la aina yake.
Haituzuia kuirudisha tanganyika 2025
 
Kila jamii ina utamaduni wake. Mbona wewe unakwenda kutambika kanisani na hela unatoa ?. Ya kwao hayakuhusu kabisaaa
Naiunga mkono hoja ya kufanyika kwa matambiko ya kiutamaduni. Kuna Mzee mmoja mwanajeshi mstaafu alikua ananiambia ushindi wa Vita ya Kagera serikali ilitumia utamaduni kwa zaidi ya asilimia 90% kushinda vita ile.
 
Hili kundi la hawa wazee waliovaa nguo nyeusi na nyekundu sijawaelewa maana wamepiga Ngoma zao na mikia ya kiganga kwa zaidi ya dakika 40.
Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.
Ghafla mama akashuka stejini na kwenda kwenye lile eneo lenye vibuyu na kuweka hela na bahasha na kurudi mezani kuu. Kwa hakika hili ni tambiko la aina yake.
Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.
Ghafla mama akashuka stejini na kwenda kwenye lile eneo lenye vibuyu na kuweka hela na bahasha na kurudi mezani kuu. Kwa hakika hili ni tambiko la aina yake😂😂😂😂😂😂
Mwaka huu tutaona mengi sana.
 
Hili kundi la hawa wazee waliovaa nguo nyeusi na nyekundu sijawaelewa maana wamepiga Ngoma zao na mikia ya kiganga kwa zaidi ya dakika 40.
Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.
Ghafla mama akashuka stejini na kwenda kwenye lile eneo lenye vibuyu na kuweka hela na bahasha na kurudi mezani kuu. Kwa hakika hili ni tambiko la aina yake.
Baada ya hapo wakaanza kuvunja nazi , mayai na kupiga vibuyu vyao mikia ya fisi.
Ghafla mama akashuka stejini na kwenda kwenye lile eneo lenye vibuyu na kuweka hela na bahasha na kurudi mezani kuu. Kwa hakika hili ni tambiko la aina yake😂😂😂😂😂😂
Mwaka huu tutaona mengi sana.
 
Naiunga mkono hoja ya kufanyika kwa matambiko ya kiutamaduni. Kuna Mzee mmoja mwanajeshi mstaafu alikua ananiambia ushindi wa Vita ya Kagera serikali ilitumia utamaduni kwa zaidi ya asilimia 90% kushinda vita ile.
Mdogo wangu alishiriki vita vile mwanzo hadi mwisho.
Vita vina mambo mengi sana. Si tambiko tu, upo utaalam mwingi sana kutoka Afrika lakini wazungu wakatukandia kuwa ni kishenzi.
Mdogo wangu anaweza kuongea na wewe bila kumuona lakini ukaambulia sauti tu.
Afrika is great.
 
Mdogo wangu alishiriki vita vile mwanzo hadi mwisho.
Vita vina mambo mengi sana. Si tambiko tu, upo utaalam mwingi sana kutoka Afrika lakini wazungu wakatukandia kuwa ni kishenzi.
Mdogo wangu anaweza kuongea na wewe bila kumuona lakini ukaambulia sauti tu.
Afrika is great.
Tupe elimu kidogo Mkuu.
 
Mdogo wangu alishiriki vita vile mwanzo hadi mwisho.
Vita vina mambo mengi sana. Si tambiko tu, upo utaalam mwingi sana kutoka Afrika lakini wazungu wakatukandia kuwa ni kishenzi.
Mdogo wangu anaweza kuongea na wewe bila kumuona lakini ukaambulia sauti tu.
Afrika is great.

walioita watu weusi washenzi ni waarabu na siyo wazungu, maana na asili ya neno mshenzi ni muislamu mweusi wa tabora, aliitwa mshenzi na mwarabu ndiyo asili ya hilo neno mshenzi, ni tusi na dharau kwa muislamu mweusi aliloitwa na mwarabu, huo wa kizimkazi ndiyo ushenzi wenyewe aliomanaanisha mwarabu …
 
Mdogo wangu alishiriki vita vile mwanzo hadi mwisho.
Vita vina mambo mengi sana. Si tambiko tu, upo utaalam mwingi sana kutoka Afrika lakini wazungu wakatukandia kuwa ni kishenzi.
Mdogo wangu anaweza kuongea na wewe bila kumuona lakini ukaambulia sauti tu.
Afrika is great.
Kabisa huyu Mzee mwanajeshi mstaafu anasema Kuna sehemu huko Uganda walizungukwa na maadui basi mmoja wa wanajeshi waliokua nao msukuma akawakusanya wenzake katikati akwaambia fungeni macho atakaefungua bila ruhusa atakufa ghafla wakajikuta wapo pembeni kabisa mwa adui wakaanza kufanya mashambulizi upya ndio nikajua kuwa haya mambo hata vitani yapo.
 
walioita watu weusi washenzi ni waarabu na siyo wazungu, maana na asili ya neno mshenzi ni muislamu mweusi wa tabora, aliitwa mshenzi na mwarabu ndiyo asili ya hilo neno mshenzi, ni tusi na dharau kwa muislamu mweusi aliloitwa na mwarabu, huo wa kizimkazi ndiyo ushenzi wenyewe aliomanaanisha mwarabu …
Kwahiyo unamponda mwarabu na unajisikia fahari kwa mzungu? Akili za mwafrika Bado ni za kishenzi tu hata baada ya miaka zaidi ya 60 ya kupata uhuru.
 
Back
Top Bottom