Maji ya Kilimanjaro ushindani umekuwa mkubwa mpaka kaamua kushusha bei zimekuwa kama maji mengine
Kweli mkuuAfya Maji yake ni matamu sana.
Hayo Hill water kwa wengine wanayaona kama machungu fulani.
Sidhani kama wanashindana, ni kwamba wanasababisha watu watumie kuku bora zaidi kuliko wa wafugaji wengine.Hill anajua sana kuanzia maji, vinywaji baridi, vyakula vya mifugo, hadi chicken (hapa kwenye chicken Interchick wajiangalie sana)
Huyu mwamba kaja kufanya mapinduzi makubwa sana
Mungu hausiki kwenye mafanikio ya biashara ni ubora wa bidhaa, marketing, ubunifu na nidhamu ya kazi
KabisaItakuwa ameshusha bei na ubora
Faida ya ushindani inafanya wauzaji wa bidhaa zinazofanana waongeze ubora kuliteka sokoSidhani kama wanashindana, ni kwamba wanasababisha watu watumie kuku bora zaidi kuliko wa wafugaji wengine.
Sasa Kigoma huko maji ya nn?Huku mikoani hata kuyajua hatuyajui, huku ni afya, hata uhai hanywi mtu
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Wazungu wanatoboa bila kushughulika na habari za Mungu....you just need to understand how things work and then you work hard!Ukimjua Mungu biashara lazima utoboe
Mr. Hillary Shoo is the Founder, Managing Director and Chairman of the Board of Directors of HILL GROUP. He started his business at Mwenge, Dar- es – salaam back 1998 selling Poultry feeds, he moves on to producing animal feeds marketed as Hill feeds. Later on, he opened a Veterinary Shop.Mchaga hahusiki nayo
Kaskazin na kanda ya ziwa ni kilimanjaro!! Uhai unaweza kutafuta ya dawa ukaikosaWapi huko?
Unapoona ki-dish cha azam ujue na maji yamefika.
Uhai ni domKaskazin na kanda ya ziwa ni kilimanjaro!! Uhai unaweza kutafuta ya dawa ukaikosa
Unaposema Sodium nyingi una maanisha ngapi?Sasa niwambie yote Tisa kumi ni hivi ;
kabla ya kununua Maji soma ingridients zake kwanza.
Epuka Maji yenye sodium nyingi yanapandisha blood pressure.
Imagine mambo kama haya tunayasema tusio madaktari lakini chama cha madaktari MAT wala hawana Habari ya kutoa elimu kwa jamii kuepusha watu kuugua na kushindwa kufanya kazi kuzalisha mali na wengine kupoteza maisha.
Asomaye na afahamu.
Hao jambo sio afya part 2 kweliYanaitwa jambo Toka kiwanda Cha jambo food.
Ndio Azam ya wasukuma Kanda ya ziwa.
Wife alikuja na maji Yao yapo POA test nzuri kama afya na hill
[emoji23]Biashara ya maji haina Monopoly....
Mkiwa mnakunywa maji yenu hapo dar, msidhani na sisi Huku Iringa na Songea tunatumia hayo.
Ni sawa na mtu wa Iringa kudhani dar Wanakunywa maji Africa au Mkwawa.
Dew drop,ameikamata mbeya,rukwa katavi mpaka kigoma,Kuna chupa fulani hivi zinakuwa nyeupe, kale kachupa walidesign vizuri ika naona hawajasambaa sana wenyewe.