Sasa unaozungumzia shinyanga usekwen hukoYawezekana kila mkoa na brand yake pendwa.
Mfano Shinyanga wana bidhaa kutoka Jambo group zinaweza kuwa zimeshika soko kuliko hizo zingine mkoa mzima na mikoa jirani.
Food Products - Jambo Group of Companies
Jambo Food Products Jambo Food Products Limited is one of the largest Tanzanian producers and distributors of a range of branded food and beverage products. The group operates across East and Central Africa, providing wholesale, retail, and informal trade customers with products of a...jambogroup.co.tz
MAkete hukoooHuku kwetu maji ni kitulo
Naamini Maafisa Masoko wa Bonite hapa walifanya kosa. Kilimanjaro ni maji yaliyojenga HIGH STATUS (like Iphone). Hivyo ange deal na customers wakubwa mfano mahoteli—angewauzia retail price kama ya Jambo au Hill water, angeondoa sababu ya wao kukimbilia makampuni mengine, na angemantain wateja wake hao tu. Huku mtaani angekuwa anadokoa dokoa tu.Maji ya Kilimanjaro ushindani umekuwa mkubwa mpaka kaamua kushusha bei zimekuwa kama maji mengine
RIP DrNaamini Maafisa Masoko wa Bonite hapa walifanya kosa. Kilimanjaro ni maji yaliyojenga HIGH STATUS (like Iphone). Hivyo ange deal na customers wakubwa mfano mahoteli—angewauzia retail price kama ya Jambo au Hill water, angeondoa sababu ya wao kukimbilia makampuni mengine, na angemantain wateja wake hao tu. Huku mtaani angekuwa anadokoa dokoa tu.
Safi sana umemjibu inavyotakiwa, tatizo humu kuna wajuaji sana.. natamani aje abishe tena
Kanda ya Ziwa huko mmezoea maji ya visimaKanda ya ziwa Jambo anakimbiza! Ila packaging nzuri ni dew drop vila vichupa vidogo!
Kuna mtu alikuwa ananiambia kuwa hiki kiwanda sasa hivi kiko chini ya wachina; Salum, nduguye na mwanae ni wabia tu—wachina ndio largest shareholders.Jambo product zake huwa zina ladha ya hovyo alaf ni mzee wa kuiga product za azam nae anazo ice-cream kama zile za azam ila ukionja zina kereketa kwenye koo mbaya kabisa
Jamaa bado hawajakaa kwenye mstari vizuri
Wewe unaumia nn wachina wakiwa shareholders wakubwa?Kuna mtu alikuwa ananiambia kuwa hiki kiwanda sasa hivi kiko chini ya wachina; Salum, nduguye na mwanae ni wabia tu—wachina ndio largest shareholders.
Radical feminists hamkosagi maneno.Kwanini hakuweka kifupi cha jina lake na la mke wake? ni ubinafsi au?
Tangia September 2023 maji wanayotengeneza yana chumvi.2024 uwe na ujasiri kama Hill water. Usiogope yoyote, weka mipango, tekeleza, sacrifice. Utatoboa.
NB: Mangi hatumii hirizi bali Biblia na bidii.
Una matatizo gani mzee?Wewe unaumia nn wachina wakiwa shareholders wakubwa?
Biashara hizi zina mengi. Compliance kwa wafanyabiashra wakubwa hawa hasa makada ni changamoto. Mmoja ya wadaiwa Sugu wa Ushuru wa Council ni hii Kampuni, mwaka jana MD aliyekuwepo pale Council alianza yabana makampuni mengi sana yanayodaiwa Ushuru, kama ilivyo ada akahamishwa.Wanasema ni mzawa ila ni mwarabu fulani hivi aina ya waarabu ambao mababu na mababu zao wapo Tanzania kabla ya ukoloni, alikuwa mmbunge huko Shinyanga mpaka kisukuma anakiongea.
Huyo Mzee Salumu, pesa anayo. Kwenye video anasema uwekezaji wa kwenye kiwanda chake cha Jambo food ni karibu Trillion Moja Tsh. Kodi Tra analipa 9B kwa kila mwezi.
Yaani Tsh 9,000,000,000/= kwa mwezi anapeleka TRA 🤣🤣
Wakongwe waje kuleta taarifa zake.
Kumbe Fredy (FRESHO) alikuwa ndugu wa Hill Water. Jamaa wapambanaji sana. Sema Tanzania ni kujiamini tu na kujua jinsi ya kudeal na Serikali.Hawa jamaa wako watatu kwao, kuna kaka yao mkubwa nafkiri ameshafariki alikua na biashara kubwa sana kule shinyanga na kanda ya ziwa
Afu kuna mmoja anahusika na biashara za aggrovert ..HARSHO huyu anafanya vizuri sana mikoa ya kaskazini na kanda ya kati
Mwingine yuko kwenye biashara ya vinywaji bwana Hillary huyu ukanda wa pwani anakimbiza sana
Note:
Majina yao wote watatu yanaanza na H
Afya ni ndugu wa Oilcom, Afya au Afyacom wanahusika na kuzalisha vinywaji baridi.Huyu jamaa wa afya ni nan ? Ana balaa katika usambazaji.
Huku kusini yanabamba
View attachment 2859336
Okay, Sasa naelewa HARSHO ndio Harod Shoo .Huko Yuko Muda sana yeye na kaka yake Harodi mwenye HARSHO GROUP OF COMPANIES.
Na samaki ni mapanki TU, au!?Huko mna product zenu mafuta n samona jelly
Haya maji ya mvua unayapataje mdau!? Au ndio haya yanayoteremka na bati za uswahilini zenye kutu!?Maji ya kuchemsha ndiyo bora no 1 yakifuatiwa na maji ya mvua ila mimi huwa napenda sana maji ya mvua kuliko ya kuchemsha.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tengeneza yakoMimi tangu nimefika hili nchi lenu la joto sijaona maji matamu! Yote tana ka radha fulani hivi kwa hovyo hovyo! Labda nikijaribu hayo afya? Lakini haya uhai na hill water hapana aisee!