Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Big up kwa kudadavua !!!Najua wengi ni mashabiki wa wasanii fulani fulani wa mziki pendwa wa hip hop ila leo nataka tuangazie kidogo hawa ma underground hip hop.
Katika tansina ya muziki huu wa hip hop tunaona jinsi gani evolution ilivyobadili ladha ya mziki huu kiasi cha wasanii kuimba nyimbo ambazo hazina lyrical wala critical.
List yangu ni hii hapa na wewe unaweza kuweka yako.
1. Dizasta vina
2. Nala mzalendo
3. Kadgo
4. Boshoo ninja
5. Kinya mistari
6. Shaolin senetor
7. Mbeya boy chuma
8. Hamis mistari
9. Ado gado
10. Nyenza MC
Wapo wengi ila kwasasa nianze na hao halafu chini nitanukuu mistari yao katika baadhi ya nyimbo zao
Hakuna anayeimba hip pop apo wote wapga kelele ila fundi wao ni SALMIN SWAGZNajua wengi ni mashabiki wa wasanii fulani fulani wa mziki pendwa wa hip hop ila leo nataka tuangazie kidogo hawa ma underground hip hop.
Katika tansina ya muziki huu wa hip hop tunaona jinsi gani evolution ilivyobadili ladha ya mziki huu kiasi cha wasanii kuimba nyimbo ambazo hazina lyrical wala critical.
List yangu ni hii hapa na wewe unaweza kuweka yako.
1. Dizasta vina
2. Nala mzalendo
3. Kadgo
4. Boshoo ninja
5. Kinya mistari
6. Shaolin senetor
7. Mbeya boy chuma
8. Hamis mistari
9. Ado gado
10. Nyenza MC
Wapo wengi ila kwasasa nianze na hao halafu chini nitanukuu mistari yao katika baadhi ya nyimbo zao
Ngoja nikuchoree apo so mida
"Naona umeongozana na binamu yako sikujua kama unamjua....."
"Naona umeongozana na binamu yako sikujua kama unamjua....."
Yuko vizuri sana,nimemuelewaDogo yupo vizuri . akaze atatoka.
Yaani anvyoimba unaweza ukadhani kuimba ni kitendo rahisi sana.
Yuko vizuri sana,nimemuelewaDogo yupo vizuri . akaze atatoka.
Yaani anvyoimba unaweza ukadhani kuimba ni kitendo rahisi sana.
yuko vizuri sana. Na yuko ktk mikono ya mtu anyeujua muziki vizuri.
Underground au Hiphop ya handakini....unafuata misingi ya hiphop siyo matakwa ya media...mfano dakika za wimbo..aina ya ujumbe na mengi tu.Unamaanisha nini ukisema underground?
Nina miaka karibia kumi sasa nasikiliza ngoma za Kadgo, naye ni underground?
Kwa hao uliowataja namkubali Dizasta Vina na Kadgo.
Huyu Dizasta ni balaa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya boy chuma , yupo vizuri saanaNajua wengi ni mashabiki wa wasanii fulani fulani wa mziki pendwa wa hip hop ila leo nataka tuangazie kidogo hawa ma underground hip hop.
Katika tansina ya muziki huu wa hip hop tunaona jinsi gani evolution ilivyobadili ladha ya mziki huu kiasi cha wasanii kuimba nyimbo ambazo hazina lyrical wala critical.
List yangu ni hii hapa na wewe unaweza kuweka yako.
1. Dizasta vina
2. Nala mzalendo
3. Kadgo
4. Boshoo ninja
5. Kinya mistari
6. Shaolin senetor
7. Mbeya boy chuma
8. Hamis mistari
9. Ado gado
10. Nyenza MC
Wapo wengi ila kwasasa nianze na hao halafu chini nitanukuu mistari yao katika baadhi ya nyimbo zao