Hirizi ni mzigo mzito sana

Dharau hirizi ya kwenu uwe kichaa uone!! wewe Mshana uko salama je wengine nao je!! wenye asili ya ulozi? sisi tulipewa Lecture mapemaaaa! na wazee hatudanganyiki! Africa hoyeeee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyaru-sare Nimekulia kwenye ushirikina na nimeu practice kwa miaka zaidi ya 20.. Trust me 90% ya hirizi ni uchafu na hizo zenye nguvu, nguvu yake iko so limited na zina masharti kibao kama chanjo ya covid
 
Hahhahha huyu naona mwenyezi Mungu pekee ndo ataweza muelewesha .maana naona hadi hii simu ni hirizi sasa
 
Ndio yenye nguvu sana kiroho kwakuwa haipiti kiwandani
Utumiaji wa hii kitu haiingii kwenye shirk ? Nauliza tu maana wengine wanasema ukitumia wakat unamwaga sijui mwaga kwa upande wa kushoto, mara watu wasikuone, sasa haya hayaingii ktk ushirikina mdg?
 
Utumiaji wa hii kitu haiingii kwenye shirk ? Nauliza tu maana wengine wanasema ukitumia wakat unamwaga sijui mwaga kwa upande wa kushoto, mara watu wasikuone, sasa haya hayaingii ktk ushirikina mdg?
Chumvi ni catalyst inategemea unaitumiaje
 
Anacho
 
Mitaa ya ulozi inatofautiana Mkuu!! kule kwenu Bukoba hauna nguvu km ule wa Ukerewe!! na ukiriguru sasa mie nilianzia Gamboshi, nimemalizia India tena kwa kufuata taaluma za kichawi mkuu, na kila tukifika ...

tunapewa ramani za uchawi wenye nguvu na kusikokuwa na nguvu!! sasa ni hivi Kichawi Bukoba ilikuwa ni njia salama kwa kweli! hatukuwahi kupata misukosuko maeneo hayo !!

ila ukiendelea mbele kutokea Mrigo ya kichawi ile bila kukata kona kidogo!! hapo ndo palikuwa pabaya mpaka leo ni pabaya! japo wenye nguvu wengi walisha kufa!!lkn waliacha mambo yao! sitaki hata kupasikia, niliwahi kwama hapo!! nikaokoka kwa shida sana.
 
Kumbe member [emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji817][emoji736]nimekupata vema sasa
 
Mbwembwe nyingi halafu hakuna (kitu cha maana) ulichoandika!
 
Mpe Yesu maisha yako. Nira yake ni laini na mzigo wake ni mwepesi na utapata raha nafsini mwako.
 
Hahhahha huyu naona mwenyezi Mungu pekee ndo ataweza muelewesha .maana naona hadi hii simu ni hirizi sasa
Yaani wala hujakosea
Jamaa ni Mola tu ndo anaweza kumwelekeza maana si kwa mbwembwe hizo alizomwaga humu... eti waya wa ethi ni hirizi
 
Mpe Yesu maisha yako. Nira yake ni laini na mzigo wake ni mwepesi na utapata raha nafsini mwako.
Kale ka yesu kazungu ka vatican au yesu yupi, kuwa specific bana, usijaribu kunichanganya!! nisije kushushia kipigo cha laana sasa hivi ukanitafuta bila mafanikio usicheze na uchawi wewe.....ooohooo!!
 
Kale ka yesu kazungu ka vatican au yesu yupi, kuwa specific bana, usijaribu kunichanganya!! nisije kushushia kipigo cha laana sasa hivi ukanitafuta bila mafanikio usicheze na uchawi wewe.....ooohooo!!
Hakuna uganga wala uchawi juu langu. Bwana Yesu aliye nifia msalabani ananitosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…