Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

Job alitoka mbali sana spika wetu alipambana kuitafuta elimu kwa nguvu yake yote huku maisha yakiwa magumu ,mbowe pamoja na kuwa na kila kitu nyumbani ila elimu ilimshinda akapata zero ,biashara zimemshinda na siasa pia .

He is professional failure
Bora mbowe biashara zimemshinda kuliko magufuli ambaye hana hata genge la nyanya.
 
Bora mbowe biashara zimemshinda kuliko magufuli ambaye hana hata genge la nyanya.
Hahahaa... aiseee nimecheka sana.

Lakini hawa wanasiasa wengi wao nje ya siasa hawawezi kitu.

Ndio maana wamegeuka kuwa kupe wa madaraka. Wanajijua vizuri kwamba waking'oka hapo ndio kwisha habari yao!
 
Bunge la ovyoo kuwahi kutokea ktk historia ya nchi hii
 
Huyu wana angefanya tu aliyoyafanya maana kategeshewa vbya mno kwenye matibabu na uspika enyewe asingeruka ule mtego.jpm mjanja sna
 
Viol,
Maskini wengi wana hasira!
Ndio maana Mwl Nyerere alijenga vyuo vya uongozi kama Kigamboni, Maiwa, n.k ili kuondoa ushamba vichwani mwa viongozi!!

Akawapeleka JKT ili kuwachanganya wawe na umoja, wajifunze kupendana!!
Waliopitia Cadet School za kijeshi ni kosa kubwa kumzalilisha ofisa mwenzako hata awe mdogo mbele ya askari!!
Kidipromasia watu wanaheshimiana, tajiri na maskini, imani tofauti, misingi tofauti, rangi kabila na jinsia tofauti!!

Huyu spika kwanza kampiga mpinzani gongo kazimia, huo sio ustaarabu, hiyo tuu inamdisquarify kuwa kiongozi hafai.
Angekuwa na pisto angeshoot.

Mentaly not fit to be a leader.

Hilo ni galasa, bahati mbaya wako wengi wanafurahia ujinga wanashangilia!!

Watanzania tusikubali kupelekwa huko, tueshimiane tusimame pamoja, tujenge nchi yetu tusiibomoe kwa ujinga huu!!
Tudumishe amani yetu, tupendane hata kama tunatofautiana kifikra kisisa na kidini!!

Mwl Nyerere alitufundisha upendo, sisi sote ni Ndg na Tanzania ni wamoja!!
 
Sioni hoja ya maana hapa..hii ni Afrika yenye mchanganyiko wa watu wenye hali nzuri wachache na wengi masikini?sasa maneno ya Ndugai kuibuka nayo jf si ni sawa na kukosa kazi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…