Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 1993Hilo Kombe zamani lilijulikana kama Kombe la washindi barani Africa. Simba alicheza fainali na Stella Abdjan pale uwanja wa uhuru na huko Abdjan mwaka 2003. Hivyo hakuna jipya.
Kombe alicheza Simba mwaka 1993 haikuwa kombe la shirikisho.Ni 1993
Ushaambiwa hawa jamaa wenye akili wawili tu. Hivyo ukiona post haijaandikwa na mzee Sunday Manara au JK, basi jua kichwa ndo hivyo tena.Unaisahau vipi Simba, TP Mazembe na AS Vita au hizo zipo Afrika Magharibi?
Hakuna kombe la CAF wewe ,taja kombe uliopo, kama alivyo litaja ManaraKwa mara ya kwanza tangu soka lianze kuchezwa nchini Tanzania, Club yenye makazi yake Jangwani, Dar es salaam imefikia hatua ya nusi fainali katika michuano mikubwa barani Afrika.Hii ni baada ya kuifurumisha miamba ya soka kutoka nchini Nigeria kwa magoli 2.
Ikumbukwe kuwa hakuna timu yoyote imeshawahi kufuzu hatua hii katika michuano hii nchini na Afrika mashariki kiujumla.Hakika hii ni hatua kubwa.
Hongera kwa Young Africans SC
Hongera kwa viongozi wa soka Tanzania
Hongera watanzania wote kwa ujumla.
Niambie, ni timu gani sasa kutoka Tz zilizocheza hayo mashindano sawia na Klabu bingwa Afrika pamoja na Shirikisho.Kombe alicheza Simba mwaka 1993 haikuwa kombe la shirikisho.
Hapo zamani kulikuwa na michuano miwili Africa cup of champions club ambayo kwasasa inaitwa CAF champions league na shindano la pili ilikuwa ni Africa cup winner's cup ambayo kwasasa ni CAF confederation cup. Lakini mwaka 1992 Caf wakaanzia mashindano mengine ambayo yalikuwa kwa timu ambazo hazifuzu mashindano ya CAF interclub championship ( klabu bingwa na shirikisho) na mashindano hayo yalidumu kwa miaka 12 tu (1992-2003)
Wakati Simba anacheza fainali ya CAF cup mwaka 1993 dhidi ya Stella club, timu ya Zamalek alikuwa ndio bingwa wa klabu bingwa mwaka huo 1993 huku Al Ahly akiwa ndio bingwa wa kombe la shirikisho mwaka 1993 na hivyo wakakutana kwenye CAF super cup na Zamalek kuwa bingwa wa jumla.
Kwahiyo CAF cup aliyocheza Simba sio sawasawa na kombe la shirikisho kwasasa. View attachment 2605723
Kombe alicheza Simba mwaka 1993 haikuwa kombe la shirikisho.
Hapo zamani kulikuwa na michuano miwili Africa cup of champions club ambayo kwasasa inaitwa CAF champions league na shindano la pili ilikuwa ni Africa cup winner's cup ambayo kwasasa ni CAF confederation cup. Lakini mwaka 1992 Caf wakaanzia mashindano mengine ambayo yalikuwa kwa timu ambazo hazifuzu mashindano ya CAF interclub championship ( klabu bingwa na shirikisho) na mashindano hayo yalidumu kwa miaka 12 tu (1992-2003)
Wakati Simba anacheza fainali ya CAF cup mwaka 1993 dhidi ya Stella club, timu ya Zamalek alikuwa ndio bingwa wa klabu bingwa mwaka huo 1993 huku Al Ahly akiwa ndio bingwa wa kombe la shirikisho mwaka 1993 na hivyo wakakutana kwenye CAF super cup na Zamalek kuwa bingwa wa jumla.
Kwahiyo CAF cup aliyocheza Simba sio sawasawa na kombe la shirikisho kwasasa. View attachment 2605723
wikipedia hii hapaNiambie, ni timu gani sasa kutoka Tz zilizocheza hayo mashindano sawia na Klabu bingwa Afrika pamoja na Shirikisho.
Niambie ni timu gani kutoka Tz 1993 zilizoshiriki mashindano sawa na Klabu bingwa pamoja na Shirikisho? Maana mmesema Simba haikushiriki, sasa zipi zilishiriki? Maana hiyo Wikipedia hapo sijaona jina la timu yoyote zaidi ya miaka tu ambayo siielewi ya timu gani
[emoji837]CAF walikuwa na mashindano matatu CAF CUP,CAFCL na CAF CUP WINNERS[emoji3578]Kombe alicheza Simba mwaka 1993 haikuwa kombe la shirikisho.
Hapo zamani kulikuwa na michuano miwili Africa cup of champions club ambayo kwasasa inaitwa CAF champions league na shindano la pili ilikuwa ni Africa cup winner's cup ambayo kwasasa ni CAF confederation cup. Lakini mwaka 1992 Caf wakaanzia mashindano mengine ambayo yalikuwa kwa timu ambazo hazifuzu mashindano ya CAF interclub championship ( klabu bingwa na shirikisho) na mashindano hayo yalidumu kwa miaka 12 tu (1992-2003)
Wakati Simba anacheza fainali ya CAF cup mwaka 1993 dhidi ya Stella club, timu ya Zamalek alikuwa ndio bingwa wa klabu bingwa mwaka huo 1993 huku Al Ahly akiwa ndio bingwa wa kombe la shirikisho mwaka 1993 na hivyo wakakutana kwenye CAF super cup na Zamalek kuwa bingwa wa jumla.
Kwahiyo CAF cup aliyocheza Simba sio sawasawa na kombe la shirikisho kwasasa. View attachment 2605723
Kwenye huo mtoano unailinagnisha vipi Al Hilal na Nyasa Big Bullet? Timu 2 ulizopangiwa nazo zilikuwa dhaifu mno hata Yanga angekutana nazo zingetoka mapema na pia kwenye hayo makundi ungewekwa kundi la Al Hilal, Mamelodi, Al Ahly usingefika robo, ndio maana ulipowekwa na kigogo mmoja tu Raja kakupiga ndani nje.Hivi wewe unaakili timamu kusema East Africa ? Halaf be smart basi, you should be very specific kuwa kwa upande wa SHIRIKISHO.
Pia tambua kuwa kumtoa Rivers sio kipimo cha ubora wenu , it is true kuwa Yanga this time ipo very lucky , njia yake ni rahisi na inatimu za kawaida sna.
Mfano Raja Kwenye Robo fainali angepangiwa na Simba , Nani angepita?
Hivyo njia ya Wydad kwenda Nusu Fainali ilikuwa ni rahis na inanafuu as compared na njia ya Raja
Wakati mwingine game ni bahati....... kwenye Champion tuliona Yanga alikutana na timu yenye hadhi kidogo tu, alitolewa kirahisi sana
Yanga angekutana na Asec tu wale , asingeenda nusu....... this time upepo ni wake na hii haimaanishi ubora kwake .
Tupunguze maneno while we know deep down kikosi cha Yanga ni kawaida na bado kipo kwa growth
Sasa hapo huoni kuwa mfumo wa mashindano ndo ulio badilika ila mashindano ni yale yale?Kombe la Washindi mwaka huo bingwa alikuwa Al Ahly... Klub bingwa Zamalek.. Simba alicheza fainali ya CAF CUP ... Bingwa akawa Stella.. miaka hiyo mashindano yalikuwa matatu 1)klabu bingwa, 2) kombe la Washindi na 3) CAF CUP.... Mwaka 2004 ndio CAF wakaunganisha kombe la Washindi na CAF CUP na kuitwa CONFEDERATION CUP....pole Sana....
Sio kwanini Yanga si mfurukute nyie ..mpewe ubingwa wa UFURUKUTAJI CUP...Unaweza kujiuliza kwanini Yanga hakufurukuta?
Sasa hapo huoni kuwa mfumo wa mashindano ndo ulio badilika ila mashindano ni yale yale?
Uongo, huu ni Uongo bwana, kombe la shirikisho limeanzishwa 2004.. kombe alilocheza Simba ni CAF Cup ambayo ikaunganishwa na African cup, winners cup ndo ikapatikana CAF confederation cup mwaka 2004, siyo hajawahi kucheza semi ya confederationHilo Kombe zamani lilijulikana kama Kombe la washindi barani Africa. Simba alicheza fainali na Stella Abdjan pale uwanja wa uhuru na huko Abdjan mwaka 2003. Hivyo hakuna jipya.
Kwani kipindi hicho ili ushiriki mashindano ambayo simba alifika fainal ulitakiwa uwe na sifa gani? Tuanzie hapo kwanza.Ungeshughulisha halmashauri ya kichwa chako.... Eti mashindano mamoja ... Kaandalie vigezo vya Kila shindano ...