Historia inaonyesha Prigozhin hii ni mara ya pili kufa kwa ajali ya ndege

Historia inaonyesha Prigozhin hii ni mara ya pili kufa kwa ajali ya ndege

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Bado dunia iko kwenye kizungmkuti cha kinachoitwa kifo cha Boss wa Wagner PMC Prigozhin na wenzake katika ajali ya ndege.

Huyu mwamba aliwahi kufeki kifo chake hivihivi kwa jina lake kuonekana lilikuwemo kwenye list ya watu waliosafiri. Hii ilikuwa ni ajali ya ndege iliyotokea Congo mwaka 2019.

Taarifa zikavuma kuwa na jina lake lilikuwa ni miongoni mwa wasafuri wa ndege hiyo. Baada ya siku tatu, Prigozhin mwenyewe alijitokeza akiwa hai na ikaonekana alifake kifo chake.

Yawezekana mengi yamefichwa ukiona hadi US wanasita kuamini basi turudi kujifunza kwa warusi jinsi wanavyoendesha mambo yao kijasusi na mengi huwa yanaishia hivihivi kwenye sintofahamu.

Ni hayo tu wadau.
 
Bado dunia iko kwenye kizungmkuti cha kinachoitwa kifo cha Boss wa Wagner PMC Prigozhin na wenzake katika ajali ya ndege.

Huyu mwamba aliwahi kufeki kifo chake hivihivi kwa jina lake kuonekana lilikuwemo kwenye list ya watu waliosafiri. Hii ilikuwa ni ajali ya ndege iliyotokea Congo mwaka 2019.

Taarifa zikavuma kuwa na jina lake lilikuwa ni miongoni mwa wasafuri wa ndege hiyo. Baada ya siku tatu, Prigozhin mwenyewe alijitokeza akiwa hai na ikaonekana alifake kifo chake.

Yawezekana mengi yamefichwa ukiona hadi US wanasita kuamini basi turudi kujifunza kwa warusi jinsi wanavyoendesha mambo yao kijasusi na mengi huwa yanaishia hivihivi kwenye sintofahamu.

Ni hayo tu wadau.
Kwa sasa hatunaye tena.....gone forever.
 
Imekula kwako hiyo, jamaa confirmed deadead
Kwa mujibu wa gazeti la the guardian uk inaonekana kuna watu wengi walibadilisha majina yao na kujiitq jina la huyo jamaa hadi ubini kqma sehemu ya kujilinda. Na ujiulize kwa nini Jina lake kuwa kwenye list ndio ushahidi mkubwa wa kifo chake hadi sasa, hakuna ushahidi mpya zaidi ya huo.

Bado kuna uhalali wa kuacha chumba cha shaka katika suala hili kabla ya kuhitimisha harakaharaka.
 
Ndege ilio anguka namba za mkia na kwenye blade pale namba tofauti, halafu juzi ndege zake mbili ziliruka wakati mmoja na muelekeo mmoja lakini moja imeanguka na moja imetua Moscow.
Na hakuna chochote kilisemwa kuhusu ndege nyingine.
Fact pekee ni jina lake kuwepo kwenye manifest. Dunia haijapata update mpya zaidi ya hii.
 
Kwa mujibu wa gazeti la the guardian uk inaonekana kuna watu wengi walibadilisha majina yao na kujiitq jina la huyo jamaa hadi ubini kqma sehemu ya kujilinda. Na ujiulize kwa nini Jina lake kuwa kwenye list ndio ushahidi mkubwa wa kifo chake hadi sasa, hakuna ushahidi mpya zaidi ya huo.

Bado kuna uhalali wa kuacha chumba cha shaka katika suala hili kabla ya kuhitimisha harakaharaka.
Ni kitu gani special sana kwa huyo Prighozin kiasi kwamba inahitajika aonekane ni mfu ndio afanye mambo yake ya giza??

Prighozin ni zaidi ya Hitler, Josef Mengele, Heinrich Himmler au Pol Pot??
Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom