bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kaonekana NigerKwa sasa hatunaye tena.....gone forever.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaonekana NigerKwa sasa hatunaye tena.....gone forever.
Ingia telegram, search Gray Zone ,utapata ukweli woteAnayejua kafa au hajafa ni kundi lake la Wagner Kwa asilimia 100%
Inavyosemekana bado hawaja toa tamko lolote la kuashiria kama boss wao ni gone .
Binafsi naamini huenda kafa 60% au hajafa 40%
Mda utaongea.
Putin huyo huyo wakat wa Yale mapinduzi feki alijitokeza hadharani na kulaan hayo mapinduzi ili Hali akijua ni mpango maalum, kiufupi jamaa hajafa na ndio maana hata vyombo vya magharibi wameamua kuipotezea hii habar wanaona wanachezewa akili.Rais Putin ameshathibitisha kifo chake Prighozin na wenzake kwa ajali ya ndege na katoa salamu za rambirambi kwa familia zao
Hiii inawezekana Kuna eneo ameenda kwashughuli maalum Ili kuwaghiribu watu wa natoLabda Kama mu wageni wa michezo ya putin.
Anakufaje kizembe yule.
Wale Wana passport Zaid ya kumi kwa majina tofaut plus ma plastic surgery plus taarifa zao Huwa Sio wazi anaweza aka book kesho akasafiri kesho.
Aendelee kusubiri aone kama atafufuka.Imekula kwako hiyo, jamaa confirmed dead.
Case closed.Rais Putin ameshathibitisha kifo chake Prighozin na wenzake kwa ajali ya ndege na katoa salamu za rambirambi kwa familia zao
Ukiitwa mpumbavu usiseme umetukanwa.Kama umemsikiliza kwa makini. Hajasema jamaa alikuwemo na amekufa. Ametoa pole kwa waliopatwa na ajali.
Mbona hiyo ni logical question, sasa wewe umejibu niniI??Ukiitwa mpumbavu usiseme umetukanwa.
Hakika. Nawashangaa sana wanaolazimisha tuamini jamaa hajafa. Putin asingeweza kuongea vile. Kupongeza kazi ya wagner na wakati huo pia kumlaumu jamaa kwamba "ALIFANYA MAKOSA MAKUBWA" Putin asingethubutu kusema jamaa alifanya makosa makubwa kama asingekuwa na uhakika na kifo chake. Tumbuke putin ndiye mwenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama.Rais Putin ameshathibitisha kifo chake Prighozin na wenzake kwa ajali ya ndege na katoa salamu za rambirambi kwa familia zao
Prigozin nimekutana nae Malandizi Jana usiku,akielekea Bagamoyo.😆Kwa sasa hatunaye tena.....gone forever.
Una maana gani namba za mkia na kwenye blade namba zulikuwa tofauti!! Blade gani, kwani ilikuwa propeller driven plane??Ndege ilio anguka namba za mkia na kwenye blade pale namba tofauti, halafu juzi ndege zake mbili ziliruka wakati mmoja na muelekeo mmoja lakini moja imeanguka na moja imetua Moscow.