Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Warusi wa Manzese lazima wajifatijiImekula kwako hiyo, jamaa confirmed dead.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warusi wa Manzese lazima wajifatijiImekula kwako hiyo, jamaa confirmed dead.
Hawa wanaamini huyo jamaa pamoja na Putin sio binadamu wa kawaida.Mleta mada ni kama unaona jamaa hawezi kuuliwa kisa tu viujasusi uchwara huko Russia.
Endelea kusubiri kufufuka kwake.
Wewe @matunduzi kwa maelezo yako hapo ni kwamba prigozhin alijua kwamba kutatokea ajali ya ndege. Akaenda kujiandikisha kama msafiri kwenye ndege inayotarajiwa kuanguka. Afu asisafiri.Bado dunia iko kwenye kizungmkuti cha kinachoitwa kifo cha Boss wa Wagner PMC Prigozhin na wenzake katika ajali ya ndege.
Huyu mwamba aliwahi kufeki kifo chake hivihivi kwa jina lake kuonekana lilikuwemo kwenye list ya watu waliosafiri. Hii ilikuwa ni ajali ya ndege iliyotokea Congo mwaka 2019.
Taarifa zikavuma kuwa na jina lake lilikuwa ni miongoni mwa wasafuri wa ndege hiyo. Baada ya siku tatu, Prigozhin mwenyewe alijitokeza akiwa hai na ikaonekana alifake kifo chake.
Yawezekana mengi yamefichwa ukiona hadi US wanasita kuamini basi turudi kujifunza kwa warusi jinsi wanavyoendesha mambo yao kijasusi na mengi huwa yanaishia hivihivi kwenye sintofahamu.
Ni hayo tu wadau.
We can not surprised -USA statement. Mleta Uzi kama nakuamini vileImekula kwako hiyo, jamaa confirmed dead.
Unaelewa kingereza? Marekani itashangazwa vipi na propaganda hizo wakati wao ndio mabingwa wa propaganda?We
We can not surprised -USA statement. Mleta Uzi kama nakuamini vile
Naona umeandika vidole vikiwa vimepanic.Ukiitwa mpumbavu usiseme umetukanwa.