Historia inaonyesha Prigozhin hii ni mara ya pili kufa kwa ajali ya ndege

Historia inaonyesha Prigozhin hii ni mara ya pili kufa kwa ajali ya ndege

Bado dunia iko kwenye kizungmkuti cha kinachoitwa kifo cha Boss wa Wagner PMC Prigozhin na wenzake katika ajali ya ndege.

Huyu mwamba aliwahi kufeki kifo chake hivihivi kwa jina lake kuonekana lilikuwemo kwenye list ya watu waliosafiri. Hii ilikuwa ni ajali ya ndege iliyotokea Congo mwaka 2019.

Taarifa zikavuma kuwa na jina lake lilikuwa ni miongoni mwa wasafuri wa ndege hiyo. Baada ya siku tatu, Prigozhin mwenyewe alijitokeza akiwa hai na ikaonekana alifake kifo chake.

Yawezekana mengi yamefichwa ukiona hadi US wanasita kuamini basi turudi kujifunza kwa warusi jinsi wanavyoendesha mambo yao kijasusi na mengi huwa yanaishia hivihivi kwenye sintofahamu.

Ni hayo tu wadau.
Wewe @matunduzi kwa maelezo yako hapo ni kwamba prigozhin alijua kwamba kutatokea ajali ya ndege. Akaenda kujiandikisha kama msafiri kwenye ndege inayotarajiwa kuanguka. Afu asisafiri.
 
Hapana Mrembo Joannah siyo lazima mpaka niione maiti yake..........habari za kufariki kwake zimetoka chanzo cha kuaminika (Rais Putin).
NIMESIKITIKA SANA....alifurahisha sana siku Ile alivyokuwa anaelekea Kremlin.....apumzike Kwa amani
 
Putin hajaribiwi hata kiutani. Keshamtaja Prigozhin kwa nyakati zilizopita (he was…, he did …). “Alikuwa jasiri…, alifanya makosa mengi …, alifanikisha mengi ….”

Kifupi, Prigozhin is dead and incinerated. Matokeo ya DNA ndio yanasubiriwa kukamilisha taarifa.
 
Back
Top Bottom