Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

hawa watu wa ajabu sana, kuanzia januari hadi December fedha huhifadhiwa maalamu ili tu dec. waende kwao! safi sana! nilikuwa Enzi hizo Umbwe huwa inapendeza sana xmass huko kibosh kwao.keep it up you chagga.
 
Makabila mengine huwa ni kwa nini hawana utaratibu wa kwenda kwao dec...?
 
Hizo zilikuwa Enzi zile Sasa hivi hawathubutu kwenda moshi mambo imebana
 
natamani kweli kwenda moshi..ilaaa mmmmmmmg yale mashauz nliyofanya mwaka jana nsipofanya mwaka huu si ntachekwa?? haya..ile nyumba nliyoshindwa kupaua tangu mwaka jana kule kijijin ntaweka wap sura yangu mie....haya gari mbovu naanzaje kwenda na bus wakat mwaka jana nmeenda na gari??uwiii ruwa oko mangi uya owinyiiii
 
Sijaona: mbege,ndafu, kisusio na macharari kuanzia sentesi ya kwanza mpaka ya mwisho na kwasababu hiyo basi uchagga haujakamilika.
 
Back
Top Bottom