Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

Umejitahidi mkuu kupata historia ya wachaga..tuwekee na ya makabila mengine tuwajue
 
Wasukuma,Wanyamwezi,Wagogo,Wanyakyusa,Wahaya,Wangoni,Wamasai,Wahehe ni Makabila makubwa sidhani kama wachaga wanaweza kuwa kabila kubwa zaidi ya hayo, by the way hongera kwa kutupa elimu hii ikiwezekana dadavua na makabila mengine.
 
Wachagaa kabila la mama yangu,,,hatari sana gawa watu nawakubali mpaka naumwa,,wakiamua wameamua,,sio waoga waoga wa kujaribu,,wanajua ku take risk ndio maana wanafanikiwa,,, wajanja wa kujenga nyumban kwanza kabla ya ugenini.

Kumwacha mke miaka miwili home yy kwenda kutafuta sio ishu kubwa kwao japo makabila mengine yameshindwa hii.
Moja ya makabila mzaz haswa wa kichaga lazima akae kwenye uzaz miezi mitatu anakula tu machalari na mitori
[emoji23] na mapochopocho

Nikabila ambalo wana wivu sana wa maendeleo hasa jiran anapojenga nyumba bas lazma nae afanye juhud ajenge zaidi yake

Mchaga Ukimaliza darasa la saba sawa na form 4 iringa na Mbeya. Ukimaliza form ni sawa na umalize chuo pale Mtwara, Ukimaliza form 6 ni sawa na kumaliza chuo kikuu Dar Ukipata degree ni sawa na mastars pale kenya
Ukipata masters mchaga ni sawa na phd Burundi... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kabila hatari sana ambalo kwao mapenzi sio kipaumbele, ila hela ndio kipaumbele chao cha kwanza...

Mzazi kumwambia mwanae,iba nyang'anya,chinja,loga unavyoweza upate hela ukikamatwa nitauza ng'ombe nikupiganie

Lakini ukimpa mwanafunzi mimba nakuja mahakamani kumuhongahakimu akufunge maisha[emoji15] [emoji15]

Chezea sana makabila mengine ila sio mchaga,,,ndio kibila pekee linalotolewa mfano wa maendeleo nanmakabila yte nchini.

Kutoka Dar kwenda kwao ndio njia yenye mabasi ya ukweli kuliko njia zote Tanzania. Ndio njia yenye hotel nzur barabarani kuliko njia zote Tanzania.

Wachaga wameona barabara za lami na umeme toka zaman kabla ya mikoa mingi na mwisho imasemekana ndio mkoa uliokua unaongoza kwa shule nyingi za sekondari Tanzania(sijui kwa sasa)

Mimi naukubali sana uchagani coz nina damu ya pale we ukiuchukia kunywa supu ya mawe na pilipili ya miba
 
Mimi huwa nashindwa kuelewa,kabila moja mbona hawaelewani kama ilivyo hayo mengine ukiangalia hata wilaya moja yenyewe kuna visub- kabila mfano ROMBO unakuta kuna mseri anaongea kiseri mmashati anaongea kimashati mkuu kimkuu mamsera kimamsera ukija kwenye wilaya unakuta kuna KIROMBO KIMARANGU KIOLDMOSHI KIKIBOSHO KISIHA KIMACHAME KIURU KIKAHE hivi mchaga hapo ni nani?.
 
Chagga people are hard working. Na walipata exposure mapema. Kila nikiwaangalia wachaga nakubaliana na usemi kwamba maendeleo ni juhudi binafsi. Wakati wengine tunalalamika kila siku..wao hata kuiba hawaoni shida ilmradi wanafanya maendeleo. Ndugu zangu akina Ngosha wengi tunaiba ila tunataka tuhangaike na nyumba ndogo.
 
Umesaha tabia yao moja wanapenda pesa kuliko chochote duniani utakuta mzee anamwita kabinti kake baba kisa ana pesa wewe ukiwa kaka mkubwa kama huna ela watakuona fala tu
 
Back
Top Bottom