Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

Wale wa Kirua Vunjo Tujuane mapemaaa Tukutane pale kawawa Road tupande Kwetu Manu kwa Mawere Tukale Mbuzi na Mbege X- Mass.
 
siwezi kuwa mchoyo nisheherekee mjini huku kila kitu kipo juu bora kule kijijini mbege ipo ndizi nakata mbuzi yupo maisha yanaenda
dah kweli maae nikikumbuka mkesha wa krismas ile mbege tamu aina ya mmbira ndo umechanganywa kwa ajili ya kesho sikukuu dah we wacha kabisa
Bado shamra za kukutana ndugu na jamaa mliopotezana mda ni furaha ilioje
 
dah kweli maae nikikumbuka mkesha wa krismas ile mbege tamu aina ya mmbira ndo umechanganywa kwa ajili ya kesho sikukuu dah we wacha kabisa
Bado shamra za kukutana ndugu na jamaa mliopotezana mda ni furaha ilioje
kufuwe ndiyo yenyewe kama juisi vile... acha tu msesewe ndiyo naujua hiyo mbira siijui
 
Utaendaje?wakuloge?pia mazingira mabaya
Hahaaa...kuna jamaa yangu mmoja wa pande flani hataki kabisa kusikia habari za kwenda kwao, nlivyomuuliza alinieleza huko kwao kuna ushirikina sana, wakiona mtu katoka town kachomekea shati basi town arudi tena, ni kifo au crazy!
 
Hapo kwa wakibosho umechemka tangu lini kimario akawa mkibosho haijawahi tokea
 
Asante kwa kutupa elimu kuhusu kabila hili . Naomba urudi tena mkuu unifahamishe kufika kwao na kusambaa maeneo ya mlima Kilimanjaro walitokea wapi?
 
Ikikaribia xmass jiji la dar,arusha na Nairobi upumua sana na mkoa wa Kilimanjaro utapika waliopo dar kweli si kweli je foleni sizinapungua.
 
chaa hajui raha ya nyumbani nini home sweet homie
Migombani trip na hivi barabara za lami ni mpaka huko migombani agrrr hata ukiwa na kipasso chako unapanda
hatareee hatareee najiona kama nshafika home sweet home
 
Back
Top Bottom