Historia ya kweli ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda

Yaani Kigogo ndiye anaye wafundisheni hizo hadithi?
Haya turudi kwenye Mkataba wa Bandari. Ni nani aliye saini ule wendawazimu?
 
Jibu swali mlitengaza Tender?
Ndio maana mnaambiwa wengi mnaochangia huo mkataba hamna uelewa na uwekezaji. Lini uwekezaji tena Long Term uliwahi kuwa na Tenda? Uliwahi kusikia tenda kwenye Migodi? Uliwahi kusikia tenda kwa Dangote kwenye kufungua kiwanda cha Saruji kule Mtwara?

Au unahisi wanataka kusupply maandazi hapo Bandarini?
 
Achana na habari za tender, contents za Mkataba umezisoma?
 
Umeandika usichokijua hebu fafanua kirefu cha TEC kisha utuambie unahusianisha vipi TEC na mauaji ya Rwanda ? Waislamu bwana kwa kujidai mnajua kuchambua mambo halafu mnachemka.
Katoliki haifanyi mambo yake kwa vificho. Kila waraka wa TEC ukitolewa husomwa makanisani ili waumini wajue,lengo ni kuweka uelewa sawa na kuepusha upotoshaji kama mnavyofanya.
BAKWATA nyie toeni tu waraka wenu hamjazuiwa japo tunachokijua ni kuwa mlishaanza siku nyingi kuongelea hili kwenye misikiti yenu,mfano ni Sheikh Mziwanda na Sheikh Mwaipopo.
NB
Kwenye swala la kitaifa kama hili mngetoa chuki zenu za kidini mkajibu hoja za
1. Wanasiasa wanaopinga mkataba
2. TEC
3. Wananchi wengine.
Badala yake wanasiasa wanaopinga mnawapa kesi za uhaini
TEC mnawaita wadini
Wananchi wengine mnawaita sio wazalendo.
Naamini mkijibu hoja zilizoibuliwa kuhusu mkataba watu wakaridhia hata akija mwingine kupotosha hataweza ila mkataba ni maandishi mmeshaweka saini halafu mnajibu porojo ?
Acheni kushambulia watu shambulieni hoja zao.
JIULIZE
Unadhani ni nani aliyevujisha huo mkataba, mpaka mtu kuuvujisha ni kwamba aliona kuna makosa yanapaswa kurekebishwa na ndio uhalisia.
Badala yake mnatetea dini badala ya maslahi mapana ya Nchi.
 
Kwahiyo hakukuwa na tenda? Just a single source. Sawa Mahamudu. Vipi kuhusu Bandari za Zanzibar mbona hazimo?
 
Kwahiyo hakukuwa na tenda? Just a single source. Sawa Mahamudu. Vipi kuhusu Bandari za Zanzibar mbona hazimo?
Haya ndio matatizo ya akili sasa, uwekezaji lazima uwe na strategic zake, ukifanya uwekezaji huo kwa BANDARI ZA ZANZIBAR then what? Yaan mtu wa Burundi aagize mzigo ufikie Zanzibar? Then ukitoka hapo upitie wapi hadi ufike Burundi? Yaani mfanyabiashara alipe gharama mara 2?, uangize mzigo ufikie bandari ya Zenji, na ukitaka kuutoa ufikie tena Bandari ya Dar? Una akili kichwani wewe kweli?
 
Oh!! kumbe Mahamudu umekubali Zanzibar haimo bali ni Maziwa, Bahari na mito ya Tanganyika tu.
Hebu niambie Ukomo wa mtakaba huo ni miaka mingapi?
 
Oh!! kumbe Mahamudu umekubali Zanzibar haimo bali ni Maziwa, Bahari na mito ya Tanganyika tu.
Hebu niambie Ukomo wa mtakaba huo ni miaka mingapi?
Huna akili kichwani bhana, lini uwekezaji wa nchi uliwahi kuwa na ukomo? Mkataba wa Barick na Tanzania ni wa Miaka mingapi? Mkataba wa Dangote cement na Tanzania ni miaka mingapi?

Mkiambiwa hamna akili mnawaka kinoma. Ila majority hamna akili.
 
Nimezisoma, shida pale ni nini?
Kama kweli umezisoma halafu haujaona shida, basi si mtu wa kufanya reasoning bali unapenda kushabikia. It's very sad katika miaka na zama hizi bado tunashuhudia kuwa hata Mangungo akifufuka leo hii, atakutana na supporters wengi tu, cha kumfariji zaidi ni pale atakapoona wanaoenzi maisha yake kwa vitendo ndiyo wanaongoza nchi.
 
Mzee wewe eleze shida pale ni nini? Eleza ulichokiona wewe kuwa ni shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…