Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi upo jina tu, ukimpinga mshikaji andika urithi kabisa.Hivi rwanda chaguzi yao ipoje au P.K ndio raisi wa milele!!?
Duh! Inatisha sana!Uchaguzi upo jina tu, ukimpinga mshikaji andika urithi kabisa.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hata Syria ISIS ni tawi la Vatican......Mauaji ya Rwanda ya mwaka 1994 yakisaidiwa sana na kanisa katoliki ambalo TEC ni sehemu ya kabisa hilo.
Mapadre wake na maaskofu huko Rwanda walishiriki kukusanya watu wanaokimbia machafuko na kuwaweka ndani ya makanisa yao wengi wao wakiwa ni watoto na wanawake.Walipokwisha kumaliza kufanya hivyo wakawaita wauaji na kuruhusu waanze kuwabaka na kuwauwa wahanga ndani ya makanisa hayo ya wakatoliki.
Haya ni mambo ambayo TEC hawatataka myajue na hawataki kuyasema na sina kumbukumbu kama wamewahi kuyatolea tamko maana mwaka 1994 TEC ilikuwepo na ilikuwa bize na majukumu yake ya kutoa matamko.
Inachokifanya TEC kwenye tamko lake na maagizo yake kuwa makanisa yote yasome waraka ule leo kwenye misa zao huko makanisani maana yake ni kuwa wamejipanga kuleta uchochezi kwa staili ile ile ya Rwanda. Wanachochea watu kwenye mambo ambayo tayari mamlaka za kisheria zimeshayapitisha kwa kufuata utaratibu ili kutokee machafuko kama wakivyoyaratibu huko Rwanda miaka hiyo.
Najiuliza hivi BAKWATA nao wakitoka hadharani na wakatoa waraka kuwa mkataba ule ni sawa na wakaagiza usomwe kwenye misikiti yote nchini , je? Nini kitatokea? Au TEC wanadhani hatuna akili za kujua kuwa walichofanya kanisa katoliki Rwanda ndiyo wanachotaka kukifanya Tanzania?
Au wanaringia uzoefu wao kwenye mauaji ya Rwanda basi wanadhani kila kitu wanachotaka wao lazima kifanyike na kisipofanyika basi watafanya kama Rwanda ? Sawa mna uzoefu na shughuli hizo za nauaji ya hakaiki kama mlivyofahya Rwanda,lakini hamna haki ya kujifanya mnawawakilisha watanzania kwenye jambo lolote , nyie mnawakilisha wakatoliki wenzenu tu.m huko makanisani na hamtakiwi kujipa usemaji wa watanzania wote.
Lini TEC waliwahi kutoa tamko kulaani mapadre wenzao waliouwa maelfu ya watu kule Rwanda? Lini waliwahi kutubu kutumia makanisa yao na kuyageuza kuwa uwanja wa kuulia watu waliokuwa wanataka hifadhi na kunusubu maisha yao?
Au hawa siyo mapadre wenu wa katoliki? Au historia hii mmeisahau na hamtaki watu waijue? Sisi tunaikumbuka na tunawakumbusha kwa sababu hili ndilo lengo lenu na mnachotaka ni kuchukua mbinu zile zile za Rwanda kulitumbukiza taifa kwenye machafuko kwa kisingizio cha mkataba wa bandari.
Tuna taarifa zenu kijana wenu anayetaka kubadili dini kuwa mkatoliki bwana January Makamba yuko nyuma ya hizi vurugu ndiye mtoa fedha za mkakati huu na mmesikika mkisema lazima mvuruge
/m -frustrate mchakato wa kupata Rais 2025 ili January Makamba awe mgombea kutoka kabisa lenu la katoliki.
Kama mliweza kusababisha na kusaidia mauaji kufanyika Rwanda basi hilo hamtakaa muweze kulifanya Tanzania. Endeleeni na chokochoko zenu na hayo matamko halafu tuone mwisho wake.
Baraza la maaskofu lingeweza kujikita kwenye vifungu vinavyoonekana vina kasoro kuliko kubeba makando kando mengine yanayoharibu ujumbe na nia njema ndani yake.
#KigogoMediaUpdates
Swala ni mkataba mbovu wa bandari. Jibuni hoja acheni hadithi.
Mauaji yataletwa na serikali iliyoshupaza shingo
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo wewe kibaka!Unatetea wizi kwa kulifananisha kanisa?Huna akili zifanyazo kaziMauaji ya Rwanda ya mwaka 1994 yakisaidiwa sana na kanisa katoliki ambalo TEC ni sehemu ya kabisa hilo.
Mapadre wake na maaskofu huko Rwanda walishiriki kukusanya watu wanaokimbia machafuko na kuwaweka ndani ya makanisa yao wengi wao wakiwa ni watoto na wanawake.Walipokwisha kumaliza kufanya hivyo wakawaita wauaji na kuruhusu waanze kuwabaka na kuwauwa wahanga ndani ya makanisa hayo ya wakatoliki.
Haya ni mambo ambayo TEC hawatataka myajue na hawataki kuyasema na sina kumbukumbu kama wamewahi kuyatolea tamko maana mwaka 1994 TEC ilikuwepo na ilikuwa bize na majukumu yake ya kutoa matamko.
Inachokifanya TEC kwenye tamko lake na maagizo yake kuwa makanisa yote yasome waraka ule leo kwenye misa zao huko makanisani maana yake ni kuwa wamejipanga kuleta uchochezi kwa staili ile ile ya Rwanda. Wanachochea watu kwenye mambo ambayo tayari mamlaka za kisheria zimeshayapitisha kwa kufuata utaratibu ili kutokee machafuko kama wakivyoyaratibu huko Rwanda miaka hiyo.
Najiuliza hivi BAKWATA nao wakitoka hadharani na wakatoa waraka kuwa mkataba ule ni sawa na wakaagiza usomwe kwenye misikiti yote nchini , je? Nini kitatokea? Au TEC wanadhani hatuna akili za kujua kuwa walichofanya kanisa katoliki Rwanda ndiyo wanachotaka kukifanya Tanzania?
Au wanaringia uzoefu wao kwenye mauaji ya Rwanda basi wanadhani kila kitu wanachotaka wao lazima kifanyike na kisipofanyika basi watafanya kama Rwanda ? Sawa mna uzoefu na shughuli hizo za nauaji ya hakaiki kama mlivyofahya Rwanda,lakini hamna haki ya kujifanya mnawawakilisha watanzania kwenye jambo lolote , nyie mnawakilisha wakatoliki wenzenu tu.m huko makanisani na hamtakiwi kujipa usemaji wa watanzania wote.
Lini TEC waliwahi kutoa tamko kulaani mapadre wenzao waliouwa maelfu ya watu kule Rwanda? Lini waliwahi kutubu kutumia makanisa yao na kuyageuza kuwa uwanja wa kuulia watu waliokuwa wanataka hifadhi na kunusubu maisha yao?
Au hawa siyo mapadre wenu wa katoliki? Au historia hii mmeisahau na hamtaki watu waijue? Sisi tunaikumbuka na tunawakumbusha kwa sababu hili ndilo lengo lenu na mnachotaka ni kuchukua mbinu zile zile za Rwanda kulitumbukiza taifa kwenye machafuko kwa kisingizio cha mkataba wa bandari.
Tuna taarifa zenu kijana wenu anayetaka kubadili dini kuwa mkatoliki bwana January Makamba yuko nyuma ya hizi vurugu ndiye mtoa fedha za mkakati huu na mmesikika mkisema lazima mvuruge
/m -frustrate mchakato wa kupata Rais 2025 ili January Makamba awe mgombea kutoka kabisa lenu la katoliki.
Kama mliweza kusababisha na kusaidia mauaji kufanyika Rwanda basi hilo hamtakaa muweze kulifanya Tanzania. Endeleeni na chokochoko zenu na hayo matamko halafu tuone mwisho wake.
Baraza la maaskofu lingeweza kujikita kwenye vifungu vinavyoonekana vina kasoro kuliko kubeba makando kando mengine yanayoharibu ujumbe na nia njema ndani yake.
#KigogoMediaUpdates
Ule mkataba una ubovu gani? Ebu eleza hapa ujibiwe kwa kina. Maana hoja zote zilishajibiwa. Ebu eleza hizo zako wewe.Swala ni mkataba mbovu wa bandari. Jibuni hoja acheni hadithi.
Mauaji yataletwa na serikali iliyoshupaza shingo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kujibu na kujibu kwa usahihi.Mko wapi kati ya hayo?Mushajibiwa mara ngapi hamtaki kuelewa
Mlitangaza tender?Ule mkataba una ubovu gani? Ebu eleza hapa ujibiwe kwa kina. Maana hoja zote zilishajibiwa. Ebu eleza hizo zako wewe.