Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Nachokumbuka pale wodi ya Sewa Haji kulikuwa na picha yake jamaa wakaiiba, ilikuwa kumbukumbu nzuri sana.
Vv
Vv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jengo lolote lililobaki hapo Muhimbili alilolijenga Sewa Haji?Hii imeitwa muhimbili baada ya kuchukuliwa kutoka Kwa wakoloni ambao nao waliipokonya baada ya kifo Cha mwamba🙏🏽
Wewe muhenga mwenzangu,sio Hawa vijana wa 2000 wanabisha hovyo na maswali ya kitoto,kongowe sana 🙏🏽 Kwako.Nachokumbuka pale wodi ya Sewa Haji kulikuwa na picha yake jamaa wakaiiba, ilikuwa kumbukumbu nzuri sana.
Vv
Wewe muhenga mwenzangu,sio Hawa vijana wa 2000 wanabisha hovyo na maswali ya kitoto,kongowe kwako🙏🏽Nachokumbuka pale wodi ya Sewa Haji kulikuwa na picha yake jamaa wakaiiba, ilikuwa kumbukumbu nzuri sana.
Vv
Mkuu yeye ndio muhasisi🙏🏽Alijenga jengo ambalo leo ni wodi ya Sewahaji pale hospitali ya Muhimbili sio alijenga hospitali ya Muhimbili
Ungesema hivi; huyo Sheikh Sewa Haji Paroo alijenga jengo la kutolea matibabu miaka hiyo au niseme Hospitali ambapo kutokana na kukua kwa maendeleo limeonekana kuwa dogo na hivyo kufanywa ward.Alijenga jengo ambalo leo ni wodi ya Sewahaji pale hospitali ya Muhimbili sio alijenga hospitali ya Muhimbili
Washia huwa wako makini sana kwenye huduma za kijamiiHUYU NDIYE MTU ALIYEJENGA HOSPITALI YA MUHIMBILI
Anaitwa Sewa Haji Paroo Alifika Zanzibar Akitokea Katika Miji Ya Bhuj Na Kutch
Na Mnamo Mwaka 1852 Alifungua Duka La Bidhaa Mbalimbali Huko Zanzibar, Mnamo 1860 Akafungua Duka Lingine Kubwa Bagamoyo na Kuweka Makazi Yake, Biashara Zake Zikawa Kubwa Na Kuwa Tajiri Mkubwa Sana.
Alisaidia Watu Wote Bila Kujali Rangi, Dini Wala Kabila Zao, Alinunua Majengo Mengi Na Kuyafanya Maeneo Ya Watu Wasiojiweza, Alijenga Mashule ba Hospitali Kadhaa, Katika Mji wa Mzizima { Leo Inaitwa Dar es Salaam}.
Alijenga Hospitali Akaiita Sewahaji Hospitali Ikitoa Huduma Bure, Mnamo February 1897 Sheikh Sewa Haji Paroo Alifariki Dunia, Ilikuwa Ni Huzuni na Simanzi Kwa Wakazi Wa Bagamoyo Na Mzizima Kwa Kuondokewa Na Sheikhe Sewa Haji Aliependwa Sana na watu.
Baada ya Kufariki Kwake Wakoloni Baadaye Wakabadilisha Jina Kutoka Sewahaji Hospital Na Kuiita Princess Magreth Hospital, Na Mnamo 1963 Iliitwa Muhimbili Hospital, Na Mojawapo ya Wodi Katika hospital hiyo Inaitwa SEWA HAJI,
Sheikhe Sewa Haji Alale Mahali Pema..peponi 🙏
View attachment 2645161
Iran inasifika sana kwenye field ya medicineWashia huwa wako makini sana kwenye huduma za kijamii
Baada ya uhuru ilipata jina la "Muhimbili", ambalo limetokana na neno la Kizaramo "mibili" likimaanisha kiungo cha mtoto tumboni na mama yake (plasenta) Hospitali ilipoanza Wazaramo walisema "Hapo ndipo wanawake wanapokwenda kuacha mibili yao". Neno Muhimbili likazaliwa hivyo, nalo ladumu hadi leo.Swali ni kuwa muhimbili ni nini!!!!
Hiyo ni gereji ya Miili mkuu , wanaokufa ni wengi wanaopona ni wengi pia ! Hivi muhimbili ilivyo kubwa per day watu hadi 10 si wanakufa ?Dah muhimbili sehemu ya kuhuzunisha sana vifo daily
Chry.. achana na huyo pimbi anayeshinda kwa vigagulaHiyo ni gereji ya Miili mkuu , wanaokufa ni wengi wanaopona ni wengi pia ! Hivi muhimbili ilivyo kubwa per day watu hadi 10 si wanakufa ?
👏🏾👏🏾👏🏾Ungesema hivi; huyo Sheikh Sewa Haji Paroo alijenga jengo la kutolea matibabu miaka hiyo au niseme Hospitali ambapo kutokana na kukua kwa maendeleo limeonekana kuwa dogo na hivyo kufanywa ward.
Kimsingi huyo ni founder wa Hospitali ya Muhimbili na wala huna haja ya kupindisha maneno........
Nachokumbuka pale wodi ya Sewa Haji kulikuwa na picha yake jamaa wakaiiba, ilikuwa kumbukumbu nzuri sana.
Vv