Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Mag3, hiyo orodha yako hapo juu may come across as very arbitrary, kwa sababu ziilizo wazi. La msingi hapa ni kwamba kama tatizo la hawa Waswahilina wenye "siasa" au "mtazamo" mikali ni so-called "Mfumo Kristo", basi waje na pendekezo la suluhisho la "mfumo" wanaodhani ndiyo dominant kwa faida ya Watanzania wote wenye imani tofauti, na siyo kuishia kulalamika tu seemingly endlessly kutokana na mitazamo yao ambayo imeonyesha kuwa ni potofu na yenye walakini mkubwa.

That being said, hypothetically speaking, suppose everything they've argued is right, correct and justified, tunegependa kujua wana mapendekezo gani ya nini kifanyike ili kurekebisha "mfumo" uliopo hivi sasa ili uwaridhishe siyo tu wao, bali Watanzania wengineo ambao siyo Waislamu.

Njabu,

Nami nakupa mfano mdogo ulinganishe na huo wako:

Wakuu wa Shule za Umma Kanda ya Dar es Salaam

[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Aina ya Shule
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Wakristo
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Waislamu
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Jumla
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Serikali
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]0
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Kata
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]200
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]15
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]215
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Serikali inakataa kutunga sera za kuondoa upendeleo wa
Wakristo katika elimu na kuendeleza ulaghai dhidi ya
Waislam
 
Njabu,

Nami nakupa mfano mdogo ulinganishe na huo wako:

Wakuu wa Shule za Umma Kanda ya Dar es Salaam

Aina ya Shule

Kwa hiyo (hypothetically speaking), jee ungeshauri mambo gani mbadala yafanyike kurekebisha hali kama hiyo unayotaja hapo juu? Hilo ndilo swali langu kuu.
 
Njabu,

Nami nakupa mfano mdogo ulinganishe na huo wako:

Wakuu wa Shule za Umma Kanda ya Dar es Salaam

Aina ya Shule Wakristo Waislamu Jumla
Serikali 11 0 11
Kata 200 15 215

Serikali inakataa kutunga sera za kuondoa upendeleo
Wakristo katika elimu na kuendeleza ulaghai dhidi ya
Waislam

Tafadhali naomba ujibu swali langu, siyo unakuja na visingizio zaidi. Kama hujaelewa swali, nipo tayari kukusaidia.
 
Tafadhali naomba ujibu swali langu, siyo unakuja na visingizio zaidi. Kama hujaelewa swali, nipo tayari kukusaidia.

N,

Swali lako nimelielewa vyema.
Umeweka orodha nami nimeweka jedwali.

Ukiwa na maana nini kifanyike ndilo swali
unaloniuliza mimi kwa sasa swali hilo wakati
wake bado na utakapowadia wa kuliuliza Insha Allah
itakuwa serikali kuwauliza Waislamu na wenyewe
Waislamu kwa umoja wao watasema nini kifanyike.

Kwa sasa serikali haijakiri kuwa tuna tatizo nchini kwetu.


Mohamed
 
N,

Swali lako nimelielewa vyema.
Umeweka orodha nami nimeweka jedwali.

Ukiwa na maana nini kifanyike ndilo swali
unaloniuliza mimi kwa sasa swali hilo wakati
wake bado na utakapowadia wa kuliuliza Insha Allah
itakuwa serikali kuwauliza Waislamu na wenyewe
Waislamu kwa umoja wao watasema nini kifanyike.

Kwa sasa serikali haijakiri kuwa tuna tatizo nchini kwetu.


Mohamed

Iweje wewe na wenzako wenye matazamo wa imani yako mtumie nguvu na wakati mwingi kulalamika na kupiga makelele kuhusu mapungufu, unfairness, ufisadi, etc, and downright claims of "illegality" ya "Mfumo Kristo" mnaodai kuwapo na kukithiri Tanzania ya leo, huku wakati huohuo mmesita au tuseme mmeshindwa kuja na mapendekezo ya mfumo mbadala ya huo mnaoupinga kwa nguvu zenu zote?
 
Iweje wewe na wenzako wenye matazamo wa imani yako mtumie nguvu na wakati mwingi kulalamika na kupiga makelele kuhusu mapungufu, unfairness, ufisadi, etc, and downright claims of "illegality" ya "Mfumo Kristo" mnaodai kuwapo na kukithiri Tanzania ya leo, huku wakati huohuo mmesita au tuseme mmeshindwa kuja na mapendekezo ya mfumo mbadala ya huo mnaoupinga kwa nguvu zenu zote?


Jaribu kusoma hii historia utaelewa matatizo yaliyowahi kutokea kabla na baada ya Uhuru. Kama alivyosema Sheikh MS jibu lako litakuwa vizuri iwapo serikali itakiri haya inayoyafanya.

Kwa ufupi, pamoja na inequalities kuwa kubwa sana kati Waislam na Wakristo ktk kazi, elimu, serikalini, ambayo inawapendelea watu dini hiyo ya Kikristo, lakini bado kuna watu wanaondika ktk hii JF, serikalini bado wanasema hatuna inequalities. Lets be honest...
 
Jaribu kusoma hii historia utaelewa matatizo yaliyowahi kutokea kabla na baada ya Uhuru. Kama alivyosema Sheikh MS jibu lako litakuwa vizuri iwapo serikali itakiri haya inayoyafanya.

Kwa ufupi, pamoja na inequalities kuwa kubwa sana kati Waislam na Wakristo ktk kazi, elimu, serikalini, ambayo inawapendelea watu dini hiyo ya Kikristo, lakini bado kuna watu wanaondika ktk hii JF, serikalini bado wanasema hatuna inequalities. Lets be honest...

Don't chime in just like that, dude (Simply because you can, or whatever!)

Mlengwa wa swali langu ni Mohamed Said, na mwache ajibu swali yeye mwenyewe.
 
Nanren,

Kumwita mtu baba wa Taifa ni lazima awe ameifanyia nchi yake makubwa sana kwani hiyo ni title kubwa sana kwa dahr na dahr. Kumwita kiongozi wa kwanza na muasisi wa uhuru ni swifa sahihi kabisa. ndio maana hata Mandela hajapewa title hiyo.

Lakini hebu tudadavulie Nyerere alifanya role gani kubwa katika uhuru wa Tanganyika? Mind you alikuwa mwl wa kawaida na wa kipato cha kawaida sana. hakuwa na mali wala nyumba ya kukaa huko Dar es salaam na wala pesa za kupanga na kulisha familia yake?

na upande mwingine mwangalie kiuchumi aliisaidia nini tanganyika baada ya uhuru?

naomba jibu lako hapo.



Hivi Mandela alipigania uhuru wa Afrika Kusini? Unamlinganisha na Mwalimu kwa lipi? Hata hilo la ubaguzi alilopigania limekwisha? Mandela kaikuta Afrika Kusini. Tanzania imeundwa na Mwalimu na mwenzake Karume. Akawa Rais wa Kwanza wa Tanzania. Hili unaliona dogo kwa kuwa mchakato wa kuipata Tanzania ulihusisha pia kuwarudisha watu kama wewe kwenu!
 
WC,

Nishakueleza mara nyingi sana jitulize utajifunza mengi kutoka kwangu.
Lakini na sijui ni kitu gani kinakufanya uwe hivyo.

Umejaa kejeli.

Hii si hulka nzuri.
Tabia nzuri ni silaha utapendwa popote.

Unadhani hivyo kwa kutoa kejeli ndiyo kupambana na kitabu changu?

Mohamed
Mohamed,
Ni kweli nimejifunza mengi toka kwako hasa baada ya wewe kujitokeza humu JF. Kubwa kuliko yote likiwa ni UDINI wako ambao bahati mbaya unausukuma kwa Mwalimu bila sababu ya maana. Historia ya kudai uhuru ya wazee wako haiwezi kukamilika bila kuwataja vigagula waliokuwemo kwenye mchakato ule labda ukane kwamba ushirikina haukufanyika. Ni historia ya wazee hawa. Usingechagua cha kuandika ukayaacha haya. Haukuwatendea haki kwa kuwa waliamini matambiko haya yalisaidia kuharakisha uhuru.
 
N,

Swali lako nimelielewa vyema.
Umeweka orodha nami nimeweka jedwali.

Ukiwa na maana nini kifanyike ndilo swali
unaloniuliza mimi kwa sasa swali hilo wakati
wake bado na utakapowadia wa kuliuliza Insha Allah
itakuwa serikali kuwauliza Waislamu na wenyewe
Waislamu kwa umoja wao watasema nini kifanyike.

Kwa sasa serikali haijakiri kuwa tuna tatizo nchini kwetu.


Mohamed
Angalia pia na vikwazo vya elimu ndani ya UISLAMU wenyewe. Ukivifumbia macho hivi hautatatua tatizo lenyewe kwa ukamilifu. Yapo pia makabila yana vikwazo vinavyofanana na hivi vilivyomo ndani ya Uislamu. Kuwaweka walimu wakuu Waislamu hakutasaidia lolote zaidi ya kuendelea kuutumikia "mfumoKristo" kama wanavyofanya wanasiasa Waislamu tulionao sasa kila mahali.
 
Mkuu Mgalanjuka usihangaike na hawa wapuuzi kama Barubaru, huyu alishaikana Tanzania akapata hifadhi hukooo.. walikotoka masultani na bado wana hii ndoto kuwa kuna siku Usultani utarudi. Lengo lao kubwa ni kujaribu kuivunja misingi aliyoijenga Mwalimu, kazi ambayo mimi nimewaapia kuwa hawataiweza kamwe kwani misingi hiyo haikujengwa kwa matope bali kwa zege na chuma. Waacheni watu kama Barubaru waendelee na ndoto zao za mchana.

Kuijenga, kuieneza na kuiendesha TANU kulihitaji hela na hiyo hela ilitokana na michango ya wanachama mbalimbali Tanganyika nzima na walifanya hivyo kutokana na imani yao kwa Raisi wa TANU ambaye hakuwa mwingine bali Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Nikitoa mfano mdogo tu mwaka 1958 kati ya shilingi 1,575,981/= zilizofika makao makuu ya TANU, zaidi ya nusu zilitoka Jimbo la Ziwa (shilingi 590,408/= kati ya hizo zikitoka Sukumaland !)

Hiyo ina maana kuwa nusu iliyobakia ndiyo ilichangwa na majimbo saba yaliyobaki ! Jimbo lililofuatia ni Jimbo la Kaskazini likifuatiwa na jimbo la Nyanda za Juu kusini. Kwenye hii listi Jimbo la Mashariki (Pwani) sidhani hata kama ilishika namba halafu eti leo Wazee wa Gerezani wakumbukwe kwa michango ya kitoweo au kitanda cha kulalia, mbona Mwalimu aliishawapa ahsante ? Kwangu hizi ni soga tu za kuwasimulia wajukuu na hazihitaji kuandikwa kama historia.

Mag3,

Ni vizuri kubishana kwa hoja na wala si kwa kutusiana na kukebehiana. Jitahid kwa kadri ya uwezo wako kuleta hoja nzito na sio kuweka matusi.

Huo ni ushauri wangu kwako.


Kumbuka usipoweza kuridhika na kidogo, je kwa kikubwa utaweza?
 
Mohamed,
Mauaji ya Rwanda yaliasisiwa na kulelewa na serikali ya Wahutu. Serikali ilikaa kimya kwa sababu yenyewe ndiyo iliyokuwa inatekeleza mauaji dhidi ya Watutsi. Anachosema Hardwood ni kwamba mahubiri yako yanawachochea Waislamu wawaone Wakristo kuwa ndio maadui wao. Waislamu wanakabiliwa na maadui wanaowakabili Watanzani wote kwa ujumla ambao ni ujinga, maradhi, na ufukara.
Tunaweza kuamua kupambana nayo kwa pamoja au tunaweza kuamua kujitenga kila mtu na lake huku kundi moja likinyooshea kidole kundi jingine kuwa ndio adui wao.


Kama unaamini kuwa Ndani ya Rwanda kulikuwa na Serikali ya wahutu ambayo kama unavyobainisha walifanya hayo mauaji.

Sasa unashindwa ni ni kuamini kuwa Tanganyika chini ya JK Nyerere aliasisi mfumo Kristo ambao madhara yake sasa ndio yanaonekana. Na sio siri kwani hata padre Silvalon alibainisha hilo katika kitabu chake cha '' Kanisa Katoliki na Siasa za Tanzania bara 1953-1985".

Nakumbuka maneno ya mshairi mmoja maarufu sana al marhum Sihiyana Swaleh (Madevu) wa Buguruni sokoni akisema ''HAKUNA UHURU PASIPO VITA"
Na Tanganyika kwa kuwa uhuru wenu mlipewa mezani ofisini ndio maana mnadharau mwiba. Kumbukeni hata mmbuyu ulianza kama mchicha.

Msipoziba ufa basi ................

 
Kama unaamini kuwa Ndani ya Rwanda kulikuwa na Serikali ya wahutu ambayo kama unavyobainisha walifanya hayo mauaji.

Sasa unashindwa ni ni kuamini kuwa Tanganyika chini ya JK Nyerere aliasisi mfumo Kristo ambao madhara yake sasa ndio yanaonekana. Na sio siri kwani hata padre Silvalon alibainisha hilo katika kitabu chake cha '' Kanisa Katoliki na Siasa za Tanzania bara 1953-1985".

Nakumbuka maneno ya mshairi mmoja maarufu sana al marhum Sihiyana Swaleh (Madevu) wa Buguruni sokoni akisema ''HAKUNA UHURU PASIPO VITA"
Na Tanganyika kwa kuwa uhuru wenu mlipewa mezani ofisini ndio maana mnadharau mwiba. Kumbukeni hata mmbuyu ulianza kama mchicha.

Msipoziba ufa basi ................

Madhara ni yapi hayo Barubaru. Halafu utamuudhi mzee wako Mohamed. Unasema tulipewa uhuru mezani? Watu na hasa Waislamu walipigania uhuru wa nchi hii bwana!
 
Hivi Mandela alipigania uhuru wa Afrika Kusini? Unamlinganisha na Mwalimu kwa lipi? Hata hilo la ubaguzi alilopigania limekwisha? Mandela kaikuta Afrika Kusini. Tanzania imeundwa na Mwalimu na mwenzake Karume. Akawa Rais wa Kwanza wa Tanzania. Hili unaliona dogo kwa kuwa mchakato wa kuipata Tanzania ulihusisha pia kuwarudisha watu kama wewe kwenu!

WC,

Kwa maneno mafupi sana. Hebu tupembulie na kutubainishia ni kitu gani hasa Nyerere aliifanyia Tanganyika mpaka apewe swifa ya Ubaba wa Taifa?.

Naomba u list down swifa hizo kama zipo.

 
Kama unaamini kuwa Ndani ya Rwanda kulikuwa na Serikali ya wahutu ambayo kama unavyobainisha walifanya hayo mauaji.

Sasa unashindwa ni ni kuamini kuwa Tanganyika chini ya JK Nyerere aliasisi mfumo Kristo ambao madhara yake sasa ndio yanaonekana. Na sio siri kwani hata padre Silvalon alibainisha hilo katika kitabu chake cha '' Kanisa Katoliki na Siasa za Tanzania bara 1953-1985".

Nakumbuka maneno ya mshairi mmoja maarufu sana al marhum Sihiyana Swaleh (Madevu) wa Buguruni sokoni akisema ''HAKUNA UHURU PASIPO VITA"
Na Tanganyika kwa kuwa uhuru wenu mlipewa mezani ofisini ndio maana mnadharau mwiba. Kumbukeni hata mmbuyu ulianza kama mchicha.

Msipoziba ufa basi ................

Watu tunahangaika na katiba mpya wengine mnahangaika na 'mfumo kristo'.... cha kushangaza ni nyinyi wenyewe ndiyo mnahamasishana na mashehe wenu kuichagua serikali ya CCM eti kwa sababu rais ni Muislam halafu mwisho wa siku mnailalamikia tena serikali hiyo hiyo eti inaendeshwa na 'Kanisa'. Nimeona mengi ya ajabu dunia hii lakini yenu yanatia fora!
 
Mag3,

Ni vizuri kubishana kwa hoja na wala si kwa kutusiana na kukebehiana. Jitahid kwa kadri ya uwezo wako kuleta hoja nzito na sio kuweka matusi.

Huo ni ushauri wangu kwako.


Kumbuka usipoweza kuridhika na kidogo, je kwa kikubwa utaweza?

Barubaru,

Nilipoingia humu JF fikra yangu ni mnakasha kama tulivyozoea mnabishana hadi muadhin ndiyo anaamua mnaacha ubishi mnakimbilia msikitini.

Hakunipitikia kama kutakuwa na watu wenye hasira, hamaki na kutukana...

Insha Allah tuendelee na darsa:
"Nyerere alifahamu fika kuwa haitakuwa rahisikwake kumweka Sheikh Hassan bin Amir kizuizini kama alivyofanya kwa Waislamwengine. Sheikh Hassan bin Amir alikuwa ndiyo Mufti wa Tanganyika na Zanzibarna kwa ajili hii alikuwa na hadhi kubwa katika umma wa Waislam. Halikadhalika haikuwarahisi kwa yoyote kumkiuka Sheikh Hassan bin Amir na kuchukua uongozi waWaislam. Mkutano wa Taifa wa Waislam, 1968Hadi kufikia juma la kwanza la mwezi wa Desemba,mikoa mitatu kati ya kumi na saba ilikuwa tayari imeshajitenga kutoka EAMWS.Kile kikundi cha Adam Nasibu kikaunda kamati kwa ushirikiano na Kamati yaMaulidi ya Dar es Salaam, Adam Nasib akiwa katibu na Sheikh Abdallah Chaurembomwenyekiti. Kamati hii ikaitisha mkutano Ukumbi wa Arnatouglo tarehe 3 Desemba,1968 kujadilia ëmgogoroí. Aliyetumiwa kutoa tangazo lile alikuwa katibu waKamati ya Maulidi na Swala ya Iddi, Y. Osman. Kundi la Adam Nasib lilikuwa namchanganyiko wa watu waliokuwa wanaungwa mkono na serikali Adam Nasib akiwakiongozi, halikadhalika kulikuwa na Waislam waliokuwa na nafasi katika TANUkama Sheikh Abdallah Chaurembo na Juma Sued kiongozi wa TANU kutoka Bukoba.Ilikuwa wazi kuwa serikali ilikuwa inamtayarisha Sheikh Abdallah Chaurembokuchukua nafasi ya mwalimu wake na mtu aliyemfikisha pale alipo, Sheikh Hassanbin Amir. Ikawa sasa lazima Sheikh Hassan bin Amir aondolewe na kupelekwaZanzibar ili lile kundi la serikali chini ya Adam Nasibu liweze kuchukuauongozi wa Waislam bila ya kipingamizi chochote.Wakati wa vurugu hizi Kamati Kuu ya TANU ilikuwainafanya kikao chake Tanga. Sheikh Kassim Juma, [1] Adam Nasibu, Omari Muhaji,Sheikh Abdallah Chaurembo na Saleh Masasi [1] walipanda ndege hadi Tangakwenda kushauriana na Kamati Kuu ya TANU jinsi ya kumaliza ëmgogoroí waWaislam. Ujumbe huu ulikwenda Tangakuonana na Nyerere huku ukiwa na orodha ya Waislam ambao kile kikundi cha AdamNasibu walikuwa wanataka serikali wakamatwe na kutiwa kizuizini ili msuguanoupate kumalizika. Dossa Aziz aliona Nyerere akipewa karatasi wakati kikaokikiendelea lakini hakufahamu ujumbe uliokuwamo ndani ya karatasi ile hadi hapobaadae. Alikuja kutambua habari za karatasi ile baada ya majuma mawili kupitawakati alipofatwa na jamaa yake mmoja na kumuomba aingilie kati ili rafiki yakealiyetiwa kizuizini na Nyerere aachiwe kutoka Jela ya Ukonga. Nyererealipofahamishwa habari zile na Dossa, alisema kuwa yeye hakufahamu kuwa rafikiyake Dossa alikuwa katika orodha ile ambayo kwa umuhimu wa jambo lile ilibidialetewe Tanga wakati wa mkutano wa Kamati Kuu. Kwa kejeli Nyerere akamwambiaDossa kuwa yeye huwa hachukuwi tabu ya kusoma majina ya watu anaowawekakizuizini kwa kuwa anawaamini wale wanaofanya kazi ya kumletea majina yale.Inspekta Jenerali wa Polisi, Hamza Aziz, mdogowake Dossa alipopokea amri kutoka kwa rais kupitia Waziri wa Mambo ya Ndanikuwa amkamate Sheikh Hassan bin Amir, hakuweza kuamini masikio yake. Alitakaafahamishwe sababu za kutaka kukamatwa Mufti ñ kiongozi wa juu kabisa katikasafu ya uongozi wa Waislam katika Tanzania. Alipoambiwa kuwa sababu ni kuwaanaihujumu serikali, Hamza Aziz alimwambia Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa huendakuna makosa katika amri ile. Alimfahamisha waziri kuwa yeye binafsi alikuwaanamfahamu mzee yule toka yeye Hamza alipokuwa mtoto mdogo. Akimfahamu SheikhHassan bin Amir kama mwalimu na mtu aliyeshiriki katika ukombozi waTanganyika. Msimamo wake heshima nahadhi yake mbele ya Waislam ipo juu kabisa. Inspekta Jenerali wa Polisialimwambia waziri kuwa haitawezekana kwake yeye kutii amri ile kwa sababu yeyehaamini kuwa tuhuma zile dhidi ya Mufti Sheikh Hassan bin Amir ni za kweli.Nyerere alifahamishwa na Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa Inspekta Generali waPolisi, Hamza Aziz amekataa kutii amri yake ya kumkamata Mufti. Nyerere alitoaamri kwa Usalama wa Taifa kumkamata Sheikh Hassan bin Amir. Hii ilikuwa nikinyume na utaratibu kwa kuwa Usalama wa Taifa hawana mamlaka ya kukamata watu.Usiku wa manane siku hiyo hiyo Sheikh Hassan binAmir alikamatwa na makachero wa Usalama wa Taifa akapelekwa uwanja wa ndege nakurudishwa Zanzibar. [1]Inaelekea kulikuwa na mpango uliokuwa umetayarishwa kabla ya serikali yaMapinduzi Zanzibar kumpokea Sheikh Hassan bin Amir. Inasemekana mara kadhaaKarume alipata kumueleza Sheikh Hassan bin Amir kuwa Nyerere alikuwa hamtakinchini kwake na akawa anamshauri arudi nyumbani Zanzibar. Sheikh Hassanalikataa ushauri ule hadi alipokamatwa na kurudishwa kwa nguvu. Karume alimpaSheikh Hassan bin Amir hadhi zote alizostahili kama ulamaa na akamruhusukuendesha madras. Lakini Zanzibar ilikuwa imebadilika.Mapinduzi ya mwaka 1964yalikuwa yameingiza katika Zanzibar fikra potofu zilizokuwa zinapinga Uislam.Karume mwenyewe alikuwa ametoa amri ya kuchoma vitabu vyote vya dini. Nakala zaQurían Tukufu zilichomwa moto pamoja na taka za mji. Muslim Academy chuokilichokuwa kikisomesha masomo ya dini kilifungwa. Mashine za kuchapa kwa lughaya Kiarabu zikatupwa kutoka Government Press. [1] Maulama wengi na wanafunziwa Sheikh Hassan bin Amir walikuwa wamekimbia Zanzibar kwenda kuishiuhamishoni. Zanzibar haikuwa tena kitovu cha elimu na maarifa ya Kiislam.Sheikh Hassan bin Amir akawa sasa mfungwa katika nchi yake mwenyewe kwa kuwahakuwa na ruhusa ya kuondoka visiwani hapo na kurejea Tanzania bara. Mara baadaya kukamatwa kwa Sheikh Hassan bin Amir, Adam Nasibu akatangaza kufanyika kwamkutano ambao ulikuja kujulikana kama Mkutano wa Waislam wa Taifa. Mkutanoambao ilitangazwa utafanyika Iringa kuanzia tarehe 12-15 Desemba, 1968. Agendakuu ya mkutano ule ilikuwa kujadili katiba kwa ajili ya jumuiya mpya yaWaislam.Baada ya kukamatwa kwa Sheikh Hassan Bin AmirTewa Said Tewa gazeti moja la Kiingerezalilimfuata ili afanye mazungumzo nalo.Tewa alimfahamisha mwandishi kuwa kulikuwa na hofu juu ya maendeleoyanayofanywa na Waislam na mikutano mikubwa ya Waislam iliyokuwa ikifanyikanchi nzima.[1]Waislam waliokuwa na vyeo katika serikali walikataa kabisa kuisaidia Tume ya Kikwima kwa njia yeyotewakidai kuwa kufanya hivyo ni sawasawa na kuchanganya dini na siasa. Waislamhawa walikaa pembeni kama watazamaji huku Nyerere kwa taratibu akivunja uongoziwa EAMWS na kutayarisha watu wakekuwaongoza Waislam. Kundi la Adam Nasibu lilikataa kukutana na Tume ya Kwikima.Maulamaa wa Kiislam ambao walikuwa na hadhi na uwezo wa kuleta sulhu katikasakata ile hawakuweza kufanya hivyo kwa kuwa walikuwa wanajua fika kuwaaliyekuwa akivunja EAMWS hakuwa Adam Nasibu, yeye na wenzake walikuwawakitumiwa tu. Kundi la Adam Nasibu lilikuwa halitaki chochote ila EAMWSivunjwe na badala yake iundwe jumuiya itakayokuwa chini ya kivuli cha serekali.[1]Vilevile kukawa na uvumi kuwa Muislam yeyote ambae atakaejejihusisha nashughuli za EAMWS atawekwa kizuizini na serekali. Tume ya Kikwima haukuwezakupuuza vitisho hivyo kwa sababu serekali ilishawahi kuwaweka vizuizinimasheikh.Tume ya Kwikima ilikuwa inafahamu lile kundi laAdam Nasibu halikuwa na nguvu wala uwezo wa kuivunja EAMWS. Kufuatia kutangazwakwa mkutano wa Iringa wa kundi la Adam Nasibu, Tume ya Kwikima ilitoa taarifayake tarehe 11 Desemba ñ siku moja kabla ya mkutano wa Iringa kuanza. [1]Taarifa ambayo ilitolewa kwa Waislam wote, iliitisha mkutano mkuu wa EAMWSambao ulikuwa ufanyike mwezi Februari mwaka unaofuata kujadili na kutoa uamuziwa mwisho kuhusu ëmgogoroí. [1]Tarehe ya mkutano ilibadilishwa hapobaadae na kuwa Januari kutokana na umuhimu wa ëmgogoroí uliokuwa ukikabiliEAMWS. Gazeti la TANU baada ya kusoma taarifa ya Kwikima iliamua kutoa maoniyake kuhusu taarifa ile kwa kusema kuwa haikuwa sawa.[1] Huu ulikuwa mpangouliosukwa mapema kuonyesha kuwa uongozi wa EAMWS ulikuwa na ubadhirifu. Jumalile lile Aga Khan ambae ndiye aliyekuwa akishambuliwa na kundi la Adam Nasibu,baada ya kutambua kuwa EAMWS isingeweza kamwe kuokolewa, akiwa Paris, Ufaransaalijiuzulu nafasi yake kama patron wa EAMWS."[1]
 
Barubaru,

Nilipoingia humu JF fikra yangu ni mnakasha kama tulivyozoea mnabishana hadi muadhin ndiyo anaamua mnaacha ubishi mnakimbilia msikitini.

Hakunipitikia kama kutakuwa na watu wenye hasira, hamaki na kutukana...

Insha Allah tuendelee na darsa:
"Nyerere alifahamu fika kuwa haitakuwa rahisikwake kumweka Sheikh Hassan bin Amir kizuizini kama alivyofanya kwa Waislamwengine. Sheikh Hassan bin Amir alikuwa ndiyo Mufti wa Tanganyika na Zanzibarna kwa ajili hii alikuwa na hadhi kubwa katika umma wa Waislam. Halikadhalika haikuwarahisi kwa yoyote kumkiuka Sheikh Hassan bin Amir na kuchukua uongozi waWaislam. Mkutano wa Taifa wa Waislam, 1968Hadi kufikia juma la kwanza la mwezi wa Desemba,mikoa mitatu kati ya kumi na saba ilikuwa tayari imeshajitenga kutoka EAMWS.Kile kikundi cha Adam Nasibu kikaunda kamati kwa ushirikiano na Kamati yaMaulidi ya Dar es Salaam, Adam Nasib akiwa katibu na Sheikh Abdallah Chaurembomwenyekiti. Kamati hii ikaitisha mkutano Ukumbi wa Arnatouglo tarehe 3 Desemba,1968 kujadilia ëmgogoroí. Aliyetumiwa kutoa tangazo lile alikuwa katibu waKamati ya Maulidi na Swala ya Iddi, Y. Osman. Kundi la Adam Nasib lilikuwa namchanganyiko wa watu waliokuwa wanaungwa mkono na serikali Adam Nasib akiwakiongozi, halikadhalika kulikuwa na Waislam waliokuwa na nafasi katika TANUkama Sheikh Abdallah Chaurembo na Juma Sued kiongozi wa TANU kutoka Bukoba.Ilikuwa wazi kuwa serikali ilikuwa inamtayarisha Sheikh Abdallah Chaurembokuchukua nafasi ya mwalimu wake na mtu aliyemfikisha pale alipo, Sheikh Hassanbin Amir. Ikawa sasa lazima Sheikh Hassan bin Amir aondolewe na kupelekwaZanzibar ili lile kundi la serikali chini ya Adam Nasibu liweze kuchukuauongozi wa Waislam bila ya kipingamizi chochote.Wakati wa vurugu hizi Kamati Kuu ya TANU ilikuwainafanya kikao chake Tanga. Sheikh Kassim Juma, [1] Adam Nasibu, Omari Muhaji,Sheikh Abdallah Chaurembo na Saleh Masasi [1] walipanda ndege hadi Tangakwenda kushauriana na Kamati Kuu ya TANU jinsi ya kumaliza ëmgogoroí waWaislam. Ujumbe huu ulikwenda Tangakuonana na Nyerere huku ukiwa na orodha ya Waislam ambao kile kikundi cha AdamNasibu walikuwa wanataka serikali wakamatwe na kutiwa kizuizini ili msuguanoupate kumalizika. Dossa Aziz aliona Nyerere akipewa karatasi wakati kikaokikiendelea lakini hakufahamu ujumbe uliokuwamo ndani ya karatasi ile hadi hapobaadae. Alikuja kutambua habari za karatasi ile baada ya majuma mawili kupitawakati alipofatwa na jamaa yake mmoja na kumuomba aingilie kati ili rafiki yakealiyetiwa kizuizini na Nyerere aachiwe kutoka Jela ya Ukonga. Nyererealipofahamishwa habari zile na Dossa, alisema kuwa yeye hakufahamu kuwa rafikiyake Dossa alikuwa katika orodha ile ambayo kwa umuhimu wa jambo lile ilibidialetewe Tanga wakati wa mkutano wa Kamati Kuu. Kwa kejeli Nyerere akamwambiaDossa kuwa yeye huwa hachukuwi tabu ya kusoma majina ya watu anaowawekakizuizini kwa kuwa anawaamini wale wanaofanya kazi ya kumletea majina yale.Inspekta Jenerali wa Polisi, Hamza Aziz, mdogowake Dossa alipopokea amri kutoka kwa rais kupitia Waziri wa Mambo ya Ndanikuwa amkamate Sheikh Hassan bin Amir, hakuweza kuamini masikio yake. Alitakaafahamishwe sababu za kutaka kukamatwa Mufti ñ kiongozi wa juu kabisa katikasafu ya uongozi wa Waislam katika Tanzania. Alipoambiwa kuwa sababu ni kuwaanaihujumu serikali, Hamza Aziz alimwambia Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa huendakuna makosa katika amri ile. Alimfahamisha waziri kuwa yeye binafsi alikuwaanamfahamu mzee yule toka yeye Hamza alipokuwa mtoto mdogo. Akimfahamu SheikhHassan bin Amir kama mwalimu na mtu aliyeshiriki katika ukombozi waTanganyika. Msimamo wake heshima nahadhi yake mbele ya Waislam ipo juu kabisa. Inspekta Jenerali wa Polisialimwambia waziri kuwa haitawezekana kwake yeye kutii amri ile kwa sababu yeyehaamini kuwa tuhuma zile dhidi ya Mufti Sheikh Hassan bin Amir ni za kweli.Nyerere alifahamishwa na Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa Inspekta Generali waPolisi, Hamza Aziz amekataa kutii amri yake ya kumkamata Mufti. Nyerere alitoaamri kwa Usalama wa Taifa kumkamata Sheikh Hassan bin Amir. Hii ilikuwa nikinyume na utaratibu kwa kuwa Usalama wa Taifa hawana mamlaka ya kukamata watu.Usiku wa manane siku hiyo hiyo Sheikh Hassan binAmir alikamatwa na makachero wa Usalama wa Taifa akapelekwa uwanja wa ndege nakurudishwa Zanzibar. [1]Inaelekea kulikuwa na mpango uliokuwa umetayarishwa kabla ya serikali yaMapinduzi Zanzibar kumpokea Sheikh Hassan bin Amir. Inasemekana mara kadhaaKarume alipata kumueleza Sheikh Hassan bin Amir kuwa Nyerere alikuwa hamtakinchini kwake na akawa anamshauri arudi nyumbani Zanzibar. Sheikh Hassanalikataa ushauri ule hadi alipokamatwa na kurudishwa kwa nguvu. Karume alimpaSheikh Hassan bin Amir hadhi zote alizostahili kama ulamaa na akamruhusukuendesha madras. Lakini Zanzibar ilikuwa imebadilika.Mapinduzi ya mwaka 1964yalikuwa yameingiza katika Zanzibar fikra potofu zilizokuwa zinapinga Uislam.Karume mwenyewe alikuwa ametoa amri ya kuchoma vitabu vyote vya dini. Nakala zaQurían Tukufu zilichomwa moto pamoja na taka za mji. Muslim Academy chuokilichokuwa kikisomesha masomo ya dini kilifungwa. Mashine za kuchapa kwa lughaya Kiarabu zikatupwa kutoka Government Press. [1] Maulama wengi na wanafunziwa Sheikh Hassan bin Amir walikuwa wamekimbia Zanzibar kwenda kuishiuhamishoni. Zanzibar haikuwa tena kitovu cha elimu na maarifa ya Kiislam.Sheikh Hassan bin Amir akawa sasa mfungwa katika nchi yake mwenyewe kwa kuwahakuwa na ruhusa ya kuondoka visiwani hapo na kurejea Tanzania bara. Mara baadaya kukamatwa kwa Sheikh Hassan bin Amir, Adam Nasibu akatangaza kufanyika kwamkutano ambao ulikuja kujulikana kama Mkutano wa Waislam wa Taifa. Mkutanoambao ilitangazwa utafanyika Iringa kuanzia tarehe 12-15 Desemba, 1968. Agendakuu ya mkutano ule ilikuwa kujadili katiba kwa ajili ya jumuiya mpya yaWaislam.Baada ya kukamatwa kwa Sheikh Hassan Bin AmirTewa Said Tewa gazeti moja la Kiingerezalilimfuata ili afanye mazungumzo nalo.Tewa alimfahamisha mwandishi kuwa kulikuwa na hofu juu ya maendeleoyanayofanywa na Waislam na mikutano mikubwa ya Waislam iliyokuwa ikifanyikanchi nzima.[1]Waislam waliokuwa na vyeo katika serikali walikataa kabisa kuisaidia Tume ya Kikwima kwa njia yeyotewakidai kuwa kufanya hivyo ni sawasawa na kuchanganya dini na siasa. Waislamhawa walikaa pembeni kama watazamaji huku Nyerere kwa taratibu akivunja uongoziwa EAMWS na kutayarisha watu wakekuwaongoza Waislam. Kundi la Adam Nasibu lilikataa kukutana na Tume ya Kwikima.Maulamaa wa Kiislam ambao walikuwa na hadhi na uwezo wa kuleta sulhu katikasakata ile hawakuweza kufanya hivyo kwa kuwa walikuwa wanajua fika kuwaaliyekuwa akivunja EAMWS hakuwa Adam Nasibu, yeye na wenzake walikuwawakitumiwa tu. Kundi la Adam Nasibu lilikuwa halitaki chochote ila EAMWSivunjwe na badala yake iundwe jumuiya itakayokuwa chini ya kivuli cha serekali.[1]Vilevile kukawa na uvumi kuwa Muislam yeyote ambae atakaejejihusisha nashughuli za EAMWS atawekwa kizuizini na serekali. Tume ya Kikwima haukuwezakupuuza vitisho hivyo kwa sababu serekali ilishawahi kuwaweka vizuizinimasheikh.Tume ya Kwikima ilikuwa inafahamu lile kundi laAdam Nasibu halikuwa na nguvu wala uwezo wa kuivunja EAMWS. Kufuatia kutangazwakwa mkutano wa Iringa wa kundi la Adam Nasibu, Tume ya Kwikima ilitoa taarifayake tarehe 11 Desemba ñ siku moja kabla ya mkutano wa Iringa kuanza. [1]Taarifa ambayo ilitolewa kwa Waislam wote, iliitisha mkutano mkuu wa EAMWSambao ulikuwa ufanyike mwezi Februari mwaka unaofuata kujadili na kutoa uamuziwa mwisho kuhusu ëmgogoroí. [1]Tarehe ya mkutano ilibadilishwa hapobaadae na kuwa Januari kutokana na umuhimu wa ëmgogoroí uliokuwa ukikabiliEAMWS. Gazeti la TANU baada ya kusoma taarifa ya Kwikima iliamua kutoa maoniyake kuhusu taarifa ile kwa kusema kuwa haikuwa sawa.[1] Huu ulikuwa mpangouliosukwa mapema kuonyesha kuwa uongozi wa EAMWS ulikuwa na ubadhirifu. Jumalile lile Aga Khan ambae ndiye aliyekuwa akishambuliwa na kundi la Adam Nasibu,baada ya kutambua kuwa EAMWS isingeweza kamwe kuokolewa, akiwa Paris, Ufaransaalijiuzulu nafasi yake kama patron wa EAMWS."[1]

Huu ni muswiba mkubwa sana.

Inna Lillahi wainna Illaihi Rajihunna.

Mfano wa watu hawa umebainishwa katika Qur'an (al baqarah) 2: 14-16.

 
Unajua saa nyengine unaposema neno kuwa na point. Huyo kaka yako Nguruvi3 nilikuwa namwambia anaandika maneon mengi bila ya mpangilio mpaka inafikia hatua ya kusinzia unaposoma maandiko yake.

Pili, nimekutolea mfano kutoka kwa Marekani maana kamili hili neno. Wewe unasoma maana ya founder lakini hujui maana kamili kwa nini imetumika hilo neno la father. Bado umeshikilia ni muasisi. Lakini unashindwa kuelewa connection kati ya religion ideal na utumikaji wa hili neno la " Baba wa Taifa" Hiyo ndiyo toafauti kati yako wewe na mimi.

Unauliza nimesoma shule gani?? nimesoma na ninasoma ktk better University than your Tumaini University.
Inferiority complex!
 
Watu tunahangaika na katiba mpya wengine mnahangaika na 'mfumo kristo'.... cha kushangaza ni nyinyi wenyewe ndiyo mnahamasishana na mashehe wenu kuichagua serikali ya CCM eti kwa sababu rais ni Muislam halafu mwisho wa siku mnailalamikia tena serikali hiyo hiyo eti inaendeshwa na 'Kanisa'. Nimeona mengi ya ajabu dunia hii lakini yenu yanatia fora!


Sweke34,

Hizo ni dhulma zinazobainishwa na kuelimishwa umma na katika ufumbuzi wake ni kuziondoa kwa njia ya sheria kwenye katiba yenu. Ni vizuri watu wajue kisha kuzipigania kuingizwa kwenye katiba ili kila mtu aweze kufaidi keki ya uhuru wa nchi yenu.
 
MS nakupa hongera kwa kutupa historia iliyofichwa kwa makusudi. Wanasema nyerere hakuwa mdini hebu wasome hii hapa waone udini wa nyerere ambao unamfanya afikiriwe kuwa MTAKATIFU wa kanisa;

" wakati wa hali ngumu ya uchumi naweza kusema kuwa karibu viongozi wote wa kanisa walinung'unoka kama watu wengine, lakini kanisa kama kanisa halikutoa kauli yoyote rasmi. Hiyo ilitotokana na sababu mbali mbali. ya kwanza ilikuwa kwamba mahitaji muhimu ......................................... pili, kanisa liliruhusiwa na serikali kuingiza vitu vingi nchini bila ushuru wala kodi. vitu vya miradi ya maendeleo na pamoja na vile vya ujenzi vilianza kuagizwa na mwishoni hata MAHITAJI YA KAWAIDA YA VIONGOZI WA KANISA. mambo yote haya yalipunguza makali ya hali ngumu kwa viongozi hao wa kanisa na kuwaweka katika nafasi yenye nguvu ya kiuchumi. hiyo ilikuwa sababu nyingine iliyowafanya viongozi hao wa kanisa wasite kukosoa watawala wa serikali "
( angalia page ya 68 kitabu cha Dr. SIVALON).

Wakati hayo yakiendelea waislamu ilikuwa mambo magumu sana kwao kimaisha.
 
Back
Top Bottom