Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Tanzania hakuna shaka tumeonewa sana, lakini tumeonewa tu, kwa weakness zetu. Mbona Ithnasharia hawaonewi, nyie pigeni kelele wao wanapeta, mbona mabohora hawaonewi, nyie pigeni kelele wao wanapeta, ,bona mbaniani hawaobewi? nyie pigeni kelele wao wanapeta.

Uislaam si unafik. Mpaka leo unafik wa Waislaam upo Kariakoo, kuna Masjid Manyema, kuna Masjid Wamanga (ibadhi) kuna Masjid Makonde. Mbona sijaona Kanisa Makonde wala Kanisa Sukuma? kama si unafik ni nini?

Kuweni Waislaam.

Hivyo,

Unakubaliana na hoja yetu mie, Mwanakijiji na Mkandara kuwa ijapokuwa kuna madai ya Nyerere ila na Waislamu wenyewe pia wamechangia kurudi nyuma kimaendeleo? Nyerere ana mchango wake ila Bakwata isingelisimama bila ya unafiki wa waislamu wenyewe. Ndio sababu baadhi ya wanafiki walitoka na kwenda kumuangukia Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kwa kuwa walikuwa wanahofia kuwa masulia siku ya kiama kwa unafiki wao. MATATIZO YA WAISLAMU YAMECHANGIWA PIA NA WAISLAMU WENYEWE. Tukiwa wamoja basi faida tutaipata na hilo limeshasemwa sana katika quran.
 
Kama ni kweli gaddaf alikuwa ni adui wa mwalimu na bado mwalimu akamwomba gaddaf awajengee waislamu wa butiama msikiti bac hapo picha unayonipa mimi ni kwamba mwalimu alikuwa kubwa la manafiki!!! alikuwa na sababu gani ya kumuomba adui yake wakati alikuwa na uwezo wa kumuomba yeyote akasikilizwa?! mwalimu alitaka kuonesha nini hapo?! usiniambie habari za kwamba mwalimu c mtu wa kinyongo kv uombaji wa mwalimu umeuweka katikati ya uadui wake na gaddaf. Kama hivyo ndivyo; basi one of the two is a perfect answer:
1. wewe ni mzushi wa kutupwa, or
2. mwalimu alikuwa ni mnafiki wa kutupwa.

Hiyo ni kweli kabisa hao wote ni wanafik na wazushi. Kwanza si kwa ajili ya Gaddafi tu.

Wanfik kwa kuwa Yesu alikuwa sio Mungu na wao wanajuwa hilo wao wanakazania tu alikuwa Mungu. Kuna biaandam akawa Mungu? Kwani wao wajinga? Hata Adam asiye na baba wala mama hawajamuita Mungu.

2. Uombaji wa Nyerere ndio ulitufikishia mpaka tukaitwa Taifa "ombaomba".
 
Hiyo ni kweli kabisa hao wote ni wanafik na wazushi. Kwanza si kwa ajili ya Gaddafi tu.

Wanfik kwa kuwa Yesu alikuwa sio Mungu na wao wanajuwa hilo wao wanakazania tu alikuwa Mungu. Kuna biaandam akawa Mungu? Kwani wao wajinga? Hata Adam asiye na baba wala mama hawajamuita Mungu.

2. Uombaji wa Nyerere ndio ulitufikishia mpaka tukaitwa Taifa "ombaomba".

Hivi mbona mnajaribu kupoteza mwenendo wa mnakasha? Turudi kwenye historia ya harakati za wazee waislam wazulu na wamanyema wa gerezani. Thread ya Gaddafi na msikiti ianzishwe pekee.
 
mwanakijiji,
Acha uchonganishi ..omba msamaha kwa kudanganya kuhusu kitabu cha Allah
 
mwanakijiji,
Acha uchonganishi ..omba msamaha kwa kudanganya kuhusu kitabu cha Allah

Mkuu hivi huwa unajisikiaje unapounga mkono hoja na ID flani halafu unapinga hoja hiyo hiyo na ID nyingine, huo si ndiyo unafiki au???? radical in one ID and pretend to be moderate on the other. Inaonyesha hata in real life hivi ndivyo ulivyo bwaha bwahahahaa ahahahaha ahahah! You know what I am talking about budy! man up!
 
Mkuu hivi huwa unajisikiaje unapounga mkono hoja na ID flani halafu unapinga hoja hiyo hiyo na ID nyingine, huo si ndiyo unafiki au???? radical in one ID and pretend to be moderate on the other. Inaonyesha hata in real life hivi ndivyo ulivyo bwaha bwahahahaa ahahahaha ahahah! You know what I am talking about budy! man up!

Ndivyo ulivyo ama?
 
Ni upuuzi mtupu kuamini simulizi anazoandika huyu Mohamed Said ambaye si lolote bali ni Islamic Fundamentalist anayejifanya Mwanahistoria wakati kiukweli ni Mwanahadithi na mpotoshaji. Hamna lolote la thamani kwenye simulizi zake zaidi ya entertainment value ya odd details za dizaini ya "Kleist Sykes alikuwa na kinyozi binafsi wa Kihindi" na upuuzi kama huo wa kuwatukuza Waislamu huku akimdhihaki na kumdhalilisha Nyerere na Wakristo kwa ujumla. Mohamed Said is nothing but a simpleton and an intellectual impostor who should never be taken seriously.
 
Kama ni kweli gaddaf alikuwa ni adui wa mwalimu na bado mwalimu akamwomba gaddaf awajengee waislamu wa butiama msikiti bac hapo picha unayonipa mimi ni kwamba mwalimu alikuwa kubwa la manafiki!!! alikuwa na sababu gani ya kumuomba adui yake wakati alikuwa na uwezo wa kumuomba yeyote akasikilizwa?! mwalimu alitaka kuonesha nini hapo?! usiniambie habari za kwamba mwalimu c mtu wa kinyongo kv uombaji wa mwalimu umeuweka katikati ya uadui wake na gaddaf. Kama hivyo ndivyo; basi one of the two is a perfect answer:
1. wewe ni mzushi wa kutupwa, or
2. mwalimu alikuwa ni mnafiki wa kutupwa.

NazDaz,
Nyerere hakuwa mnafiki. Qadafi alidanganywa na Amin kuwa alikuwa anapigana na taifa la Kikristo. Qadafi akatuma wanajeshi wake kumsaidia Amin.
Tuliwaua 100 na zaidi na wengine 400 kukamatwa. Kitendo cha Nyerere kuwarudisha wanajeshi wale Libya bila kudai fidia yeyote kilimgusa sana Qadafi. Soma hii hapa nukuu ya Nyerere:

JULIUS NYERERE: We have never cut our relations with Libya; Gaddafi got entangled in the Uganda war against us without really meaning to. Idi Amin was a good actor and pretended Uganda was a Muslim country; amazingly many other countries were also taken in by him. Uganda is not a Muslim country, it is a Christian country, almost as Christian as Southern Sudan. I tried to explain all this to Gaddafi in 1973 when I met him for the first time in Algiers during the Non-Aligned Summit. He had some very vague ideas then about Tanzania. He thought that during the revolution in Zanazibar (1964), Christians had fought against Muslims. I told him that Zanzibar was 99% Muslim and the Zanzibaris, during their revolution, had got rid of their feudalists just as he had got rid of the feudalists in Tripoli in 1969. I wanted to explain this and so get Gaddafi off that hook. He also felt that Tanzania was a Christian country because I am a Christian. But we are very mixed in Tanzania and we have three times more Muslims here than in Libya. But we are also very secular and we do not believe that politics and religion go together in that sense. During the Uganda war, I never wanted to make a big issue out of Libya's involvement in it. Since then, I have tried to get our friend Gaddafi to understand and I think he now has a greater appreciation of what is happening in this part of the world.
 
NazDaz,
Nyerere hakuwa mnafiki. Qadafi alidanganywa na Amin kuwa alikuwa anapigana na taifa la Kikristo. Qadafi akatuma wanajeshi wake kumsaidia Amin.
Tuliwaua 100 na zaidi na wengine 400 kukamatwa. Kitendo cha Nyerere kuwarudisha wanajeshi wale Libya bila kudai fidia yeyote kilimgusa sana Qadafi. Soma hii hapa nukuu ya Nyerere:

JULIUS NYERERE: We have never cut our relations with Libya; Gaddafi got entangled in the Uganda war against us without really meaning to. Idi Amin was a good actor and pretended Uganda was a Muslim country; amazingly many other countries were also taken in by him. Uganda is not a Muslim country, it is a Christian country, almost as Christian as Southern Sudan. I tried to explain all this to Gaddafi in 1973 when I met him for the first time in Algiers during the Non-Aligned Summit. He had some very vague ideas then about Tanzania. He thought that during the revolution in Zanazibar (1964), Christians had fought against Muslims. I told him that Zanzibar was 99% Muslim and the Zanzibaris, during their revolution, had got rid of their feudalists just as he had got rid of the feudalists in Tripoli in 1969. I wanted to explain this and so get Gaddafi off that hook. He also felt that Tanzania was a Christian country because I am a Christian. But we are very mixed in Tanzania and we have three times more Muslims here than in Libya. But we are also very secular and we do not believe that politics and religion go together in that sense. During the Uganda war, I never wanted to make a big issue out of Libya's involvement in it. Since then, I have tried to get our friend Gaddafi to understand and I think he now has a greater appreciation of what is happening in this part of the world.

Jasusi, watu wengine ni wa kuignore kwani hawajui hata wanachokiongea ! Gadafi aliamini Uganda ni nchi ya Kiislaam kwa sababu kiongozi wake alikuwa Muislaam wakati ukweli ni kuwa Uganda Wakatoliki peke yao ni asilimia karibu 70%, madhehebu mengine ya Kikristo ni asilimia 25% na Waislaam ni chini ya asilimia 5%. Gadafi alikuja kuona aibu sana kwa kuwaleta askari kumsaidia Amin na alikuwa tayari kulipa fidia lakini Mwalimu akamwambia kuwa badala ya fidia labda akawasaidie Waislaam wa Butiama kwa kuwajengea msikiti. Hii ndiyo NasDaz anaiita ombaomba ya Mwalimu Nyerere, duh !
 
Jasusi, watu wengine ni wa kuignore kwani hawajui hata wanachokiongea ! Gadafi aliamini Uganda ni nchi ya Kiislaam kwa sababu kiongozi wake alikuwa Muislaam wakati ukweli ni kuwa Uganda Wakatoliki peke yao ni asilimia karibu 70%, madhehebu mengine ya Kikristo ni asilimia 25% na Waislaam ni chini ya asilimia 5%. Gadafi alikuja kuona aibu sana kwa kuwaleta askari kumsaidia Amin na alikuwa tayari kulipa fidia lakini Mwalimu akamwambia kuwa badala ya fidia labda akawasaidie Waislaam wa Butiama kwa kuwajengea msikiti. Hii ndiyo NasDaz anaiita ombaomba ya Mwalimu Nyerere, duh !

Mag3 asante mkuu kwa kuweka mada hii in the first place. Kuna kila dalili kuwa tunaelekea ukingoni mwa majadiliano. Tuliyoyapinga na kuyatolea ufafanuzi mengine yamejidhiri yenyewe as tyme went on. Ntakuja na bandiko langu la mwisho kuhusu mada hii. Otherwise tutakiane heri na tuwajibike kuifanya Tanzania iwe mahali salama na penye neema kwa maisha yetu na vizazi vijavyo!!!!!!!!!!
 
Ni upuuzi mtupu kuamini simulizi anazoandika huyu Mohamed Said ambaye si lolote bali ni Islamic Fundamentalist anayejifanya Mwanahistoria wakati kiukweli ni Mwanahadithi na mpotoshaji. Hamna lolote la thamani kwenye simulizi zake zaidi ya entertainment value ya odd details za dizaini ya "Kleist Sykes alikuwa na kinyozi binafsi wa Kihindi" na upuuzi kama huo wa kuwatukuza Waislamu huku akimdhihaki na kumdhalilisha Nyerere na Wakristo kwa ujumla. Mohamed Said is nothing but a simpleton and an intellectual impostor who should never be taken seriously.

Dnjabu,

Unaweza ukawa una maneno ya maana lakini ikiwa utaingia katika mnakasha kwa matusi kama haya ya "mpuuzi" nk. nk. sasa hata kama nataka kukupa majibu nitafanyaje.

Kipi kilichokukasirisha ni hii mimi kuandika historia ya wazee wangu waliopigania uhuru wa Tanganyika au kueleza dhulma za mfumokristo?

Hivi katika yote niliyoandika hapa ukumbini akili yako haiwezi kujibu hoja hata moja ila hamaki na matusi?

JF itafaidikaje kwa watu kusoma matusi?

Mohamed

 
Kama Faiza amembadilikia Mohamed nadhani tuna haki ya kusema yafuatayo:
-UDINI Tanzania hauna nafasi tena. Hatutakaa kujadili namna ya kugawana vyeo/madaraka kwa udini.
-Mwalimu alifanya kazi kubwa sana kuiondoa TAA/TANU kwenye UDINI.
- Kwamba simulizi za Mohamed zinafaa kusomwa kama hadithi nyingine ya kawaida.
-Kwamba ile 83% na 17% ni uongo wa kutia AIBU. Haiwezekani 83% wakamchagua Rais kutoka 17%!
-Mohamed azikubali kazi nyingi nzuri alizofanya Mwalimu hasa miaka ya mwanzo wa Uhuru wetu.
-Mohamed badala ya kuwatumia WAISLAMU kwa malengo ya KISIASA ajiunge na chama chochote cha siasa.
-Tuwaache marehemu wetu waliotangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani.
-Mungu aibariki Tanzania kwani yeye hana DINI
 
NazDaz,
Nyerere hakuwa mnafiki. Qadafi alidanganywa na Amin kuwa alikuwa anapigana na taifa la Kikristo. Qadafi akatuma wanajeshi wake kumsaidia Amin.
Tuliwaua 100 na zaidi na wengine 400 kukamatwa. Kitendo cha Nyerere kuwarudisha wanajeshi wale Libya bila kudai fidia yeyote kilimgusa sana Qadafi. Soma hii hapa nukuu ya Nyerere:

JULIUS NYERERE: We have never cut our relations with Libya; Gaddafi got entangled in the Uganda war against us without really meaning to. Idi Amin was a good actor and pretended Uganda was a Muslim country; amazingly many other countries were also taken in by him. Uganda is not a Muslim country, it is a Christian country, almost as Christian as Southern Sudan. I tried to explain all this to Gaddafi in 1973 when I met him for the first time in Algiers during the Non-Aligned Summit. He had some very vague ideas then about Tanzania. He thought that during the revolution in Zanazibar (1964), Christians had fought against Muslims. I told him that Zanzibar was 99% Muslim and the Zanzibaris, during their revolution, had got rid of their feudalists just as he had got rid of the feudalists in Tripoli in 1969. I wanted to explain this and so get Gaddafi off that hook. He also felt that Tanzania was a Christian country because I am a Christian. But we are very mixed in Tanzania and we have three times more Muslims here than in Libya. But we are also very secular and we do not believe that politics and religion go together in that sense. During the Uganda war, I never wanted to make a big issue out of Libya's involvement in it. Since then, I have tried to get our friend Gaddafi to understand and I think he now has a greater appreciation of what is happening in this part of the world.

VERYGOOD JASUSI, kwahiyo ni kama nilivyotangulia kusema awali kwamba ama Kigarama ni mzushi mkubwa au Nyerere ni mnafiki wa kutupwa. Kwa nukuu yako hiyo hapa unataka kunithibitishia kwamba kumbe Kigarama ni mzushi wa kutupwa kudai Mwalimu alimwomba Gaddaf kujenga msikiti pamoja na ukweli kwamba alikuwa ni adui yake!
 
Wakuu,
Kwanza kabisa tusimame pamoja na kuwaambia wanaotaka kuligawa taifa, hapana! kila wakileta hoja zao bila kujali imani zetu tuwaambie, hapana!
Tuwaambie sisi ni Watanzania tunaoishi bila kujuana majina, na kwamba majina ni utambulisho na si alama ya imani. Kama ni alama ya imani tunawezaje kuwa na Petro muuaji au Mohamed kibaka!

Lugha ni chombo cha mawasiliano katika kubeba ujumbe wa imani, lakini si imani kama wanavyodhani mashabiki wa dinii.
Tamaduni si sehemu ya imani lakini inaweza kuchukua imani na kuwa sehemu ya tamaduni. Pope pale vatican anavaa kanzu, je amesilimu?
Barua ya Tareq Aziz kwa Sadam ina 'leter head' ya bismillahi, je Tareq ni muislam!

Dini inatumiwa na kundi fulani lenye masilahi yasiyojulikana kutaka kuwafarakanisha Watanzania. Kama yapo matatizo mbona hayazungumzwi na kutolewa mapendekezo? Tumemuuliza Mohamed anashauri nini, yeye akasema hadi serikali itakapo waita ndipo watatoa mapendekezo yao. Huku nyuma anarudi na kutahadharisha hatari ya vita. Usomi maana yake si kusoma ni kutumia elimu kuyakabili mazingira na kutafuta suluhu.

Baada ya dhambi ya kumdhalilisha Nyerere akiwa katika masoksi mareeefu, kupewa vitoweo na pesa za nyama dhambi hiyo hiyo inajirudia na sasa inatafuna kwa yule aliyeitenda. Tumeambiwa Nyerere amekandamiza watu, yaweza kuwa kweli, lakini hakuna mahali popote Mohamed said salum Semtungo ameweka japo nyaraka kuthibitisha madai zaidi ya simulizi za marhumu.

Mohamed akatoa madai kuwa BAKWATA si waislam na ni kama Yuda iskariote(ushahidi upo ukihitajika).
Hapa ana maana waislam wote wakiwemo wazee kama marhum Hemed bin Jumaa ni wasaliti. Inawezekana ana hoja ya nguvu kabisa.
Amedai mfumo kristo ndio unatawala nchi hii, inawezekana ana hoja kabisa.
Mahali ambapo hoja zake zinakuwa kama mabua ya mahindi ni pale anaposhindwa kusema Mwinyi aliyeutumikia mfumo kristo, Kawawa aliyetumikia mfumo kristo, Kikwete anayetumikia mfumo kristo ni wasaliti kama Adam Nasibu na Hemed bin Juma wa BAKWATA. Kwamba wapo wasaliti kwa vigezo vyake na wengine watakatifu kwa vigezo vingine.

Mohamed ana haki ya kutumia vigezo vyake, kibaya sana ni pale vigezo vyake anapovifanya ukweli na ukweli mtupu tena wa kitaifa, na kutumia vigezo hivyo kidini ili kuwaaminisha watu kuhusu kile anachodhani yeye ni sahihi na si kile kilicho sahihi. Ushawaishi wake ni mkubwa na inabidi watu wasimpuuze hata kidogo. Matamshi yake yanayoashiria shari ni ya kukemea mapema sana.

Tusimame na kumwambi, Mohamed tafuta chanzo cha tatizo na si kutoka nje kutafuta mchawi. Mchawi yupo hapo ulipo na chumbani kwako na si jirani aliyebeba jembe lake anakwenda shamba. Unapofundisha watu kuimba bila kuwaambia maana ya tenzi ni kuwapoteza.
Suluhu ya matatizo si mawaziri ni umasikini ulioboboea usiochagua bei ya sukari kwa Pagani, Mwislam au mkristo.

Matatizo ya ANC na kaburu yalimwalizwa mezanii, ya ZAPU/ZANU na Ian Smith yaimalizwa Lancaster house. Ya RENAMO NA FRELIMO yalimalizwa mezani. Matatizo ya Raila na Kibaki yalimalizwa mezani n.k.

Ya kwetu yanaongeleka bila kuwa na upande, yanaongeleka kwa utamaduni wetu wa kitanzania. Tusijenge kambi za kulazimisha ili tukidhi kiu ya matamanio ya nafsi zetu. Nafsi zinatamani kila kitu hata kile kinachomuudhi Mwenyezi mungu.
 
Jasusi, watu wengine ni wa kuignore kwani hawajui hata wanachokiongea ! Gadafi aliamini Uganda ni nchi ya Kiislaam kwa sababu kiongozi wake alikuwa Muislaam wakati ukweli ni kuwa Uganda Wakatoliki peke yao ni asilimia karibu 70%, madhehebu mengine ya Kikristo ni asilimia 25% na Waislaam ni chini ya asilimia 5%. Gadafi alikuja kuona aibu sana kwa kuwaleta askari kumsaidia Amin na alikuwa tayari kulipa fidia lakini Mwalimu akamwambia kuwa badala ya fidia labda akawasaidie Waislaam wa Butiama kwa kuwajengea msikiti. Hii ndiyo NasDaz anaiita ombaomba ya Mwalimu Nyerere, duh !

Haiyaaa!!! hebu tuangalie kwanza hapo kwenye red....najua mjadala uliouanzisha ni mkali kwelikweli lakini sizani kama hiyo inakufanya ikuondolee umakini wako!!! Ni wapi nilitamka hayo maneno?! hiyo duh ya mwisho nazanio ni mimi ninayepaswa kukushangaa wewe..duh! Na kwa kusema nimeongea jambo ambalo sijalisema ndipo hapa unanithibitishia kumbe ni wewe usiyejua unachokiongea (refer hapo kwenye blue). Na kkwavile ume-suggest kumu-ignore (refer kwenye pink) basi bila shaka wewe ndo kabisaaaa unastahili kuwa ignored kwavile ikiwa umeshindwa kutofautisha kitu kidogo tu kama kati kati ya Faisal Fox (aliyesema Nyerere alikuwa ombaomba) na NasDaz, sijui itakuwaje katika kutofautisha ukweli na uzushi!!
 
Wakuu,
Kwanza kabisa tusimame pamoja na kuwaambia wanaotaka kuligawa taifa, hapana! kila wakileta hoja zao bila kujali imani zetu tuwaambie, hapana!
Tuwaambie sisi ni Watanzania tunaoishi bila kujuana majina, na kwamba majina ni utambulisho na si alama ya imani. Kama ni alama ya imani tunawezaje kuwa na Petro muuaji au Mohamed kibaka!

Lugha ni chombo cha mawasiliano katika kubeba ujumbe wa imani, lakini si imani kama wanavyodhani mashabiki wa dinii.
Tamaduni si sehemu ya imani lakini inaweza kuchukua imani na kuwa sehemu ya tamaduni. Pope pale vatican anavaa kanzu, je amesilimu?
Barua ya Tareq Aziz kwa Sadam ina 'leter head' ya bismillahi, je Tareq ni muislam!

Dini inatumiwa na kundi fulani lenye masilahi yasiyojulikana kutaka kuwafarakanisha Watanzania. Kama yapo matatizo mbona hayazungumzwi na kutolewa mapendekezo? Tumemuuliza Mohamed anashauri nini, yeye akasema hadi serikali itakapo waita ndipo watatoa mapendekezo yao. Huku nyuma anarudi na kutahadharisha hatari ya vita. Usomi maana yake si kusoma ni kutumia elimu kuyakabili mazingira na kutafuta suluhu.

Baada ya dhambi ya kumdhalilisha Nyerere akiwa katika masoksi mareeefu, kupewa vitoweo na pesa za nyama dhambi hiyo hiyo inajirudia na sasa inatafuna kwa yule aliyeitenda. Tumeambiwa Nyerere amekandamiza watu, yaweza kuwa kweli, lakini hakuna mahali popote Mohamed said salum Semtungo ameweka japo nyaraka kuthibitisha madai zaidi ya simulizi za marhumu.

Mohamed akatoa madai kuwa BAKWATA si waislam na ni kama Yuda iskariote(ushahidi upo ukihitajika).
Hapa ana maana waislam wote wakiwemo wazee kama marhum Hemed bin Jumaa ni wasaliti. Inawezekana ana hoja ya nguvu kabisa.
Amedai mfumo kristo ndio unatawala nchi hii, inawezekana ana hoja kabisa.
Mahali ambapo hoja zake zinakuwa kama mabua ya mahindi ni pale anaposhindwa kusema Mwinyi aliyeutumikia mfumo kristo, Kawawa aliyetumikia mfumo kristo, Kikwete anayetumikia mfumo kristo ni wasaliti kama Adam Nasibu na Hemed bin Juma wa BAKWATA. Kwamba wapo wasaliti kwa vigezo vyake na wengine watakatifu kwa vigezo vingine.

Mohamed ana haki ya kutumia vigezo vyake, kibaya sana ni pale vigezo vyake anapovifanya ukweli na ukweli mtupu tena wa kitaifa, na kutumia vigezo hivyo kidini ili kuwaaminisha watu kuhusu kile anachodhani yeye ni sahihi na si kile kilicho sahihi. Ushawaishi wake ni mkubwa na inabidi watu wasimpuuze hata kidogo. Matamshi yake yanayoashiria shari ni ya kukemea mapema sana.

Tusimame na kumwambi, Mohamed tafuta chanzo cha tatizo na si kutoka nje kutafuta mchawi. Mchawi yupo hapo ulipo na chumbani kwako na si jirani aliyebeba jembe lake anakwenda shamba. Unapofundisha watu kuimba bila kuwaambia maana ya tenzi ni kuwapoteza.
Suluhu ya matatizo si mawaziri ni umasikini ulioboboea usiochagua bei ya sukari kwa Pagani, Mwislam au mkristo.

Matatizo ya ANC na kaburu yalimwalizwa mezanii, ya ZAPU/ZANU na Ian Smith yaimalizwa Lancaster house. Ya RENAMO NA FRELIMO yalimalizwa mezani. Matatizo ya Raila na Kibaki yalimalizwa mezani n.k.

Ya kwetu yanaongeleka bila kuwa na upande, yanaongeleka kwa utamaduni wetu wa kitanzania. Tusijenge kambi za kulazimisha ili tukidhi kiu ya matamanio ya nafsi zetu. Nafsi zinatamani kila kitu hata kile kinachomuudhi Mwenyezi mungu.

Kwanza niseme kama nimepata faraja sana kuona tune ya Nguruvi3 imebadilika..... na sasa anakiri kama Tanzania tuna matatizo ambayo yanaweza kuzungumzika kama yalivyo kwa RENAMO na FRELIMO au ZAPU na ZANU n.k.

Hii ni hatua kubwa na si ya kupuuzwa...naamini shk Mohammed na waliokuwa wakimpiga tafu..kina Faiza, Mdondoaji, Topical...n.k wamefanya kazi kubwa. Tune ya mwanzo ilikuwa yanayoelezwa ni uzishi mtupu haya mambo ya MoUs, Namba za mitihani, n.k., n.k,... yalikuwa ni uzushi tu na njia ya kuleta vurugu.

Hamu yangu ilikuwa nikuona ufahamu huu wa Nguruvi3 wa sasa ungekuwa ni ufahamu wa Serikali yetu tukufu katika kuleta sulhu ya kilio cha muda mrefu juu ya kubaguliwa kwa waislamu nchini...na ipelekee pande hizi zikae meza moja kwa nia ya kuleta sulhu au islaaah.

Kikwebo.
 
Wakuu,
Kwanza kabisa tusimame pamoja na kuwaambia wanaotaka kuligawa taifa, hapana! kila wakileta hoja zao bila kujali imani zetu tuwaambie, hapana!
Tuwaambie sisi ni Watanzania tunaoishi bila kujuana majina, na kwamba majina ni utambulisho na si alama ya imani. Kama ni alama ya imani tunawezaje kuwa na Petro muuaji au Mohamed kibaka!

Lugha ni chombo cha mawasiliano katika kubeba ujumbe wa imani, lakini si imani kama wanavyodhani mashabiki wa dinii.
Tamaduni si sehemu ya imani lakini inaweza kuchukua imani na kuwa sehemu ya tamaduni. Pope pale vatican anavaa kanzu, je amesilimu?
Barua ya Tareq Aziz kwa Sadam ina 'leter head' ya bismillahi, je Tareq ni muislam!

Dini inatumiwa na kundi fulani lenye masilahi yasiyojulikana kutaka kuwafarakanisha Watanzania. Kama yapo matatizo mbona hayazungumzwi na kutolewa mapendekezo? Tumemuuliza Mohamed anashauri nini, yeye akasema hadi serikali itakapo waita ndipo watatoa mapendekezo yao. Huku nyuma anarudi na kutahadharisha hatari ya vita. Usomi maana yake si kusoma ni kutumia elimu kuyakabili mazingira na kutafuta suluhu.

Baada ya dhambi ya kumdhalilisha Nyerere akiwa katika masoksi mareeefu, kupewa vitoweo na pesa za nyama dhambi hiyo hiyo inajirudia na sasa inatafuna kwa yule aliyeitenda. Tumeambiwa Nyerere amekandamiza watu, yaweza kuwa kweli, lakini hakuna mahali popote Mohamed said salum Semtungo ameweka japo nyaraka kuthibitisha madai zaidi ya simulizi za marhumu.

Mohamed akatoa madai kuwa BAKWATA si waislam na ni kama Yuda iskariote(ushahidi upo ukihitajika).
Hapa ana maana waislam wote wakiwemo wazee kama marhum Hemed bin Jumaa ni wasaliti. Inawezekana ana hoja ya nguvu kabisa.
Amedai mfumo kristo ndio unatawala nchi hii, inawezekana ana hoja kabisa.
Mahali ambapo hoja zake zinakuwa kama mabua ya mahindi ni pale anaposhindwa kusema Mwinyi aliyeutumikia mfumo kristo, Kawawa aliyetumikia mfumo kristo, Kikwete anayetumikia mfumo kristo ni wasaliti kama Adam Nasibu na Hemed bin Juma wa BAKWATA. Kwamba wapo wasaliti kwa vigezo vyake na wengine watakatifu kwa vigezo vingine.

Mohamed ana haki ya kutumia vigezo vyake, kibaya sana ni pale vigezo vyake anapovifanya ukweli na ukweli mtupu tena wa kitaifa, na kutumia vigezo hivyo kidini ili kuwaaminisha watu kuhusu kile anachodhani yeye ni sahihi na si kile kilicho sahihi. Ushawaishi wake ni mkubwa na inabidi watu wasimpuuze hata kidogo. Matamshi yake yanayoashiria shari ni ya kukemea mapema sana.

Tusimame na kumwambi, Mohamed tafuta chanzo cha tatizo na si kutoka nje kutafuta mchawi. Mchawi yupo hapo ulipo na chumbani kwako na si jirani aliyebeba jembe lake anakwenda shamba. Unapofundisha watu kuimba bila kuwaambia maana ya tenzi ni kuwapoteza.
Suluhu ya matatizo si mawaziri ni umasikini ulioboboea usiochagua bei ya sukari kwa Pagani, Mwislam au mkristo.

Matatizo ya ANC na kaburu yalimwalizwa mezanii, ya ZAPU/ZANU na Ian Smith yaimalizwa Lancaster house. Ya RENAMO NA FRELIMO yalimalizwa mezani. Matatizo ya Raila na Kibaki yalimalizwa mezani n.k.

Ya kwetu yanaongeleka bila kuwa na upande, yanaongeleka kwa utamaduni wetu wa kitanzania. Tusijenge kambi za kulazimisha ili tukidhi kiu ya matamanio ya nafsi zetu. Nafsi zinatamani kila kitu hata kile kinachomuudhi Mwenyezi mungu.
Nakubaliana nawe sana tu Nguruvi. Hofu yangu ni kuwa unaongeaje na mtu ambaye tayari amashafanya uamuzi, ana takwimu, ameshapita huko na kule kushawishi, kaandika na kitabu kabisa, atakukubalia lipi?
 
Nakubaliana nawe sana tu Nguruvi. Hofu yangu ni kuwa unaongeaje na mtu ambaye tayari amashafanya uamuzi, ana takwimu, ameshapita huko na kule kushawishi, kaandika na kitabu kabisa, atakukubalia lipi?

Cha msingi nae kama ana lolote ni vizuri kufanya tafiti kama alivyofanya Mohamed Said na kisha kuja na kuandika kitabu chake ambacho kitakuwa na matokeo ya tafiti yake katika kuweka sawa maneno au maandiko ya Mohamed said. Kumbuka kuwa tafiti inapingwa na tafiti nyingine lakini haiwezi kupingwa na hisia za mtu au kikundi cha watu wasiofanya tafiti yoyote.

Hiyo ni changamoto kwa Nguruvi3 kufanya tafiti kisha kutuletea hapa matokeo ya tafiti yake ili tuijadili tukilinganisha na ile ya Mohamed said kisha sisi ndio tutakuwa waamuzi wa kweli na kuweza kuiandika historia mpya kabisa ya kweli ya tanganyika.
 
Wakuu,
Kwanza kabisa tusimame pamoja na kuwaambia wanaotaka kuligawa taifa, hapana! kila wakileta hoja zao bila kujali imani zetu tuwaambie, hapana!
Tuwaambie sisi ni Watanzania tunaoishi bila kujuana majina, na kwamba majina ni utambulisho na si alama ya imani. Kama ni alama ya imani tunawezaje kuwa na Petro muuaji au Mohamed kibaka!

Lugha ni chombo cha mawasiliano katika kubeba ujumbe wa imani, lakini si imani kama wanavyodhani mashabiki wa dinii.
Tamaduni si sehemu ya imani lakini inaweza kuchukua imani na kuwa sehemu ya tamaduni. Pope pale vatican anavaa kanzu, je amesilimu?
Barua ya Tareq Aziz kwa Sadam ina 'leter head' ya bismillahi, je Tareq ni muislam!

Dini inatumiwa na kundi fulani lenye masilahi yasiyojulikana kutaka kuwafarakanisha Watanzania. Kama yapo matatizo mbona hayazungumzwi na kutolewa mapendekezo? Tumemuuliza Mohamed anashauri nini, yeye akasema hadi serikali itakapo waita ndipo watatoa mapendekezo yao. Huku nyuma anarudi na kutahadharisha hatari ya vita. Usomi maana yake si kusoma ni kutumia elimu kuyakabili mazingira na kutafuta suluhu.

Baada ya dhambi ya kumdhalilisha Nyerere akiwa katika masoksi mareeefu, kupewa vitoweo na pesa za nyama dhambi hiyo hiyo inajirudia na sasa inatafuna kwa yule aliyeitenda. Tumeambiwa Nyerere amekandamiza watu, yaweza kuwa kweli, lakini hakuna mahali popote Mohamed said salum Semtungo ameweka japo nyaraka kuthibitisha madai zaidi ya simulizi za marhumu.

Mohamed akatoa madai kuwa BAKWATA si waislam na ni kama Yuda iskariote(ushahidi upo ukihitajika).
Hapa ana maana waislam wote wakiwemo wazee kama marhum Hemed bin Jumaa ni wasaliti. Inawezekana ana hoja ya nguvu kabisa.
Amedai mfumo kristo ndio unatawala nchi hii, inawezekana ana hoja kabisa.
Mahali ambapo hoja zake zinakuwa kama mabua ya mahindi ni pale anaposhindwa kusema Mwinyi aliyeutumikia mfumo kristo, Kawawa aliyetumikia mfumo kristo, Kikwete anayetumikia mfumo kristo ni wasaliti kama Adam Nasibu na Hemed bin Juma wa BAKWATA. Kwamba wapo wasaliti kwa vigezo vyake na wengine watakatifu kwa vigezo vingine.

Mohamed ana haki ya kutumia vigezo vyake, kibaya sana ni pale vigezo vyake anapovifanya ukweli na ukweli mtupu tena wa kitaifa, na kutumia vigezo hivyo kidini ili kuwaaminisha watu kuhusu kile anachodhani yeye ni sahihi na si kile kilicho sahihi. Ushawaishi wake ni mkubwa na inabidi watu wasimpuuze hata kidogo. Matamshi yake yanayoashiria shari ni ya kukemea mapema sana.

Tusimame na kumwambi, Mohamed tafuta chanzo cha tatizo na si kutoka nje kutafuta mchawi. Mchawi yupo hapo ulipo na chumbani kwako na si jirani aliyebeba jembe lake anakwenda shamba. Unapofundisha watu kuimba bila kuwaambia maana ya tenzi ni kuwapoteza.
Suluhu ya matatizo si mawaziri ni umasikini ulioboboea usiochagua bei ya sukari kwa Pagani, Mwislam au mkristo.

Matatizo ya ANC na kaburu yalimwalizwa mezanii, ya ZAPU/ZANU na Ian Smith yaimalizwa Lancaster house. Ya RENAMO NA FRELIMO yalimalizwa mezani. Matatizo ya Raila na Kibaki yalimalizwa mezani n.k.

Ya kwetu yanaongeleka bila kuwa na upande, yanaongeleka kwa utamaduni wetu wa kitanzania. Tusijenge kambi za kulazimisha ili tukidhi kiu ya matamanio ya nafsi zetu. Nafsi zinatamani kila kitu hata kile kinachomuudhi Mwenyezi mungu.


quote_icon.png
By Mohamed Said
Sweke34,

Sifa moja ya Uislam ni kuhurumiana nakuomba tumwache rais katika haya. Mimi nilileta hapa ukumbini "Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania Mainland" baada ya meneno hayo ya Mheshimiwa Rais.

JF waliiweka asubuhi maghrib wakaitoa.
Nadhani tumeelewana.

Mohamed

Ahsante sana mkuu Nguruvi kwa busara zako....Mungu akuzidishie!
 
Back
Top Bottom