Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa


Hii ni Open Forum, ungetaka usijibiwe na mimi ungetumia kifungo cha kum "PM". Jifunze kutumia hii "forum" kiukamilifu wake.

Ubandike tangazo lako ukumbi wa wazi halafu useme hii ni Mohamed Said tu?

Unaweza google, zipo nyingi tu.
 
Hii ni Open Forum, ungetaka usijibiwe na mimi ungetumia kifungo cha kum "PM". Jifunze kutumia hii "forum" kiukamilifu wake.

Ubandike tangazo lako ukumbi wa wazi halafu useme hii ni Mohamed Said tu?

Unaweza google, zipo nyingi tu.

Kama una access na video yoyote ya "Mohamed Said" akichangia maada kwa lugha ya Kiingereza tuwekee hapa, kama hunayo kaa kimya!
 
Kama una access na video yoyote ya "Mohamed Said" akichangia maada kwa lugha ya Kiingereza tuwekee hapa, kama hunayo kaa kimya!

Nikuwekee hapa wewe kama kama nani? kama hujui pakuipata wewe ndio ukae kimya, tushakueleza namna ya kuipata bado unataka uwekewe hapa. Unanchekesha, kadeke kwenu huko hapa hadekezwi mtu.
 
Nikuwekee hapa wewe kama kama nani? kama hujui pakuipata wewe ndio ukae kimya, tushakueleza namna ya kuipata bado unataka uwekewe hapa. Unanchekesha, kadeke kwenu huko hapa hadekezwi mtu.

Wee huna jipya. Kaa pembeni tu. Nitamsubiri "Mohamed Said" ajibu hoja yangu.
 
Huna hoja una viroja.

While you're at it, why not take the time to show us any video of "Mohamed Said" akihutubia kadamnasi yoyote kwa Kiarabu fasaha, lugha ya Quran? All that craptalk about "Mfumo Kristo" anayodai "kuandika" kutumia lugha ya Kiingereza, kwa faida ya nani? Kwa nini hakuandika hiyo "Biography of Abdulwahid Sykes" kutumia Kiswahili au Kiarabu ili ujumbe uweze kuwafikia "umma" mkubwa zaidi wa Kiislamu?
 

Ndjabu,

Maalim wangu Sheikh Haruna (Mungu amrehemu) amenifunza anasema ukiwa katika mnakasha na mtu kisha ukaona ameghadhibika basi wewe ondoka kwani litakalofatia ni shari anaweza akakutoa ngeu.

Nami nakuona ushapandisha hamaki "craptalk" yote haya ya nini ndugu yangu (sina haja ya kufanya fasiri ya neno hili).

Waungwana hawatukanani katika mazungumzo.

Endapo ghadhabu zako zitapoa na utapenda kurudi tena katika mstari kwa ustaarabu Insha Allah ahlan wasaalan.
Nakukaribisha.

Mohamed
 

Jibu hoja "Mohamed Said", siyo unaanza kuleta la kuleta! Weka ushahidi wowote kuhusu madai yangu hapo juu, kwa maana ya kutuwekea video zinazoonyesha michango au mchango wako kwa lugha za Kiingereza na Kiarabu kwenye mikutano, warsha au chochote kile unachodai kuhudhuria au kualikwa kama "Mohamed Said" ndani na nje ya nchi.

Pia si vibaya kama ukitufahamisha iweje uitwe "Mohamed Said" tu? Jee, ni sababu gani zinazokufanya hadi uamue kutojitambulisha kwa jina lako la ukoo au la kikabila kama Watanganyika waliyo wengi?
 

Ndjabu,

Hili kwangu ni jambo la akida.
Huwa nasimamisha mnakasha ninapohisi mwenzangu amekasirika.

Tulia kwanza.

Mohamed
PS: Haifai kuanza siku kwa kisirani.
Mohamed
 

Ndjabu,

Hili kwangu ni jambo la akida.
Huwa nasimamisha mnakasha ninapohisi mwenzangu amekasirika.

Tulia kwanza.

Mohamed
PS: Haifai kuanza siku kwa kisirani.
Mohamed

Acha hizo "Mohamed Said". Una maana gani kwa kusema "ninapohisi mwenzangu amekasirika?" Kisirani kwa maana gani? Hiyo ndiyo "measure of objectivity"unayotumia kwenye maandishi yako ya "Kisomi?" Kama kweli wewe ni Mwanazuoni aliyekubuhu unayedai kuwa ndiyo, basi sipaswi kukukumbusha kuwa hoja hujibiwa kwa hoja.
 

Punguza ghadhab.
 

Ndjabu,

Umenipa heshima kubwa sana kwa kusema hizo kazi haziwezi kuwa zangu ni kazi nilizoandikiwa. Hilo la kwanza. Pili huamini kama nina uwezo wa kuandika kwa Kiingereza.

Hitimisho ni kuwa wapo "ghost writters" walofanya kazi hiyo.
Alhamdulilah.

Sikuwa najua kama hii ndiyo darja aloniweka Allah kuwa itafika siku watu watanisoma kisha wakatae wasema huyu si Mohamed Said huyu anaandikiwa na watu wajuzi.
Alhamdulilah.

Nkrumah alipatapo kuambiwa hivyo kuwa vitabu vyake anaandikiwa na "ghost writers" utafiti ukafanywa.
Ikagundulika si kweli.

Sitokuambia wewe ufanye utafiti ila nitakupa kauli yangu moja.

Vyote hivyo ni mkono wangu mwenyewe.

Mohamed Said


PS: Namuona masikini marehemu mama yangu Mwanaidi bint Mohamed ananambia, "Mohamed we kalia huo mpira uone utakupaleka wapi unaacha kushika kitabu hapo ukasoma kutwa kwenye mpira" (wakati ule kijana mdogo hamu yangu nije kuvaa jezi ya Sunderland (Simba) kisha timu ya taifa). MS
 
.................Watu wote wanaolalamikiwa na Mohamed Said kuwa walisahauliwa, wengi wao walikuwa wakazi wa Dar es Salaam eneo la Gerezani.............

ambao ni Mamluki..........na Brother MS ni uzao wao..........ni grudges tu zinaendelea hapa..........its very clear.......
 
Ndiyo maana kila siku Namuuliza Mohamed Said kwamba yeye ni Mmanyema? Ananuna!!! Mimi tangu mwanzo nimefuatilia kuna kikundi fulani cha baadhi ya wamanyema wana ajenda yao ambayo siielewi lakini kwa bahati mbaya wanaipitishia kwenye Uislamu. Asilimia kubwa ya wale wanaoisimamia hii hoja ya Nyerere kuwagandamiza Waislamu mara baada ya Uhuru wengi wao (siyo wote) ni wamanyema.
 

Likija suala la Uislaam hakuna Mmanyema wala Mpogoro.
 
Ally Hassan Mwinyi ni Alhaji kwani alipokuwa Rais wetu alikuwa anawakilisha Waislamu!!
 
Alidhani wewe ni Gaidi nini au alidhani ni Mpelelezi wa wakomunisti. lakini hayo ya kusifiwa kusafiri sana hayana maana unasafiri kwa tija na watu wenye kutaka kusikia hoja mpya duniani si haba hata kama hoja hizo hazina mashiko.
 


Hapa maswali ni mawili tu na si lazima ajibu Mohamed Said ila kama atapenda kufanya hivyo yeye mwenyewe nitashukuru sana au kama atatokea mtu anayeweza kujibu kwa niaba yake pia itakuwa sawa;
  • Je Mohamed Said mwandishi wa historia ya kweli ndiye huyo kaelezwa hapo juu ?
  • Je ushahidi wa video wa Mohamed Said unaweza kupatikana akishusha hizo nondo zake kwa kiingereza na kiarabu huko ughaibuni ?
Ni hayo tu kwa sasa.
 
Mwenyewe ansema hivi, kule ulipokimbia:

 
Mkuu mbona majina yote ya wale waliosilimu ni ya kiasili? hawa hawakuwa na dini kabla ya hapo kama ndugu zao Wakristu ambao hawakusilimu?...
Nitaweka majina yao ya kiasili inshaalah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…