Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

No Mohamed Said, no more free ride, nikipata nafasi nitaendelea................
Mag3 unakosea sana ndugu yangu, nafasi ndiyo hii itumie. Hiyo nyingine ni Kudra za mwenyezimungu!!
Na lazima tuwaambie watu kwamba tunawapenda sana ndugu zetu waislamu, lakini huu uchochezi wa Mohamed Said, HAPANA.
 
Mag3 unakosea sana ndugu yangu, nafasi ndiyo hii itumie. Hiyo nyingine ni Kudra za mwenyezimungu!!
Na lazima tuwaambie watu kwamba tunawapenda sana ndugu zetu waislamu, lakini huu uchochezi wa Mohamed Said, HAPANA.

Ndugu yangu Kigarama, ni swali la muda tu na ukumbuke kuwa kabla ya kuchangia yabidi usome mambo mbali mbali ambayo yametolewa na washiriki mbali mbali ili usiyarudie tena. Hata hivyo kuna moja muhimu la kulitilia maanani nalo ni kwamba Wazee wa Mohamed walimhitaji Mwalimu Nyerere kuliko alivyowahitaji wao na ni bahati kwao waligundua hilo mapema sana na kumkabidhi Uraisi mara moja. Watu wa muhimu sana walikuwa viongozi wa vyama vya ushirika ambao ilibidi wateuliwe wawe viongozi wa TANU mikoani na hasa kwenye majimbo muhimu ambako ndiko hasa harakati za kupambana na mkoloni zilikoanzia. Vyama hivyo vya Ushirika vingi vikiwa vimeanzishwa kabla ya TAA na vilitumika kuwahamasisha wananchi kuliko vyama vya wafanyakazi kwa sababu vilikuwa karibu na wananchi walio wengi.

Vyama vya Ushirika vya Wakulima vikuu vilikuwa kama;

  • Kilimanjaro Co-operative Union Ltd (1933)
  • Lake Province Native Growers Association (1949) - baadaye ikaanzishwa Victoria federation of Co-operative Unions
  • Bukoba Co-operative Union Ltd. (1950)
  • Ngoni – Matengo Co-operative Union Ltd. (1936)
  • Rungwe African Co-operative Union Ltd. (1949)
Dar es Salaam ilikuwa na wakazi wasiofika 200,000 na hata tukisema asilimia kumi walikuwa wafanyakazi sana sana watafikia watu 20,000. Hii idai ukigawanya kwa vyama vyote ni kwamba wakati Mwalimu Nyerere anachaguliwa kuiongoza TAA, mojawapo ya vyama vya wafanyakazi Dar es Salaam, labda ilikuwa na wanachama wasiofika hata elfu mbili. Sasa linganisha idadi hii na Chama cha Ushirika kama Victoria Federation of Coperative Unions ya Mwanza ambayo tayari ilikuwa na wanachama zaidi ya 30,000.

Kuna riwaya iliwahi kuandikwa na mtunzi moja mwenye jina la James Hadley Chase ikiwa na title - Believe this and you will believe anything ! Hivyo ndivyo navyovichukulia porojo za Mohamed Said ila tatizo ni kuwa ni porojo zenye hatari kwani zinapandikiza chuki miongoni mwa wananchi. Hapana, lazima aambiwe bila kumung'unya maneno aache mara moja kuivuruga jamii kwa hizi chuki zake na mimi nawaomba wote wenye nia njema na taifa letu kumpa a big NO ! Mbona haorodheshi majina ya hawa vinara walioongoza hivyo vyama vya Ushirika na badala yake amekaa kutupigia soga za Gerezani ?
 
Ndugu yangu Kigarama, ni swali la muda tu na ukumbuke kuwa kabla ya kuchangia yabidi usome mambo mbali mbali ambayo yametolewa na washiriki mbali mbali ili usiyarudie tena. Hata hivyo kuna moja muhimu la kulitilia maanani nalo ni kwamba Wazee wa Mohamed walimhitaji Mwalimu Nyerere kuliko alivyowahitaji wao na ni bahati kwao waligundua hilo mapema sana na kumkabidhi Uraisi mara moja. Watu wa muhimu sana walikuwa viongozi wa vyama vya ushirika ambao ilibidi wateuliwe wawe viongozi wa TANU mikoani na hasa kwenye majimbo muhimu ambako ndiko hasa harakati za kupambana na mkoloni zilikoanzia. Vyama hivyo vya Ushirika vingi vikiwa vimeanzishwa kabla ya TAA na vilitumika kuwahamasisha wananchi kuliko vyama vya wafanyakazi kwa sababu vilikuwa karibu na wananchi walio wengi.

Vyama vya Ushirika vya Wakulima vikuu vilikuwa kama;

  • Kilimanjaro Co-operative Union Ltd (1933)
  • Lake Province Native Growers Association (1949) - baadaye ikaanzishwa Victoria federation of Co-operative Unions
  • Bukoba Co-operative Union Ltd. (1950)
  • Ngoni – Matengo Co-operative Union Ltd. (1936)
  • Rungwe African Co-operative Union Ltd. (1949)
Dar es Salaam ilikuwa na wakazi wasiofika 200,000 na hata tukisema asilimia kumi walikuwa wafanyakazi sana sana watafikia watu 20,000. Hii idai ukigawanya kwa vyama vyote ni kwamba wakati Mwalimu Nyerere anachaguliwa kuiongoza TAA, mojawapo ya vyama vya wafanyakazi Dar es Salaam, labda ilikuwa na wanachama wasiofika hata elfu mbili. Sasa linganisha idadi hii na Chama cha Ushirika kama Victoria Federation of Coperative Unions ya Mwanza ambayo tayari ilikuwa na wanachama zaidi ya 30,000.

Kuna riwaya iliwahi kuandikwa na mtunzi moja mwenye jina la James Hadley Chase ikiwa na title - Believe this and you will believe anything ! Hivyo ndivyo navyovichukulia porojo za Mohamed Said ila tatizo ni kuwa ni porojo zenye hatari kwani zinapandikiza chuki miongoni mwa wananchi. Hapana, lazima aambiwe bila kumung'unya maneno aache mara moja kuivuruga jamii kwa hizi chuki zake na mimi nawaomba wote wenye nia njema na taifa letu kumpa a big NO ! Mbona haorodheshi majina ya hawa vinara walioongoza hivyo vyama vya Uchirika na badala yake amekaa kutusimulia soga za Gerezani ?

Hollywood story-imeandikwa na Pro-Nyerere. Hizi data za kutengenezwa na serikali ya Nyerere, lini mtaziacha?

Kama unataka kujua historia ya nchi inabidi uende kwenye direct sources acheni kufuata data za serikali ya Nyerere. C'mon, let's be honest.
 
Hollywood story-imeandikwa na Pro-Nyerere. Hizi data za kutengenezwa na serikali ya Nyerere, lini mtaziacha?

Kama unataka kujua historia ya nchi inabidi uende kwenye direct sources acheni kufuata data za serikali ya Nyerere. C'mon, let's be honest.

nimependa sana hii. Je, unaamini M. Said ameenda kwenye direct sources?
 
Mohamed Said, kabla sijafanya reference na kucomment, Je historia iliyoandikwa katika kitabu hiki ni sahihi au nayo imepotoshwa??????? Maana imezungumzwa sana hii historia iliyopotoshwa lakini vitabu vilivyopotosha havitajwi. Ila nachokiona from your side ni kwamba you have freedom to choose anywhere ku-cite references zako iwe Tanzania, Cambridge Uni Press, Amazon.com, Marekani u name it. A freedom I suspect is somehow limited to some of us thru branding na unguided limitations.

"Voices from Tanganyika: Great Britian, the United Nations and the decolonization of a Trust Territory, 1946-1961" By Ullrich Lohrmann
 
Hawa hapa chini vp naona nao historia imewasahau

2q0ujc3.jpg
 

Mwanakijiji,

Maneno ya kumkashifu Nyerere yalikuja baadae sana na yalitokana
na watu waliompokea Dar es Salaam wakawanae baga kwa bega
hadi akafika alipofika.

Baada ya hapo ikawa sasa Nyerere kasahau hisani aliyotendewa.
Akawa anasikika akisema yeye kaikuta TAA imekufa akaifufua,
Dossa alikuwa akimwendesha, TAA kilikuwa chama cha starehe.

Nyerere mwaka 1963 akalivunja Baraza la Wazee wa TANU chini ya
uenyekiti wa Iddi Tulio. Nyerere akawakamata masheikh wengine
hata hawakuwa katika siasa kama Maalim Matar (rafiki kipenzi wa
Abdulwahid) akawatia kizuizini kwa kosa la "kuchanganya dini na siasa."

Nyerere akavunja jumuia za Kiislam kama EAMWS, Al Jamiatul Ismaiyya na
nyinginezo.

Wazee wakapigwa marufuku hata kufika TANU office kama wenyewe
walivyopenda kuita.

Nyerere akajiweka mbali na wale wazee na watu wengine aliokuwanao
katika harakati.

Iddi Tulio kagongwa na gari kafa. Nyerere hakuhudhura maziko yake.
Mshume Kiyate kaugua hadi kafa hakwenda hospitali wala hakuhudhuria
mazishi yake, Sheikh Mohamed`Ramia, Jumbe Tambaza...

Wazee wetu hawakupendezwa na mambo haya.

Chuki ikajengeka dhidi yake.

"Huyu si huyu Nyerere aliyeletwa kwetu na Abdu Sykes kavaa kaptula?

Wazee wakawa wakikutana pembeni wanazungumza lugha hizo.

Ndiyo hadi leo tumefika hapa.

Ni mengi tutaelezana taratibu.

Kila jambo lina sababu yake.

Mohamed
Unayoyasemwa yanasemwa sasa kwa rais jk, yalisemwa kwa bwm na ahm. Nimekuchoka na mipasho yako.
 
Mag3 unakosea sana ndugu yangu, nafasi ndiyo hii itumie. Hiyo nyingine ni Kudra za mwenyezimungu!!
Na lazima tuwaambie watu kwamba tunawapenda sana ndugu zetu waislamu, lakini huu uchochezi wa Mohamed Said, HAPANA.

Kigarama,

Mimi ni Muislam siwezi kutia farka katika jamii hilo ni tendo baya kabisa.

Haya nikandikayo humu ndiyo historia ya Waislam wa Tanganyika. Kuna
watu wanashangaa mbona Waislam wako nyuma hivi?

Ni uvivu wao aukitu gani? Mimi nitakuwa masuul mbele ya Allah endapo
sitosema kweli kuhusu tatizo hili la dhulma na ndiyo maana unaona nawapa
changa motowahusika wajibu. Halikadhalika ndiyo maana sikujificha jina
langu liko hapo na wengi wananijua.

Tusipuuze mambo haya.
Jamii moja kuaikalia kichwani jamii nyingine ni hatari.

Waislam sasa wanajua na ndiyo maana unasikia wasema
"Mfumo Kristo sasa basi."

Huyo unamnasihi bure hawezi kupambana na mimi kashindwa
kunijibu Nyerere yeye ataweza wapi.

Waswahili tuna msemo, "Fupa lililomshinda fisi mbwa ataliweza?"

Mohamed
 
Unayoyasemwa yanasemwa sasa kwa rais jk, yalisemwa kwa bwm na ahm. Nimekuchoka na mipasho yako.

MM,

Usiwe hivyo kweli unathubutu kuita historia hii "mipasho?"

Hizi ni kejeli na kejeli ni dalili ya kuwa unashindwa kujibu hoja.
Nimekufahamu.

Ama hilo la kuchoka sikulaumu kila mtu na jinsi alivyojaliwa uwezo.

Mwenzako alinitukana kabisa.

Hilo la JK kusemwa lazima litakuwapo madhali kama hatendi haki.
Hilo halitamuepuka, litamwandama tu.

Mohamed
 
Hawa hapa chini vp naona nao historia imewasahau

Nyambala,

Ngoja tusomeshane kidogo.
Umeweka majina bila ya melezo.Ungefanya hivi:
Baada ya kuweka hayo majina ungeeleza na michango yao katika
kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mathalan ungesema huyu fulani mwaka fulani alikuwa ndiye katibu au
rais wa TAA. Katika kipindi cha uongozi wake alifanya kadhaa, kadhaa
lakini historia imemtupa nje.

Sasa wewe umeorodhesha majina tena si kwa "source" yako wewe yaani
"primary source" ila umechukua kutoka "secondary source kisha bila maelezo
unasema kuwa hawa wamesahauliwa.

Sasa swali litakuja. Wamesahauliwa kwenye nini? Kwani hao ni akina nani? nk.

Taratibu tutaelekezana ili mradi hatutukanani.

Mohamed




  1. 2q0ujc3.jpg
 
Asante Mungu JF inaelekea kurudi kwenye hadhi yake mijadala ya aina hii ndiyo ilinifanya nikajiunga na hili jamvi lakini kuanzia mwaka 2010 tulivamiwa na kundi la wahuni wasiopenda mijadala yenye afya bali matusi na kejeli.

Mzee Mohamed Said,Fundi Mchundo,Jasusi,FaidaFoxy,WildCard,Mzee Mwanakijiji,Mwita Maranya,Nguruvi3,Mag3 na wengine wote niliowasahau kwa bahati mbaya tafadhali sana tujiepushe na lugha za kuudhi,kejeli au matusi kwa faida ya mjadala.Niseme kweli nimejifunza mambo mengi kupitia kwenu na nina hakika wako wengi pia kupitia michango yenu wamefaidika sana.
Umenena mkuu
 
nimependa sana hii. Je, unaamini M. Said ameenda kwenye direct sources?

Ikiwa mtu kaongea na Ali Sykes ana kwa ana na Ali Sykes ndio alioisaini kadi ya TANU ya Nyerere hivi kweli unataka kutuambia hiyo sio "direct source"? Unanchekesha!
 
Mohamed Said, kabla sijafanya reference na kucomment, Je historia iliyoandikwa katika kitabu hiki ni sahihi au nayo imepotoshwa??????? Maana imezungumzwa sana hii historia iliyopotoshwa lakini vitabu vilivyopotosha havitajwi. Ila nachokiona from your side ni kwamba you have freedom to choose anywhere ku-cite references zako iwe Tanzania, Cambridge Uni Press, Amazon.com, Marekani u name it. A freedom I suspect is somehow limited to some of us thru branding na unguided limitations.

"Voices from Tanganyika: Great Britian, the United Nations and the decolonization of a Trust Territory, 1946-1961" By Ullrich Lohrmann

Nyambala,

Tafadhali tuelewane.
Kitabu ambacho si sahihi katika historia ya TANU ni hiki:
"Kivukoni Ideological College, Historia yaChama Cha TANU 1954-1977,
Dar es Salaam, 1981."



Ikiwa umefuatilia makala zangu katika Mwananchi na ukaja kusoma kitabu
hicho utapigwa na butwaa maana hiyo yao sio historia ya TANU. Historia
ya TANU hayumo Abdulwahid Sykes, Ally Sykes Dossa Aziz, Sheikh Hassan
bin Amir, Sheikh Suleiman Takadir, Mshume Kiyate, Bi Titi Mohamed, Bi Tatu
bint Mzee nk. hiyo siyo historia ya TANU ni kitu kingine kabisa.

Hicho kitabu ulichotaja kwa bahati mbaya sijakisoma kwa hiyo siwezi kusema kitu. Ila
ni hivi vitabu vingi vilivyoandikwa kuhusu historia Tanganyika na kugusia
"nationalist politics" haya niliyoandika hayamo ingawa wemeeleza mengi
kwa kupitia kijuujuu tu ukiondoa The Making of Tanganyika cha Judith Listowel, 1965.







 
Ikiwa mtu kaongea na Ali Sykes ana kwa ana na Ali Sykes ndio alioisaini kadi ya TANU ya Nyerere hivi kweli unataka kutuambia hiyo sio "direct source"? Unanchekesha!

FF,

Unajua na hii mie nitakuambia kutokana na uzoefu wangu.

Hawa jamaa wanajiamini kiasi kuwa wanadhani Waswahili
hawawezi kitu.

Sasa walipokuja ambiwa kuwa hiyo TANU wapanga mipango
hadi chama kikaanzishwa Dar es Salaam ni Waswahili inakuwa
tabu sana kwa akili zao kukubali kuwa ni kweli.

Nadhani umeona uzi mmoja mtu kwa madaha kabisa anasema
Nyerere ndiye aliyeandika katiba ya TANU.

Nilipomjibu kuwa hapakuandikwa katiba ila walinakili ya CPP ya
Ghana kashangaa anakuja na maswali ya kuzungushana.

Yeye nini aliona lile la katiba ndilo kubwa sana amtwishenalo Nyerere.

Nimepata kwingi tu kueleza kuwa hata ile hotuba ya Nyerere UNO
hakuiandika yeye iliandikwa na akina Abdu Sykes 1950...Allahu Akbar
jamaa wanasema, "Hakika huyu Mohamed Said ni mtu muongo sana."

Hivyo ndivyo walivyoaminishwa itawachukua muda sana kuamini kuwa
TANU ilikuwapo katika fikra za wazee wetu kwa miaka mingi.

Hii si kama napuuza mchango wa Nyerere hata kidogo lakini ninachosema
hakuwa peke yake kwa hiyo asienziwe peke yake na wenzake watajwe pamoja
na yeye.

Mohamed
 

Hii si kama napuuza mchango wa Nyerere hata kidogo lakini ninachosema
hakuwa peke yake kwa hiyo asienziwe peke yake na wenzake watajwe pamoja
na yeye.

Mohamed

Hapa ndipo penye mgongano; wewe unachukulia nafasi ya Nyerere kama nafasi ya wengine; kwamba wote walitoa mchango ulio sawa. NI vizuri kwanza utambue na kukiri nafasi ya pekee ya Nyerere katika harakati za Uhuru na kutoka hapo ndipo tunaweza kuzungumzia kwa kina kabisa nafasi za wengine wote bila kujali dini, rangi, au mahali wanakotoka. Walikuweo wengi waliotoa mchango wao katika harakati za Uhuru lakini hakuna aliyekuwa na nafasi ya pekee na mchango wa pekee kama Julius Nyerere. Wazee wa Dar walijua hili, historia imerekodi hili na ushahidi wa hili uko wazi kabisa. Tukikubaliana katika hili niko radhi kabisa tushirikiane zaidi katika kuwatambua waasisi wetu wengine na michango yao mbalimbali.

Unasemaje?
 
Kiukweli ni mjadala wenye mantiki kubwa hasa kwa wenzangu na mimi wa kizazi cha dot com,maana twapata fursa nzuri ya kujua ambayo hatuku wahi kusikia tukiwa shule au nyumbani.
 
Ngoja tusomeshane kidogo.
Umeweka majina bila ya melezo.Ungefanya hivi:
Baada ya kuweka hayo majina ungeeleza na michango yao katika
kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mathalan ungesema huyu fulani mwaka fulani alikuwa ndiye katibu au
rais wa TAA. Katika kipindi cha uongozi wake alifanya kadhaa, kadhaa
lakini historia imemtupa nje.

Sasa wewe umeorodhesha majina tena si kwa "source" yako wewe yaani
"primary source" ila umechukua kutoka "secondary source kisha bila maelezo
unasema kuwa hawa wamesahauliwa.

Sasa swali litakuja. Wamesahauliwa kwenye nini? Kwani hao ni akina nani? nk.

Taratibu tutaelekezana ili mradi hatutukanani.

Mohamed

Mohamed ndiyo maana nilitanguliza kwanza jina la kitabu na kuhitaji ufafanuzi kama ni reference inayokubalika. Hao watu ntawaelezea wala usiwe na shaka. Suala la kutukanana nadhani unawafahamu mabingwa wake. Asante tuendelee na mjadala.
 
Dah Ahsanteni waungwana, maana nimekaa na daftari muda mrefu naandika
tu. Kuna kumbukumbu hapa si za kucopy na kupaste zinatakiwa kuandikwa kwenye
daftari ingewezekana kwa wino wa dhahabu. Mungu awalipe nyote kulingana na manayoyafanya
bado niko nyuma yenu mimi ni mwanafunzi wenu.
 
Back
Top Bottom