Nadhani hapo watu wako kwenye kupinga tu...na wala haito tufikisha kokote kama hamuwezi kuchagua haki na kuifata,hii inakumbusha ule msemo wa "mfa maji,haishi kutapata" mara hili mara lile kwa kigezo cha kujiita "censors" "see things in a big picture".
Gazeti la Mwananchi leo tena kwaniaba ya "muhandishi wetu" kuna interview ya Sihiyana Mandevu dereva wa tax aliye kuwa akimbeba Nyerere toka wakati wa mtaa wa pemba na New street,Kkoo na New street na wajumbe walele hadi St Joseph ambapo huku wajumbe walibadilika kuwa wengine ambao hakuwafahamu,sasa kama kweli we claim to see thing in that "big picture"....why then we don't connect the dots!!?? Hauitaji kwenda Bweni kujifunza