Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Wakuu,
Kwanza kabisa tusimame pamoja na kuwaambia wanaotaka kuligawa taifa, hapana! kila wakileta hoja zao bila kujali imani zetu tuwaambie, hapana!
Tuwaambie sisi ni Watanzania tunaoishi bila kujuana majina, na kwamba majina ni utambulisho na si alama ya imani. Kama ni alama ya imani tunawezaje kuwa na Petro muuaji au Mohamed kibaka!

Lugha ni chombo cha mawasiliano katika kubeba ujumbe wa imani, lakini si imani kama wanavyodhani mashabiki wa dinii.
Tamaduni si sehemu ya imani lakini inaweza kuchukua imani na kuwa sehemu ya tamaduni. Pope pale vatican anavaa kanzu, je amesilimu?
Barua ya Tareq Aziz kwa Sadam ina 'leter head' ya bismillahi, je Tareq ni muislam!

Dini inatumiwa na kundi fulani lenye masilahi yasiyojulikana kutaka kuwafarakanisha Watanzania. Kama yapo matatizo mbona hayazungumzwi na kutolewa mapendekezo? Tumemuuliza Mohamed anashauri nini, yeye akasema hadi serikali itakapo waita ndipo watatoa mapendekezo yao. Huku nyuma anarudi na kutahadharisha hatari ya vita. Usomi maana yake si kusoma ni kutumia elimu kuyakabili mazingira na kutafuta suluhu.

Baada ya dhambi ya kumdhalilisha Nyerere akiwa katika masoksi mareeefu, kupewa vitoweo na pesa za nyama dhambi hiyo hiyo inajirudia na sasa inatafuna kwa yule aliyeitenda. Tumeambiwa Nyerere amekandamiza watu, yaweza kuwa kweli, lakini hakuna mahali popote Mohamed said salum Semtungo ameweka japo nyaraka kuthibitisha madai zaidi ya simulizi za marhumu.

Mohamed akatoa madai kuwa BAKWATA si waislam na ni kama Yuda iskariote(ushahidi upo ukihitajika).
Hapa ana maana waislam wote wakiwemo wazee kama marhum Hemed bin Jumaa ni wasaliti. Inawezekana ana hoja ya nguvu kabisa.
Amedai mfumo kristo ndio unatawala nchi hii, inawezekana ana hoja kabisa.
Mahali ambapo hoja zake zinakuwa kama mabua ya mahindi ni pale anaposhindwa kusema Mwinyi aliyeutumikia mfumo kristo, Kawawa aliyetumikia mfumo kristo, Kikwete anayetumikia mfumo kristo ni wasaliti kama Adam Nasibu na Hemed bin Juma wa BAKWATA. Kwamba wapo wasaliti kwa vigezo vyake na wengine watakatifu kwa vigezo vingine.

Mohamed ana haki ya kutumia vigezo vyake, kibaya sana ni pale vigezo vyake anapovifanya ukweli na ukweli mtupu tena wa kitaifa, na kutumia vigezo hivyo kidini ili kuwaaminisha watu kuhusu kile anachodhani yeye ni sahihi na si kile kilicho sahihi. Ushawaishi wake ni mkubwa na inabidi watu wasimpuuze hata kidogo. Matamshi yake yanayoashiria shari ni ya kukemea mapema sana.

Tusimame na kumwambi, Mohamed tafuta chanzo cha tatizo na si kutoka nje kutafuta mchawi. Mchawi yupo hapo ulipo na chumbani kwako na si jirani aliyebeba jembe lake anakwenda shamba. Unapofundisha watu kuimba bila kuwaambia maana ya tenzi ni kuwapoteza.
Suluhu ya matatizo si mawaziri ni umasikini ulioboboea usiochagua bei ya sukari kwa Pagani, Mwislam au mkristo.

Matatizo ya ANC na kaburu yalimwalizwa mezanii, ya ZAPU/ZANU na Ian Smith yaimalizwa Lancaster house. Ya RENAMO NA FRELIMO yalimalizwa mezani. Matatizo ya Raila na Kibaki yalimalizwa mezani n.k.

Ya kwetu yanaongeleka bila kuwa na upande, yanaongeleka kwa utamaduni wetu wa kitanzania. Tusijenge kambi za kulazimisha ili tukidhi kiu ya matamanio ya nafsi zetu. Nafsi zinatamani kila kitu hata kile kinachomuudhi Mwenyezi mungu
.

Nguruvi3.

Nakubaliana kabisa na wewe katika para no 1,2 na 3. Lakini ningependa kukutanabaisha kuwa historia lazima ibakie kama ilivyokuwa na kusitokee kuichakachua kwa aina yoyote iwe mbaya au nzuri lazima iwekwe ilivyo. Lakini pia imani lazima ziheshimike na kupewa usawa na haki sawa pasi na upendeleo wa aina yoyote.

Tanganyika ilitakiwa ilione hilo kama janga, hasa pale mnaposema kwa kinywa kipana kuwa waislam wapo nyuma kimaendeleo ukilinganisha na wakristo na sasa mna almost miaka 50. Je serikali ilichukua hatua gani kupunguza gap hiyo ambayo kama mngekuwa serious basi sasa kungekuwa hakuna gap kabisaaaaa kwani popolation yenu ya wasialm na wakristo almost 50% each. Hilo naomba mlione kuwa ni aibu kubwa kwa taifa lenu. Kwan kama sasa kuna kampini maalum kwa elimu kwa jamii za wafugaji na hata uongozi kwa wanawake je vipi kwa waislam mnaliangaliaje. Kumbukeni hilo ni bomu na sasa ndio linakaribia kulipuka mjiandae.

Nilipo Green.

Nafikiri si vizuri kuzungumzia kuhusu Bakwata. Kwani kwa namna yoyote ile hicho ni chombo cha Serikali ingawa Nyerere alipoianzusha alisahau kabisa kuwa Serikali haina dini ila raia wake ndio wenye dini. Kwa waislam Bakwata haia cha kuwaambia zaidi ya kufata mambo ya serikali. Ilitakiwa Serikali ya Tanganyika iwaache waislam wenyewe waunde umoja wao kama walivyofanya wakristo kitu kama Tec n.k. Kumbuka Bakwata haina watu zaidi ya viongozi wa Serikali .

Nilipo RED.

Suluhu ya matatizo yenu nafikiri umebainisha mwenyewe pale nilipo Bold. ni vizuri kuweka mjadala wa wazi kwa kuzishirikisha pande zote mbili na kuichambua historia nzima na kuiweka sawa pale ilipokosewa na kuja na historia iliyo sahihi. Lakini pia kujadiliana matatizo mbalimbali ya imani zenu pasi na kuoneana aibu na kuweka mikakati ya kuyatatua kimazungumzo kama ilivyofanyika katika Serikali ya Zanzibar kuunda umoja wa kitaifa.

Pasi na kuliweka wazi suala hili na kuliona kama kitu kidogo basi mjue sasa wakti umefika na kila mtu ameona dhulma ipo wapi na wamefikaje walipofikia. Sasa kazi kwenu kwani siku zote mficha maradhwi kifo kinamuumbua.

 
Cha msingi nae kama ana lolote ni vizuri kufanya tafiti kama alivyofanya Mohamed Said na kisha kuja na kuandika kitabu chake ambacho kitakuwa na matokeo ya tafiti yake katika kuweka sawa maneno au maandiko ya Mohamed said. Kumbuka kuwa tafiti inapingwa na tafiti nyingine lakini haiwezi kupingwa na hisia za mtu au kikundi cha watu wasiofanya tafiti yoyote.

Hiyo ni changamoto kwa Nguruvi3 kufanya tafiti kisha kutuletea hapa matokeo ya tafiti yake ili tuijadili tukilinganisha na ile ya Mohamed said kisha sisi ndio tutakuwa waamuzi wa kweli na kuweza kuiandika historia mpya kabisa ya kweli ya tanganyika.
Unadhani ni utafiti alifanya? Aliongea tu na "Wazee wake" ambao kwa tayari kwa maoni yake mfumo ulishawatenga. "Machungu" ya wazee wake hawa ndio ukazaa kitabu kile ambacho aliambiwa ni mgodi wa dhahabu. Sasa Nguruvi3 kwa mabandiko yake humu anaonekana sio MDINI ni mfia nchi. Pili, "Wazee kama hawa wa Mohamed atawatoa wapi. Mohamed kajichongea kwa WATANZANIA na hasa WAISLAMU walioko CCM na serikalini kwa vyeo na nafasi kubwa tu nchi hii ukiwemo Urais kwa sasa.
 
Nguruvi3.

Nakubaliana kabisa na wewe katika para no 1,2 na 3. Lakini ningependa kukutanabaisha kuwa historia lazima ibakie kama ilivyokuwa na kusitokee kuichakachua kwa aina yoyote iwe mbaya au nzuri lazima iwekwe ilivyo. Lakini pia imani lazima ziheshimike na kupewa usawa na haki sawa pasi na upendeleo wa aina yoyote.

Tanganyika ilitakiwa ilione hilo kama janga, hasa pale mnaposema kwa kinywa kipana kuwa waislam wapo nyuma kimaendeleo ukilinganisha na wakristo na sasa mna almost miaka 50. Je serikali ilichukua hatua gani kupunguza gap hiyo ambayo kama mngekuwa serious basi sasa kungekuwa hakuna gap kabisaaaaa kwani popolation yenu ya wasialm na wakristo almost 50% each. Hilo naomba mlione kuwa ni aibu kubwa kwa taifa lenu. Kwan kama sasa kuna kampini maalum kwa elimu kwa jamii za wafugaji na hata uongozi kwa wanawake je vipi kwa waislam mnaliangaliaje. Kumbukeni hilo ni bomu na sasa ndio linakaribia kulipuka mjiandae.

Nilipo Green.

Nafikiri si vizuri kuzungumzia kuhusu Bakwata. Kwani kwa namna yoyote ile hicho ni chombo cha Serikali ingawa Nyerere alipoianzusha alisahau kabisa kuwa Serikali haina dini ila raia wake ndio wenye dini. Kwa waislam Bakwata haia cha kuwaambia zaidi ya kufata mambo ya serikali. Ilitakiwa Serikali ya Tanganyika iwaache waislam wenyewe waunde umoja wao kama walivyofanya wakristo kitu kama Tec n.k. Kumbuka Bakwata haina watu zaidi ya viongozi wa Serikali .

Nilipo RED.

Suluhu ya matatizo yenu nafikiri umebainisha mwenyewe pale nilipo Bold. ni vizuri kuweka mjadala wa wazi kwa kuzishirikisha pande zote mbili na kuichambua historia nzima na kuiweka sawa pale ilipokosewa na kuja na historia iliyo sahihi. Lakini pia kujadiliana matatizo mbalimbali ya imani zenu pasi na kuoneana aibu na kuweka mikakati ya kuyatatua kimazungumzo kama ilivyofanyika katika Serikali ya Zanzibar kuunda umoja wa kitaifa.

Pasi na kuliweka wazi suala hili na kuliona kama kitu kidogo basi mjue sasa wakti umefika na kila mtu ameona dhulma ipo wapi na wamefikaje walipofikia. Sasa kazi kwenu kwani siku zote mficha maradhwi kifo kinamuumbua.


Barubaru,

Mungu akujaze kheri.

Mohamed
 
Barubaru,
Waislamu wapo nyuma kimaendeleo kivipi? Matajiri watatu wakubwa nchi hii ni WAISLAMU. Wasomi wakubwa wanaoheshimika nchi hii WAISLAMU ni wengi tu akiwemo Prof Lipumba, Prof Shivji, Prof Abdallah Safari, Jaji wetu Mkuu ndiye huyo anaelekea The Hague,...
UISLAMU wa Mohamed ni Uislamu mwingine kabisa.
 
Kama Faiza amembadilikia Mohamed nadhani tuna haki ya kusema yafuatayo:
-UDINI Tanzania hauna nafasi tena. Hatutakaa kujadili namna ya kugawana vyeo/madaraka kwa udini.
-Mwalimu alifanya kazi kubwa sana kuiondoa TAA/TANU kwenye UDINI.
- Kwamba simulizi za Mohamed zinafaa kusomwa kama hadithi nyingine ya kawaida.
-Kwamba ile 83% na 17% ni uongo wa kutia AIBU. Haiwezekani 83% wakamchagua Rais kutoka 17%!
-Mohamed azikubali kazi nyingi nzuri alizofanya Mwalimu hasa miaka ya mwanzo wa Uhuru wetu.
-Mohamed badala ya kuwatumia WAISLAMU kwa malengo ya KISIASA ajiunge na chama chochote cha siasa.
-Tuwaache marehemu wetu waliotangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani.
-Mungu aibariki Tanzania kwani yeye hana DINI

Tafadhali sana, usitie maneno yako kinywani mwangu, sikumbadilikia mtu bali nami nna haki ya kusema yangu, kitu nnachowalaumu Waislaam wenzangu, ni pale Qur'an inapofanyiwa maskhara na kuwekwa ndivyo sivyo wao wanabaki kulumbana na hivi vitabu vya kidunia. "First and Foremost" ni Uislaam, na Uislaam bila Qur'an, kuihifadhi, kuilinda, na kuitetea, inakuwa hakuna Uislaam.

Leo, mtu anaweka aya ndivyo sivyo, na kila unapomuambia hapo umekosea omba msamaha, Waislaam wengine kimya, wao wako "busy" kutetaa vingine ambavyo vyote vinatakiwa viwe baada ya Qur'an na si kabla.

Mmoja tu humu aliyenyanyua sauti na kuliona hilo, nae ni Topical pekee, baada ya kuona hakunyamaza.

Waislaam mnatakiwa mshikane katika njia ya Mwenyeezi Mungu, hiyo kamba ya kuwashikanisha ni hii Qur'an, na inapofanyiwa mchezo kamba yenu, basi muwe kitu kimoja na kuhakikisha haifanyiwi mchezo. Hapo ndio kwenye yote, leo mtu anakejeli Qur'an kwa kuiweka ndivyo sivyo, unapomuambia anakupuuza na Waislaam wengine wanaendelea kulumbana nae kwenye mengine, huyo mtu na wenzake wanawaonaje? wanawaona wote ni majuha tu, hamna mshikamano.

Nawaambia, sikai kimya itapofanyiwa mzaha Qur'an na panapo uwezo wa kukemea, hiyo ndio kwanza na mengine baadae. Waislaam wasioweza kuliona umuhimu wake hilo, hao nao wako katika unafik.

Q.5:44. It was We who revealed the law (to Moses): therein was guidance and light. By its standard have been judged the Jews, by the prophets who bowed (as in Islam) to Allah.s will, by the rabbis and the doctors of law: for to them was entrusted the protection of Allah.s book, and they were witnesses thereto: therefore fear not men, but fear me, and sell not my signs for a miserable price. If any do fail to judge by (the light of) what Allah hath revealed, they are (no better than) Unbelievers.

Q.5:57. O ye who believe! take not for friends and protectors those who take your religion for a mockery or sport,- whether among those who received the Scripture before you, or among those who reject Faith; but fear ye Allah, if ye have faith (indeed).
 
Sisi wengine Faiza "First and foremost" ni KATIBA ya NCHI yetu. Hayo Qur'an na Biblia yana mahala pake na wakati wake. Kimsingi mimi sisumbuliwi na DINI yoyote ile. Nimepitapita kwenye DINI hizo nimeona niliyoyaona. TANZANIA KWANZA. Faiza unataka kuondoka kwenye mada hii ya Mzee wetu Mohamed kwa staili hii?
 
Tafadhali sana, usitie maneno yako kinywani mwangu, sikumbadilikia mtu bali nami nna haki ya kusema yangu, kitu nnachowalaumu Waislaam wenzangu, ni pale Qur'an inapofanyiwa maskhara na kuwekwa ndivyo sivyo wao wanabaki kulumbana na hivi vitabu vya kidunia. "First and Foremost" ni Uislaam, na Uislaam bila Qur'an, kuihifadhi, kuilinda, na kuitetea, inakuwa hakuna Uislaam.

Leo, mtu anaweka aya ndivyo sivyo, na kila unapomuambia hapo umekosea omba msamaha, Waislaam wengine kimya, wao wako "busy" kutetaa vingine ambavyo vyote vinatakiwa viwe baada ya Qur'an na si kabla.

Mmoja tu humu aliyenyanyua sauti na kuliona hilo, nae ni Topical pekee, baada ya kuona hakunyamaza.

Waislaam mnatakiwa mshikane katika njia ya Mwenyeezi Mungu, hiyo kamba ya kuwashikanisha ni hii Qur'an, na inapofanyiwa mchezo kamba yenu, basi muwe kitu kimoja na kuhakikisha haifanyiwi mchezo. Hapo ndio kwenye yote, leo mtu anakejeli Qur'an kwa kuiweka ndivyo sivyo, unapomuambia anakupuuza na Waislaam wengine wanaendelea kulumbana nae kwenye mengine, huyo mtu na wenzake wanawaonaje? wanawaona wote ni majuha tu, hamna mshikamano.

Nawaambia, sikai kimya itapofanyiwa mzaha Qur'an na panapo uwezo wa kukemea, hiyo ndio kwanza na mengine baadae. Waislaam wasioweza kuliona umuhimu wake hilo, hao nao wako katika unafik.

Q.5:44. It was We who revealed the law (to Moses): therein was guidance and light. By its standard have been judged the Jews, by the prophets who bowed (as in Islam) to Allah.s will, by the rabbis and the doctors of law: for to them was entrusted the protection of Allah.s book, and they were witnesses thereto: therefore fear not men, but fear me, and sell not my signs for a miserable price. If any do fail to judge by (the light of) what Allah hath revealed, they are (no better than) Unbelievers.

Q.5:57. O ye who believe! take not for friends and protectors those who take your religion for a mockery or sport,- whether among those who received the Scripture before you, or among those who reject Faith; but fear ye Allah, if ye have faith (indeed).

FF,

Kwa kweli una haki ya kukasirika na kutulaumu pale tulipokaa kimya wakati kitabu cha Allah kinachezewa.

Ilikuwa wajibu wetu sote baada ya kuona bandiko lile tukenda kwenye mashaf zetu na kuangalia je aya zimewekwa sawa?
Hilo hatukufanya tumeghafilika.

Tunamwomba Allah atusamehe kwa makosa yetu.

Hili kwetu liwe fundisho siku yoyote tuionapo Qur'an imebandikwa basi tutazame kama imepewa haki yake.

FF tuwie radhi ndugu zako kwani hakuna mkamilifu ila Allah SW.

Mohamed
 
Barubaru,
Waislamu wapo nyuma kimaendeleo kivipi? Matajiri watatu wakubwa nchi hii ni WAISLAMU. Wasomi wakubwa wanaoheshimika nchi hii WAISLAMU ni wengi tu akiwemo Prof Lipumba, Prof Shivji, Prof Abdallah Safari, Jaji wetu Mkuu ndiye huyo anaelekea The Hague,...
UISLAMU wa Mohamed ni Uislamu mwingine kabisa.

Nafikiri WC unaleta mas'khara katika issue sensitive kama hii.

Kila pahala unasikia wakristo wanajinasibu tena kwa kinywa kipana sana kuwa waislam wapo nyuma kimaendeleo na kielimu na kuleta sababu mbalimbali kuhalalisha usemi wao.

Lakini ukiangalia sasa mnatimiza miaka 50 ya uhuru wenu na population yenu ipo almost 50% each. Je serikali yenu inalitazamaje hilo. Je malalamiko ya muda mrefu ya waislam kuhusu kudhulumiwa serikali inayaonaje? kumbuka malalamiko yao yapo kimaandishi kabisaaaa na nakumbuka wakti fulani hata Rais Mkapa alipewa na kuahidi kuyafanyia kazi? je yamefikia wapi.

Sasa siku zote dharau hususan kwa jamii moja kudhulumiwa na nyingine kutukuzwa ndiko kunakozaa chuki baina ya jamii hizo na baadae kuzua fujo na hata vita.

Suluhu yake ni kuyaweka mezani mchana kweupeeeee na kuyajadili moja baada ya jingine na kuyatafutia ufumbuzi wa kudumu. Kuakhilisha au kuficha matatizo hakusaidiiiii kwa aina yoyote ile.

Na hilo ndio linaloelekea kwa Tanganyika, kwani sasa hakuna siri tena udini kila pahali na kila mtu analijua hilo.

msipo ziba ufa basi mjue mtajenga ukuta.
 
Tafadhali sana, usitie maneno yako kinywani mwangu, sikumbadilikia mtu bali nami nna haki ya kusema yangu, kitu nnachowalaumu Waislaam wenzangu, ni pale Qur'an inapofanyiwa maskhara na kuwekwa ndivyo sivyo wao wanabaki kulumbana na hivi vitabu vya kidunia. "First and Foremost" ni Uislaam, na Uislaam bila Qur'an, kuihifadhi, kuilinda, na kuitetea, inakuwa hakuna Uislaam.

Leo, mtu anaweka aya ndivyo sivyo, na kila unapomuambia hapo umekosea omba msamaha, Waislaam wengine kimya, wao wako "busy" kutetaa vingine ambavyo vyote vinatakiwa viwe baada ya Qur'an na si kabla.

Mmoja tu humu aliyenyanyua sauti na kuliona hilo, nae ni Topical pekee, baada ya kuona hakunyamaza.

Waislaam mnatakiwa mshikane katika njia ya Mwenyeezi Mungu, hiyo kamba ya kuwashikanisha ni hii Qur'an, na inapofanyiwa mchezo kamba yenu, basi muwe kitu kimoja na kuhakikisha haifanyiwi mchezo. Hapo ndio kwenye yote, leo mtu anakejeli Qur'an kwa kuiweka ndivyo sivyo, unapomuambia anakupuuza na Waislaam wengine wanaendelea kulumbana nae kwenye mengine, huyo mtu na wenzake wanawaonaje? wanawaona wote ni majuha tu, hamna mshikamano.

Nawaambia, sikai kimya itapofanyiwa mzaha Qur'an na panapo uwezo wa kukemea, hiyo ndio kwanza na mengine baadae. Waislaam wasioweza kuliona umuhimu wake hilo, hao nao wako katika unafik.

Q.5:44. It was We who revealed the law (to Moses): therein was guidance and light. By its standard have been judged the Jews, by the prophets who bowed (as in Islam) to Allah.s will, by the rabbis and the doctors of law: for to them was entrusted the protection of Allah.s book, and they were witnesses thereto: therefore fear not men, but fear me, and sell not my signs for a miserable price. If any do fail to judge by (the light of) what Allah hath revealed, they are (no better than) Unbelievers.

Q.5:57. O ye who believe! take not for friends and protectors those who take your religion for a mockery or sport,- whether among those who received the Scripture before you, or among those who reject Faith; but fear ye Allah, if ye have faith (indeed).

Allah akuzidishie Bi Faiza.

Hakika Allah ametuita In'san katia Qur'an akiwa na maana ni wenye kughafirika. Na akabainisha wazi kuwa tuwe wenye kukumbushana kila wakti katika mambo mema na kukatazana yale yaliyo mabaya.

naamini hakuna mwenye kuweza kukubali Qur'an ambayo ni maneno ya Allah yachezewe kwa aina yoyote au kubatilishwa kwa aina yoyote ile.

Tulighafirika na labda wengine hatukupitia hizo aya zilizobandikwa kuzihakiki lakini tunashukuru kwa kuliona hilo na kututanabaisha.

Allah azidi kukupa kheir nyingi na afya njema.
 
Nafikiri WC unaleta mas'khara katika issue sensitive kama hii.

Kila pahala unasikia wakristo wanajinasibu tena kwa kinywa kipana sana kuwa waislam wapo nyuma kimaendeleo na kielimu na kuleta sababu mbalimbali kuhalalisha usemi wao.

Lakini ukiangalia sasa mnatimiza miaka 50 ya uhuru wenu na population yenu ipo almost 50% each. Je serikali yenu inalitazamaje hilo. Je malalamiko ya muda mrefu ya waislam kuhusu kudhulumiwa serikali inayaonaje? kumbuka malalamiko yao yapo kimaandishi kabisaaaa na nakumbuka wakti fulani hata Rais Mkapa alipewa na kuahidi kuyafanyia kazi? je yamefikia wapi.

Sasa siku zote dharau hususan kwa jamii moja kudhulumiwa na nyingine kutukuzwa ndiko kunakozaa chuki baina ya jamii hizo na baadae kuzua fujo na hata vita.

Suluhu yake ni kuyaweka mezani mchana kweupeeeee na kuyajadili moja baada ya jingine na kuyatafutia ufumbuzi wa kudumu. Kuakhilisha au kuficha matatizo hakusaidiiiii kwa aina yoyote ile.

Na hilo ndio linaloelekea kwa Tanganyika, kwani sasa hakuna siri tena udini kila pahali na kila mtu analijua hilo.

msipo ziba ufa basi mjue mtajenga ukuta.
Barubaru,
Mkianza kujadili haya hamtaishia hapo. Mtajikuta kumbe ni jamii fulani ya watu ndio wako nyuma kimaendeleo. Mwislamu na Mkristo wa Lindi, Mtwara, Mara, Singida, Dodoma,.... wote ni masikini, hawana elimu, hawana vyeo na madaraka makubwa serikalini na taasisi zake, huduma muhimu kwao ni ndoto.
Tatizo sio DINI wala MAKABILA yao. Wakati wa Mwalimu kuna makabila yalipewa upendeleo maalum kuchaguliwa kwenda sekondari. Tukubali jambo moja. Yapo makabila na dini ambazo kwao ELIMU ilikuja baadae sana kwa sababu ya mila, desturi na tamaduni zao. Wengi wameliona pungufu hili. Hawapambani kuwaondoa waliowatangulia kielimu au hawapotezi muda kuwalaumu waliotangulia. Fursa sasa ziko wazi kwa wote. Kama kulikuwa na kasoro katika mifumo ya utoaji ELIMU sasa nyingi hazipo.
Angalia kwa mfano sasa shule nyingi binafsi zinazoanzishwa. Kuna anayekatazwa kuanzisha yake? Nyingi sasa ni St. Nanihii kila mahali hadi Bagamoyo! Vyuo vikuu sasa ni St. John, St. Augustine, Bishop Kolowa,.....Bakhresa yeye ananunua meli!
 
Barubaru,
Mkianza kujadili haya hamtaishia hapo. Mtajikuta kumbe ni jamii fulani ya watu ndio wako nyuma kimaendeleo. Mwislamu na Mkristo wa Lindi, Mtwara, Mara, Singida, Dodoma,.... wote ni masikini, hawana elimu, hawana vyeo na madaraka makubwa serikalini na taasisi zake, huduma muhimu kwao ni ndoto.
Tatizo sio DINI wala MAKABILA yao. Wakati wa Mwalimu kuna makabila yalipewa upendeleo maalum kuchaguliwa kwenda sekondari. Tukubali jambo moja. Yapo makabila na dini ambazo kwao ELIMU ilikuja baadae sana kwa sababu ya mila, desturi na tamaduni zao. Wengi wameliona pungufu hili. Hawapambani kuwaondoa waliowatangulia kielimu au hawapotezi muda kuwalaumu waliotangulia. Fursa sasa ziko wazi kwa wote. Kama kulikuwa na kasoro katika mifumo ya utoaji ELIMU sasa nyingi hazipo.
Angalia kwa mfano sasa shule nyingi binafsi zinazoanzishwa. Kuna anayekatazwa kuanzisha yake? Nyingi sasa ni St. Nanihii kila mahali hadi Bagamoyo! Vyuo vikuu sasa ni St. John, St. Augustine, Bishop Kolowa,.....Bakhresa yeye ananunua meli!
.

WC,
nafikiri sana unaanza kuchanganya mambo. Naomba ujifunze nini wajibu wa Serikali kwa wananchi wake. Jiulize kwanini miaka 50 tokea uhuru wenu mpaka leo baadhi ya sehemu zimeendelea sana kiuchumi na nyingine bado kabisa. Lakini suala la msingi serikali ilikuwa wapi mpaka sehemu moja inandelea sana kuliko nyingine? kwanini isitoe kipaumbele na kuondoa hiyo gap ya maendeleo kwa jamii au wananchi wake?

Jiulize kwanini makanisa yanaanzissha mashule na mahospital? je kwa fedha zao au wanafadhiliwa? Je umepitia bajeti enu (Tanganyika) ya mwaka 2009/2010 na ile ya 2010/2011 kuona misamaha ya kodi hususan kwa hizi taasisi za kidini? vile vile angalia na Mou ya kanisa na serikali ya tanganyika? Je kuna uwiano hapo? Je serikali inalitazamaje suala hilo hicho ndio mjiulize.

Cha msingi ni serikali enu kuwa sikivu kwaa raia wake hususan wale wanaolalama kuonewa na kudhulumiwa haki yao tena wanaweka malalamiko hayo kimaandishi na kuipa serikali. Kumbukeni kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Hakuna amani wala upende penye dhulma na pasipo na haki. Na sasa dalili zote zipo hewani . sasa sijui mnasubiri kifo.
 
Aisee! what a joke!

Tumwamwini mtu moja unknown a.k.a jasusu at JF

tena alimuuliza dreva wake (dereva akamjibu) kweli nyinyi ni scholars
Mbona nyinyi mnataka tumwamini Mohamed Said kwamba aliongea na hao wazee wake?
 
Hiyo labda umekosea ilikuwa baada ya 2000, tena nimeweka "references" sio hiyo moja tu. Halafu tukuamini wewe zaidi ya "references" zote hizo? mtu ujiitae jasusi hata jina humu ndani hauna? Unanchekesha!

Msikiti upo na hela za kujengea alipewa katika uhai wake lakini msikiti ulimaliziwa na Mama Maria Nyerere, tena nakumbuka kabisa gazeti lilimnukuu Mama Maria Nyerere akisema hayo baada ya kufa Nyerere. Kumbuka Nyerere aliomba fedha za ku "renovate? msikiti uliokuwepo, Gaddafi akamwambia sina pesa ya ku"renovate" na badala yaka akampa US$ 400,000 za kujenga msikiti mpya. Hii nayo nnayo reference. Tafadhali sana omba msamaha kwa kutaka kupotosha, mimi ulikataa maandishi yangu na mimi ndio nilioleta ushahidi wa maandishi ya "historical papers" za waandishi wengine (zaidi ya mmoja) kuwa Msikiti umejengwa baada ya kufa Nyerere. Wewe kama nani nikuamini?

Halafu ukiendelea ntakuita jina lako la ukweli ndio utajuwa kuwa FF ni kiboko yao.

Kwani mbona husemi Gaddaffi alitoa hizo hela lini??
 
.

WC,
nafikiri sana unaanza kuchanganya mambo. Naomba ujifunze nini wajibu wa Serikali kwa wananchi wake. Jiulize kwanini miaka 50 tokea uhuru wenu mpaka leo baadhi ya sehemu zimeendelea sana kiuchumi na nyingine bado kabisa. Lakini suala la msingi serikali ilikuwa wapi mpaka sehemu moja inandelea sana kuliko nyingine? kwanini isitoe kipaumbele na kuondoa hiyo gap ya maendeleo kwa jamii au wananchi wake?

Jiulize kwanini makanisa yanaanzissha mashule na mahospital? je kwa fedha zao au wanafadhiliwa? Je umepitia bajeti enu (Tanganyika) ya mwaka 2009/2010 na ile ya 2010/2011 kuona misamaha ya kodi hususan kwa hizi taasisi za kidini? vile vile angalia na Mou ya kanisa na serikali ya tanganyika? Je kuna uwiano hapo? Je serikali inalitazamaje suala hilo hicho ndio mjiulize.

Cha msingi ni serikali enu kuwa sikivu kwaa raia wake hususan wale wanaolalama kuonewa na kudhulumiwa haki yao tena wanaweka malalamiko hayo kimaandishi na kuipa serikali. Kumbukeni kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Hakuna amani wala upende penye dhulma na pasipo na haki. Na sasa dalili zote zipo hewani . sasa sijui mnasubiri kifo.

Mkuu if u are sincere hebu jiulize ni kwa nini wilaya kama Mbinga ilikuwa ni wilaya maskini kabisa katika kila index miaka 20 iliyopita na sasa inaweza kuwa in the best five au hata kuongoza kabisa katika wilaya zilizoendelea kwa index za maendeleo.
 
Sisi wengine Faiza "First and foremost" ni KATIBA ya NCHI yetu. Hayo Qur'an na Biblia yana mahala pake na wakati wake. Kimsingi mimi sisumbuliwi na DINI yoyote ile. Nimepitapita kwenye DINI hizo nimeona niliyoyaona. TANZANIA KWANZA. Faiza unataka kuondoka kwenye mada hii ya Mzee wetu Mohamed kwa staili hii?

Nadhani niliwahi kutoa darsa fupi humu la nini maana ya dini naomba ipitie.
 
Kwani mbona husemi Gaddaffi alitoa hizo hela lini??

Kigarama,

Achana na ya Gaddaffi nakukumbushia ahadi yako ya Mkwawa na wazee waliokaa nae kesho Jumatano umesema utakuja kumwaga madataz. Tunayasubiria mkuu.
 
Nashkuru kwa Allah kuwa kelele zangu zimezaa matunda, japo Waislaam wenzangu wameridhia kuwa kweli kuna masahihisho. Sina kinyongo wala ubaya na mtu lakini hili la Qur'an limeniuma sana, mpaka nikabwatuka na kubwabwaja yote nilioyasema na hakuna cha zaidi ila kama nimetumia lugha mbaya na kali naomba msamaha sana kwa wote humu ukumbini.

Mzee Mwanakijiji haya kazi kwako. Kwa hili nasema sikuachi "mpaka kieleweke".
 

FF,

Kwa kweli una haki ya kukasirika na kutulaumu pale tulipokaa kimya wakati kitabu cha Allah kinachezewa.

Ilikuwa wajibu wetu sote baada ya kuona bandiko lile tukenda kwenye mashaf zetu na kuangalia je zimewekwa sawa?
Hilo hatukufanya tumeghafilika.

Tunamwomba Allah atusamehe kwa makosa yetu.

Hili kwetu liwe fundisho siku yoyote tuionapo Qur'an imebandikwa basi tutazame kama imepewa haki yake.

FF tuwie radhi ndugu zako kwani hakuna mkalifu ila Allah SW.

Mohamed

Mohamed,

Sie ni wanadaamu tunaghafilika but sio kutuuita wanafiki hilo sikubaliani nalo. Alichokizungumza Faiza ni cha msingi na kwakweli ana haki ya msingi kutukasirikia kwa kutokuona but sio kutuita wanafiki kwani unafiki ni tabia ya mtu au wasifu wa mtu. Wasifu huo mtume SAW alishatuambia ni watu au mtu wa aina gani kwa kusema mnafiki ana sifa tatu a. Kwanza anasema uongo b. Anafanya hiyana akiaminiwa c. Vile vile hana miadi. Labda tumuuliza tumesema uongo wapi hadi tustahili kuitwa wanafiki? Tumefanya hiyana kwa amana ipi tuliyopewa? Tumevunja miadi ipi.

Lazima tuelewane jamani Quran si kitu cha kuchezea kwani Tafsir ya Quran wanazuoni wanasema kila aya ina maana zaidi ya 50,000. Neno moja laweza kuwa na maana zaidi ya moja mfano hadatha, inaweza kuwa hadithu, inaweza kuwa muhdatha etc. Sasa kama mtu huna elimu nayo si vema ukajiingiza kulisema jambo. Imam Shaffi (R.A) anasema mtu anayesema sijui basi huyo amesema kauli ya kweli. Ndio sababu wengine wetu katika mijadala ya dini tunachangia mara chache sana. Kwani unaweza kupotosha maana ikawa ndivyo sivyo.

Tusamehe kwa kutosema lolote kuhusu Quran lakini hata kama tumeliona hatuwezi kulisemea wengine wetu kwasababu elimu hiyo hatuna. Tunajua kusoma Alif-be basi. Tunajua kuhifadhi quran basi. Lakini maana ya maneno yake wengine ni mafakiri wa elimu hiyo na hilo sio ni unafiki bali ni ujinga wa kutokuwa na elimu hiyo.

FF tuwie radhi kwa kughafilika but sio kutuita wanafiki kwani huo si unafiki bali kughafilika kutokana na uchache wetu wa elimu kuhusu Quran.
 
Back
Top Bottom