Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Ngoja tuangalaie kwa ufupi kama hujategukaMohamed Said;2822965] Kigarama, Wako waloteguka mguu lakini Alhamdulilah si mimi
Wahusika wapo kimya! wahusika wamelisikiaMohamed Said;2822965][Ukitaka kupambana na mie katika haya ule ushibe na uage kwenu.
Wanohusika wako kimya mnajitahidi nyie wachezea pemben.
Mohamed Said;2824213]Mgalanjuka,Tatizo la udini wahusika wamelisikia.Hilo ndilo muhimu kwetu Waislam
Unaposema waislam wanafanywa second citizen una maana gani kama si inferiority complex. Unapoonyesha Nyerere peke yake alishinda baraza la wazee 170 na kamati kuu ya TANU hadi kusambaratisha umma ni nini kama si kuonyesha inferiority complexMohamed Said;2823208]Sweke34,Sisi tuna "inferiority complex."ma?Nani kasema? Hivi wewe unavyosoma nyuzi zetu sie tumeelekea kuwa na "complex?"Hebu pitia nyuzi zangu na niambie wapi na kitu gani kimekupa hisia hiyo
EAMWS iliundwa na Agakhan, kijana wako Mdondoaji alileta nondo hapa. Wewe umeshadidia kuwa Agakhan alipoacha u-patron ikafa! na haijarudi ila kuna kamati nyingi na taasisi zisizo na idadiEast African Muslim Welfare Society (EAMWS) aliunda nani?Al Jamiatul Islamiyya aliunda nani?Au hujui kuwa ilihujumiwa na Nyerere akiwatuma akina Geofrey Sawaya mikoani kutoa milungura ili BAKWATA ipate viongozi?
Halafu unasema hakuna inferiority complexMohamed:Unamsimanga yatima asiye na baba wala mama kwa nini siku ya Eid hana nguo za kuvaa akenda Mnazi Mmoja kucheza kama wenzake?Hivyo si ndiyo unamkumbusha wazazi wake waliotangulia mbele ya haki?
Juzi Kikwete kafungua mradi wa umeme wa wakristo kule nyanda za juu. Ukimaliza hadithi kijana wako kama baru baru ataendeleza ulipoachia ya kuwa wenzetu wana MoU ya umeme! miaka inasonga mbele. Mohamed huoni kama hilo ni jibu unataka wahusika wakujibu nini zaidi.Mohamed:Unatusimanga kwa shule mnazoziendesha kwa hela ya serikali (MoU)
Kwani shehe Ponda anayeandika MoU anaelimu gani, hebu tusaidie kwa hili pia.Mohamed Said;2820949] Mambo yakawa yamevurugika zaidi kwa kuwa rais waEAMWS, Tewa Said na makamo wake Bibi Titi Mohamed walikuwa katika baraza lamawaziri la Nyerere na wakapoteza nyadhifa zao za ubunge katika uchaguzi mkuuwa mwaka 1965. Kwa ajili hii basiserikali ikawa inaeneza propaganda kuwa kwa kuwa Tewa na Bibi Titi walikuwa katika uongozi wa juu waEAMWS, walikuwa wanatumia nafasi zao kujijengea himaya mpya kutoka kwa Waislamdhidi ya Nyerere. Viongozi hawa ikawa lazima washughulikiwe na kuangamizwa. Mtuwa kufanya kazi hii hakuwa mwingine ila Adam Nasibu katibu wa EAMWS Bukoba,mwalimu wa shule ya msingi ambae elimu yake wala haikuwa kubwa
Umesahau kuwa kabla ya kupoteza kiti uliwahi kusema Tewa alipelekwa ubalozi wa China. Alikubali vipi akijua ni njama za kuua EAMWS.
Ukimuacha Nasibu aliyepewa kazi ya kuua EAMWS, Tewa alikuwa na role gani, Fundikira, Jumbe, Maswanya, Kawawa ushiriki wao ulikuwaje. Mbona historia ya Tanganyika inawaruka.