Ni shida sana, ilivyoletwa kigamboni na ubungo watu hawakulalamika, Ila kuundwa Chato itakuwa ni ukabila!!
Wengi huwa wanaongea wasichokijua kwa undani, from Kakonko mpaka Ujiji ni masaa 5, from Kakonko to Chato almost masaa 2 na nusu, sawasawa na watu wa ngara, mtu anatoka Kabanga anaenda Bukoba mjini kwa shida ya kimkoa watu hawaoni haya!
Moa wa Shinyanga ilikuwa si mkubwa sana by then lakini namna ulivyokuwa umekaa ilikuwa shida wakaamua kuugawa, Arusha pia ikazaa manyara, Rukwa ikazaa katavi, mikoa iliyobaki ni Tabora na Morogoro, mtu yuko Malinyi na ulanga anakuja Morogoro mjini safari ya masaa zaidi ya 8, ndani ya mkoa mmoja.
Katika kuundwa mikoa tunaamini serikali unaona umuhimu wake ndio maana wanaona waongeze eneo kiutawala