UTHIBITISO WA UWEPO KWA MUNGU
By
Mndengereko
PART 1.
1. The complexity of our planet points to a deliberate Designer who not only created our universe, but sustains it today.
a-Chukuli mfano dunia yetu ilivyo,umbile lake,size,shape yake na uzito wake na kma tunavyoua dunia ayetu iko angani inaelea kama zilivyo sayari nyingine. So kuna gravitaiona force hapo inayoifanya isianguke swali la msingi jiullize katika miaka yoye hiyo toka dunia itoke(iumbwe) how come isiweze kuanguka what hold it up mpk today and what will hold t up mpk tomorrow and forever????-very posible someone with super power and ability anfanya yote hayo yatokee
b-dunia ni sayari ya tau kutoka jua lilipo na jua linatoa joto jingi sana ila still duni imewez kuwepo umbali maalum ambao unapata mwanga wa jua(joto) ili maisdha yaweze kuendelea,ingekuwa karibu zaidi na jua tungeungua .pasingekuwa na maisha naingekuwa mbali zaidi na jua wote tungeganda kwa kukosa joto tuweze kuwa warm,na pia dunia inajizungusha katika mhimili wake kuruhusu pande zote za dunia zipande joto na majira ya mwaka ili maisha yaweze kuuendelea pasiwepo sehemu ambapo viumbe wataganda kwa kukosa joto na kufa . And still you think yote hayo yametokea kwa bahati mbaya???
c-maji maji hayana rangi,hayana ladha na pia hayana harufu lakini hamna kiumbe chochote kinachoweza kuishi duniani bila ya maji(2/3 ya mwili wa binaadamu ni maji) angalia hizo unique characteristic of water and yet we plus other living things we cant survive without it,maji katika miili yetu yanawezesha kemikali,madini na nutrient mbalimbalikusafirishawa ndani ya mili yetu kupitia mishipa midogo sana ya damu bila ya maji hizo nutrients and other ingredients zisingeweza kusafirshwa pia maji yanabeba(yanasafirisha) vitu vingine ndani ya miili yetu kama vile chakula,madawa n,k cha msingi zaidi fahamu kuwa maji ni neutral chemical so yanabeba hizo chemicali nyngine na ingredients zote zilizokuwemo kwayo bila ya kuziathiri kwa kuongeza kemikali yake just because it is free from chemical
maji hayapandi mlima we all know that but Water in plants can flow upward against gravity, bringing life-giving water and nutrients to the top of even the tallest trees.
Asilimia 70 ya dunia ni maji mostly ya baharini lakini through water cycle maji haya yanachukuliwa na kuwa distributed sehemu kubwa ya dunia through mvua (baada ya evaporation take place and cloud formation) so that activity zote duniani zinazotegemea mvua ziweze kuchukua nafasi. Na maji yawafikie watu wote
d- akili ya binaadamu(human brain):akili ya binaadamu inachambua information nyingi sana za binaadamu ,akili yako intambua rangi ya kitu unachokiona,joto linalokuzunguka na lilipoo ndani ya mwili wako,sauti inayokuzunguka ,ukavu wa mdomo wako, At the same time your brain keeps track of the ongoing functions of your body like your breathing pattern, eyelid movement, hunger and movement of the muscles in your hands. and anyother information within your body or around you iko processed na akili yako
The human brain processes more than a million messages a second. Your brain weighs the importance of all this data, filtering out the relatively unimportant. This screening function is what allows you to focus and operate effectively in your world.
Mwisho fikira size na uzito wa akili(how small it is?) yako alafu inaweza kufanya mambo yote hayo kweli hili linawezekana kutokea kwa bahati mbaya bila ya kuwepo mtu ambae ameaipangilia yote haya kwa ustadi mkubwa bila kukosea wala hiyo brain yako kutoa info za uongo??? its very ttrue There is an intelligence to it, the ability to reason, to produce feelings, to dream and plan, to take action, and relate to other people. Haviwezi kutokea kwa bahati mbaya there should be some one with master mid super mind?perfect mind illiyofanya yote haya)
2 The universe had a start - what caused it?
Dunia likuwa na mwanzo kipi kilifanya huo mwanzo utokee?????(palikuwepo siku ulimwengu ukawepo/ukatokea kipi kilifanya itokee/what caused it wansanyansi wamejiridhisha kwamba palikuwepo na one big explosion of energy and light tunayoiita bing bang wanasanyansi hawa wanasema hiki ndo kilikuwa chanzo cha kila kitu kilichopo katika ulimwengu huu wetu wa leo mwansanyansi Astrophysicist Robert Jastrow,anasema , "The seed of everything that has happened in the Universe was planted in that first instant; every star, every planet and every living creature in the Universe came into being as a result of events that were set in motion in the moment of the cosmic explosion...The Universe flashed into being[SUP].[/SUP]
mwanasayansi mwingine Steven Weinberg anasema, at the moment of this explosion, "the universe was about a hundred thousands million degrees Centigrade...and the universe was filled with light."
pointi ya msingi hapa ya kufikiria hapa ni kuwa dunia ilikuwwa na mwanzo (it has not always existed) ssasa what caused hiyo big explosion to happen very sudden??Scientists have no explanation for the sudden explosion of light and matter.
3.Why does universe operate by uniform law of nature
Duniani/ulimwengunni kuna mambo mengi tuanyoyajua lakini hayuyafikirii kwa umakini kwa nini yapo constant,kwa mfano a hot cup of coffee left on a counter will get cold, the earth rotates in the same 24 hours, and the speed of light doesn't change -- on earth or in galaxies far from us.n.k pointi ya msingi hapa ni kwanini kila kitu ulimwenguni yaani kipo constant ulimwenguni hakibadilihata hata kwa bahati mbaya kama hana kitu kingine kinacho-opertae kinachoifanya iwe constant.even to more than thousands of years if not millions??
4. The DNA code informs, programs a cell's behavior.
All instruction, all teaching, all training comes with intent. Someone who writes an instruction manual does so with purpose. Did you know that in every cell of our bodies there exists a very detailed instruction code, much like a miniature computer program? As you may know, a computer program is made up of ones and zeros, like this: 110010101011000. The way they are arranged tell the computer program what to do. The DNA code in each of our cells is very similar. It's made up of four chemicals that scientists abbreviate as A, T, G, and C. These are arranged in the human cell like this: CGTGTGACTCGCTCCTGAT and so on. There are three billion of these letters in every human cell!!
Well, just like you can program your phone to beep for specific reasons, DNA instructs the cell. DNA is a three-billion-lettered program telling the cell to act in a certain way. It is a full instruction manual.[SUP]13[/SUP]
Pointi ya msingi hapa ni haya yote yanawezekanaje haya kutokea katika human body,?mtu mwenye kufikiri sawasawa lazima ajiulize hili swali la msingi how did this information program wind up in each human cell? These are not just chemicals. These are chemicals that instruct, that code in a very detailed way exactly how the person's body should develop.
Natural, biological causes are completely lacking as an explanation when programmed information is involved. You cannot find instruction, precise information like this, without someone intentionally constructing it.(Someone with super power and ability- almighty God)
5 uniformity of human being and other species.
Jiulize maswali haya ww ambae unadai mungu hayupo anaeitawala dunia yote, iweje dunia kuwe na utofauti wa binaadamu in terms of rangi,(kuna wazungu,waafrrika ,wa latin America,red hindian more amazing black and white indian and chinese.nk) lakini pia kuna utofauti wa makabila,pamoja lugha kama kwelisisi asili yetu ni moja( i.e bing bang explosion or nyani) kwa nini tutofautiane ,hii inaonesha mungu muweza yote ametusambaza kwenye dunia nakutuwekea utofauti kila watu kuwapa aina yao maisha kama asili yetu ni moja kwa nni tusiwe na common characertistic and behaviour??? My point hapa is kama binaadamu wa mwazno alitokea lets say alikuwa mweupe kwaninin generation yake isiendelee hioyo ya weupe tu (pasiwepo na mweusi)leo hii tunashuhudia utofauti wa rangi miongoni wetu sisi binaadamu??
Lakini pia tujiulize kwanii duniani kuna binaadamu wa jisnia mbili au kila kiumbe(binaadamu pamoja na wanyama wengine) kinajisiia mbiili ya ke na me kwanni pasitokee kiumbe ambacho either hakina jinsia kabisa at all (tofauti na hizo alizoziumba mungu) au kwa nini aistokee kiumbe chenye jinsia nyingine?? kama kweli hamna some one who controll what he established???
PART 2
Hapa nitathibitisha uwepo wa mungu kwa kutumia theory moja tu,ili kuifanya makala yangu isiwe ndefu zaidi na yenye kuchosha zaidi `Law of Thermodynamics`
1The First Law of Thermodynamics is stated as follows: Matter and energy can be neither created nor destroyed. There are no natural processes that can alter either matter or energy in this way. This means that there is no
new matter or energy coming into existence and there is no
new matter or energy passing out of existence. All who state that the universe came into existence from
nothing violate the first law of thermodynamics
Pointi ya msingi ya kuchukua hapa kwenye hii theory ni kwamba huwezi kwamba huwezi ukawa na kitu ambacho kimekuja to an existence from nothing by saying so No rational person could believe that the entire universeincluding all of the radioactive elements that prove there was a specific time of beginninggradually came into existence
BY ITSELF!
Kwa kumalizia kwenye theory hii embu jaribu kufikiria kwenye akili yako utengeneze kitu chochote from nothing,kamwe hutoweza so if that is not possible how can entire world/universe come to an existence from nothing???lets be honest and accept fact that this existing natural realm demand existence of great creator.
2.The Second Law of Thermodynamics
The Second Law of Thermodynamics is best summarized by saying that everything moves toward
disorderor a condition known as
entropy. Remember that evolutionists teach that everything is constantly evolving into a higher and more complex order. In other words, they believe things continue to get better and better instead of worse and worse. Chukulia mifano huu kuielewa zaidi hii theory Ikiwa mpira ukiwekwa juu ya mlima lazima utateremka kueleke bondeni mwa mlima hii ni kwa sababu Energy used to perform any particular task changes from usable energy to unusable in the performing of that task. It will always go from a higher energy level to a lower energy levelwhere less and less energy is available for use.
When applied to the universe, the second law of thermodynamics indicates that the universe is winding downmoving toward
disorder or
entropynot winding up or moving toward more perfect order and structure. In short,
the entire universe is winding down!
Since the universe is constantly winding down, the second law of thermodynamics looms before us in the form of a great question:
Who wound it up? The only plausible answer is
God!
Do I need to say more???
Mndengereko
cc:
Ukwaju