Mbona wewe unamtetea tu lakini humsaidii au mpaka akwambia ''jamani nafwa huku just a hand'' wengi wenu hamjui hata kitu mnachokiamini ndo tabu nyie mnafikiri lifestyles zote za wazungu ni za kufuata tuu.Alafu huko unakoniagizia nikaombe permission me ndo kiranja huko kawawulize.tena wakiiona hii post watakushangaa.Dogo hapo kwa Kiranga bado sana Nakushauri omba kwa Invisible access ya kuingia Jukwaa la DINI ndiko utakakopata Elimu na hizi changamoto zako zote kujibiwanakuombea safari njema na hii Nadharia yako
Sio kuassume hiyo ndo backbone ya imani yenu au umevumbua mpya then expose it. eti unajua unajua nini? sema naamini ukibanwa kidogo tu unaanza kulegeza muda mfupi tu utatumbia ''ni lini nimewaambia me ni atheist mbona me ni mchungaji''Wapi nime endorse Big Bang? Nimetoa mpaka kitabu cha Brian Clegg kilicho blow holes in The Big Bang Theory hapa.Tatizo una assume sana tu.
Sio kuassume hiyo ndo backbone ya imani yenu au umevumbua mpya then expose it. eti unajua unajua nini? sema naamini ukibanwa kidogo tu unaanza kulegeza muda mfupi tu utatumbia ''ni lini nimewaambia me ni atheist mbona me ni mchungaji''
Umeshaanza kujinyofoa ufahamu wako badala ya kujibu zile hoja unaanza kukazia vitu vya kusingiziwa okay that is according to the atheism belief they do believe in Big Bang Aren't you?Hujajibu swali.Wapi nime endorse Big Bang?Weka ushahidi hapa tujue kwamba unachoandika hukitoi hewani tu.
Umeshaanza kujinyofoa ufahamu wako badala ya kujibu zile hoja unaanza kukazia vitu vya kusingiziwa okay that is according to the atheism belief they do believe in Big Bang Aren't you?
I like it!! definitely you didn't but that is according to atheism then tell us what is your criterion to believe on what happened apart from Big Bang cause seems like you escape it, tell us?Umeshatuthibitishia kwamba hujui unachoandika hapa.Kwa hiyo kila atheist ana endorse Big Bang?Nimekuuliza ni wapi nime endorse Big Bang?Hujajibu!Unanilundika kundi ambalo hata simo.Ukiulizwa utoe ushahidi uliokufanya unilundike huko, unachachawa.Kwa nini unafikiri mtu yeyote mwenye akili zake akuchukulie seriously?
I like it!! definitely you didn't but that is according to atheism then tell us what is your criterion to believe on what happened apart from Big Bang cause seems like you escape it, tell us?
Kiranga unapoteza muda wako hapa.Umeshatuthibitishia kwamba hujui unachoandika hapa.
Kwa hiyo kila atheist ana endorse Big Bang?
Nimekuuliza ni wapi nime endorse Big Bang?
Hujajibu!
Unanilundika kundi ambalo hata simo.
Ukiulizwa utoe ushahidi uliokufanya unilundike huko, unachachawa.
Kwa nini unafikiri mtu yeyote mwenye akili zake akuchukulie seriously?
Back to Topic please.According to atheism atheism ina biblia gani iliyoandika hilo?Na kama mimi sijasema hilo, na mimi siko humo, na unaniita mimi ni atheist, huoni kwamba una ji contradict kwa kuniita mimi atheist, wakati kuna vitu vingine atheists wana endorse mimi si endorse?Na ulipataje kujua kwamba mimi nina endorse Big Bang?Ume assume tu kwamba kwa sababu mimi ni atheist kwa hiyo nina endorse Big Bang?Utakubali kwamba ume assume tu?
Msaidie mwenzako sio swala la kupoteza muda hapa.
Another type of expression to declare that you are defeated umeshindwa na kamwe usingeweza kujibu kitu.this is the proof about what you used to believe is vanity and nullity you know nothing about it.I am out.Mtu ana assume vitu tu, kaombwa definitions hatoi, tutafika wapi?
Wacha kusema uwongo definitions ulizoziomba ulipewa tena ukasema zinamuoffend mleta mada mwenyewe saivi unaikana kauli yako mwenyewe.I am out.
Mtu ana assume vitu tu, kaombwa definitions hatoi, tutafika wapi?
Wacha kusema uwongo definitions ulizoziomba ulipewa tena ukasema zinamuoffend mleta mada mwenyewe saivi unaikana kauli yako mwenyewe.
Atahivyo kama ni kujibu mbona tokea mwanzo hukujibu ulikuwa unatafuta visingizio ili uikimbie mada na umevipata vya kitoto kabisa.
Jamaa yenu anasema imani ni ujuzi, halafu analeta definition inayosema imani si ujuzi.
Unataka mimi nibishane naye nini wakati yeye mwenyewe hajui anachotaka kutueleza ni nini?
On top of that, assumptions kibao. Ana assume kila atheist ana endorse Big Bang Theory.
As if that was not enough, kauliza "proof" ni nini kwa anavyojua yeye, hata kujibu hilo kazi.
Maana nimetafuta proof ya uwepo wa mungu hapa sijaiona, nikafikiri labda kwa "prove" anamaanisha kitu tofauti na ninachokielewa mimi.
Hajajibu.
Swali langu ni dogo tu. If at all there is any sane person out there thinking this thread is worthwhile and redeemable.
Namtaka atuambie kwake ku prove ni kufanya nini na atupe hiyo proof aliyoisema.
Mada tokea awali haihitaji hayo yote unayo yatafuta wewe inachotaka ni kujibu kwamba ni Kweli inawezekana ulimwengu mzima watu miaka yote wanatambua kwamba kuna spiritual world na wana practice spiritual things je inawezekana ikawa ilitokea tu by chance kama Kweli hakuna spiritual things?
Ulikusanya maoni ulimwengu mzima ukawauliza hayo maswali wakakujibu hivyo?Kuna wakati ulimwengu mzima watu walitambua kwamba dunia ni bapa, si tufe.
Je hilo liliifanya dunia kuwa bapa na si tufe?