History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

kuhusu shetani kaumbwa na nani nishamuelewsha vizuri sana bwana Mourinho labda kama na ww hutaki kuelewa,sasa hivi kaingia kwenye mada ya perfection na imperfection.


Kama umechunguza vizuri utaona mimi nimeingia kwenye huu mjadala leo sijatukia mada nimeanza soma from page ya kwanza mpk ya mwisho ili nisije nikarudia mambo ambayo yashasemwa huko nyuma binafsi bado sijatoa uthibitisho wangu juu ya uwepo wa mungu so usiseme nakurudisha nyuma,kwanza nilikuwa na malizana na Mourinho kuhusu shetani sio product ya mungu then ndo na mimi niingie kwenye hoja ya msingi na mimi nielezee kwa upande wangu uwepo wa mungu.

Hujanielewesha chochote zaidi ya kujichanganya, na kuyakataa maeneo yako mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Unaelewa mantiki ya ukamilifu? Ni ngumu sana kuelewa kwa sababu hujawahi experience ukamilifu.

Mantiki ya kiumbe kikamilifu ni kuwa hakina chembe ya imperfection hata kidogo, inatoka wapi wakati chenyewe ni kikamilifu?

Hakiingiliwi vipi wakati huyo mungu kawapa amri za kuzifuata na lazima mumuabudu yeye la sivyo mtachomwa moto? Huu ndio unaita uhuru wa kufanya maamuzi bila kuingiliwa?

ukinunua kitu chukulia mfano chochote kile iwe laptop,gari,t.v n.k si ni kitu chako na umenunua kwa hela yako ? Inabidi uwe na maamuzi nacho sasa hwcome bado unafuata user manual ya aliyetengeneza hicho kitu kwa mfano gari maji yakiisha kwenye rejeta lazima ujaze n.k kwanini usiwe na uamuzi wa kufanya kitu unachotaka ww unapangiwa wakati umenunua kwa hela yako so hapo tutasema huna maamuzi na hicho kitu ulichonunua???


Yees kiumbe kikamilifu hakina chembe ya imperfection hata kidogo na ni mungu peke yake ndo mkamilifu hana chembe ya imperfection (kukuzuia usije ukaelezea imperfection yake kwa sababu ameumba viumbe ambavyo haviko perfect nishakuelezea tayari kwamba viumbe vimepewa akili na uwezo wa kufikiria so its their choice wakifuata njia ya aliyoiweka mr perfect na wenyewe watakuwa perfect la hasha watakuwa imperct)
 
shetani wako wengi ila shetani mkuu ni ibilisi kama nilivysema hata wewe unaweza kuwa shetani kwa kuacha maamrisho ya mungu na yule aliumbwa b4 na mungu kama vimbe wengine(malaika) wa kawaida ila amekuwa shetani mkuu coz amekacha direct oda ya mungu. So shetani hajaumbwa na mungu,mungu alimuumba malaika ila kwa umuch knw wake akaja kuwa shetani.

Unakojichanganya hapoo

"aliumbwa b4 na mungu kama vimbe wengine(malaika) wa kawaida ila amekuwa shetani mkuu coz amekacha direct oda ya mungu"
 
Unakojichanganya hapoo

"aliumbwa b4 na mungu kama vimbe wengine(malaika) wa kawaida ila amekuwa shetani mkuu coz amekacha direct oda ya mungu"

duh nasikitika sana mkuu hujanielewa hapo,sijui nikueleze vipi au nikupe mfano gani mrahisi uelewe,ila jaribu kuirudia hiyo paragraph ipo open and clear,labda nirudie kwa maneno machache sana nisikuchoshe ni kwamba mungu kaumba malaika ila kwa sababu huyo malaika kaacha maamrisho ya mungu ndo imempekea yy kuwa shetani,so kitendo cha yy kuwa shetani ni kutokana na yy kushindwa kufuata order ya mkubwa wake(mungu) the same applied to mwizi(jambazi) hakuna mtu anaezaliwa mwizi ila kitendo cha kuiba au kunyanganya kwa kutumia nguvu kinampelekea yy kuwa mwizi/jambazi
 
mkuu nilikuwa najaribu kukueleza how shetani come to existance since you said earlier you dont believe in nguvu za giza,shetani and other kind of staff through comp,window and antivirus example,kwa hiyo mungu alivyotuumba akatuwekea muongozo tuishi vipi (dini) so atakaekiuka huo mwongozo yuko against na mungu na hamwamini so ana do harmful kwa mungu kama virus zinavyokuwa harmful kwa window na bill gates wakati analaunch window yake aliweka user manual ambayo kila mtu ukiifuata inavyotakiwa huwezi athiriwa na virus hata kidogo na sometime huitaji hata anti-virus,



kuhusu magojwa ni kwa sababu tumeacha user manual ya mungu nitabase kwenye uislam coz ndo ninayoiamini na through na it naamini uwepo wa mungu hadithi ya mtume inasema al uislam nadhiif-meaning uislam ni usafi so kama tutaishi maisha yetu ya kila siku kwa usafi maana yake magonjwa yanayotokana na uchafu yote hatuwezi kuyapata kuanzia kipimdupindu,kuharisha kichocho n.k,kuhusu ukimwi sababu kuu unajua inanenea kwa sex na hakuna dini inayoruhusu sex before marriage,so tungekuwa hatuzini either ukimwi ungekuwepo kwa kiasi kidogo sana au usingekuwepo kabisa pia uislam unatufundisha tusile sana tule kwa kiasi (tule wastani) maana tusishibe sana so kwa kufuata ongozo hilo maana magonjwa yote yanayotokana na kula sana(hovyo) yote tutaepukana nayo,as u knw we muslim tunaswali mara tano kwa siku na unajua muslim wanaswali vipi so yale ni mazoezi tosha kabisa kwa namna moja ama nyingine yanauweka mwili fiti,not to mention faida za kuchukua udhu mara zote ambazo waislam wanaenda kusali




so kuhitimisha ni kwamba kuna baadhi ya magonjwa yanatokana na sisi kuacha user manual ambayo mungu ametuwekea.na hoja yako ya mwisho kwamba eti bill gate na limited resource zake anafanya mambo makubwa kuliko mungu haina mashiko,mungu katupa akili pamoja na huyo bill gates so ni wajibu wetu kutumia akili kusaidia watu wengine mungu hawezi akadondosha dawa za malaria toka mbinguni zikatufikia sisi huku chini au za hizo polio ambazo bill gates anafund, kutupa sisi akili ya kutengeneza dawa za hayo magonjwa ni mchango wake mkubwa tosha.

Kumfananisha mungu na Bill Gates si sawa.

Mungu supposedly ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Bill Gates hana hata 1% ya hivyo!

Utawafananishaje?

Kwa nini mungu anayeweza yote, kujua yote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekanika kutokea?

Mungu kama kweli ana uwezo wote, aliweza kuumba ulimwengu ambao tangu mwanzo angeweza kuweka conditions kwamba kiumbe kama shetani hawezi kutokea.

Mungu supposedly alipoumba ulimwengu alikuwa na uwezo wa kuweka parameters kwamba mabaya yoyote yasiwezekane.

Kwa nini hakufanya hivyo?
 
Mungu hajamuumba shetani,shetani come to existance kwa kuacha makatazo na maamrisho ya mungu,ni sawasawa na kusema eti bill gates ametengeneza virus just because inatack operating system yake(window) bali hiyo imekuja to existance kwa kwenda kinyume na instructions za bill gates,hata ww ukiamua unaweza kuwa shetani.

Mungu hajamuumba shetani?

Hii ni kwa mujibu wa mfumo gani? Kitabu gani?

Kwa hiyo mungu si muumba wa vyote?

Na kama mungu hajamuumba shetani, shetani katokeaje? Kaumbwa na nani?

Ina maana kuna ki process cha uumbaji kilichomuumba shetani ambacho mungu hana control nacho?

Kama ni hivyo, je, ni kqeli kwamba mungu ni muweza yote?
 
shetani wako wengi ila shetani mkuu ni ibilisi kama nilivysema hata wewe unaweza kuwa shetani kwa kuacha maamrisho ya mungu na yule aliumbwa b4 na mungu kama vimbe wengine(malaika) wa kawaida ila amekuwa shetani mkuu coz amekacha direct oda ya mungu. So shetani hajaumbwa na mungu,mungu alimuumba malaika ila kwa umuch knw wake akaja kuwa shetani.

Kwa nini mungu alipoumba ulimwengu hakuweka parameters za kukataza uovu totally na hivyo kuumba ulimwengu ambao shetani na uovu mwingine wowote usingewezekana kutokea?
 
Kwa nini mungu alipoumba ulimwengu hakuweka parameters za kukataza uovu totally na hivyo kuumba ulimwengu ambao shetani na uovu mwingine wowote usingewezekana kutokea?

Hizi parameters umeweka wewe
 
kuhusu shetani kaumbwa na nani nishamuelewsha vizuri sana bwana Mourinho labda kama na ww hutaki kuelewa,sasa hivi kaingia kwenye mada ya perfection na imperfection.


Kama umechunguza vizuri utaona mimi nimeingia kwenye huu mjadala leo sijatukia mada nimeanza soma from page ya kwanza mpk ya mwisho ili nisije nikarudia mambo ambayo yashasemwa huko nyuma binafsi bado sijatoa uthibitisho wangu juu ya uwepo wa mungu so usiseme nakurudisha nyuma,kwanza nilikuwa na malizana na Mourinho kuhusu shetani sio product ya mungu then ndo na mimi niingie kwenye hoja ya msingi na mimi nielezee kwa upande wangu uwepo wa mungu.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekanika kuwepo?

Kama kweli umesoma mjadala tangu mwanzo utaona swali hili halijajibiwa bado.
 
Last edited by a moderator:
Hizi parameters umeweka wewe

La,

Ningeweka mimi nisingekuwa na haja ya kuzi question.

Kama mungu yupo, naye ndiye mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote. Naye ndiye muumba wa vyote, kwa nini kaumba ulimwengu wenye parameters hizi?

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao shetani ( pamoja n mabaya yote) hawezekaniki kuwepo?

Alishindwa au hakutaka tu?

Hujajibu swali.
 
La,

Ningeweka mimi nisingekuwa na haja ya kuzi question.

Kama mungu yupo, naye ndiye mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote. Naye ndiye muumba wa vyote, kwa nini kaumba ulimwengu wenye parameters hizi?

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao shetani ( pamoja n mabaya yote) hawezekaniki kuwepo?

Alishindwa au hakutaka tu?

Hujajibu swali.

Haya mkuu wa Kiranga Msata
 
Kumfananisha mungu na Bill Gates si sawa.

Mungu supposedly ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Bill Gates hana hata 1% ya hivyo!

Utawafananishaje?

Kwa nini mungu anayeweza yote, kujua yote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao shetani anawezekanika kutokea?

Mungu kama kweli ana uwezo wote, aliweza kuumba ulimwengu ambao tangu mwanzo angeweza kuweka conditions kwamba kiumbe kama shetani hawezi kutokea.

Mungu supposedly alipoumba ulimwengu alikuwa na uwezo wa kuweka parameters kwamba mabaya yoyote yasiwezekane.

Kwa nini hakufanya hivyo?

sijamfananisha mungu na bill gates wewe ndo ulianza kumsifia sana bill gates na limited resources zake zote anafanya mambo makubwa kuliko mngu.


Kuhusu mungu kuweka condition ambayo ambayo shetani hawezi kutokea naweza nikasema kwamba cha kwanza coz yy ni muweza yote hakutaka cha pili ni kwamba kusingekuwa na umuhimu wa kutupa sisi akili(reasoning capacity),iweje atupe akili wakati kila kitu ameshatutafunia tayari kila kitu kipo on the right track sasa hapo mtu unakuwa unamtest nini?? Ni sawa na wewe mwalimu kumfundisha mwanafunzi wako alafu kumpa mtihani at the same time unampa na majibu alafu ukae ujisifie eti mwanafunzi kafaulu,ukitaka kumchallenge mtu(mwanfuzni wako) mpe mtihani ficha majibu lakini ulishamfundisha jinsi ya kupata majibu sahihi(dini) so akifeli atakuwa responsible coz ushaelekezwa na kupewa nafasi ya kurudia na kurudia(kuomba toba).

Tungekuwa hatuna tofauti na wanyama wengine kama mbwa,tembo n.k ndo maana wale ingwaje wameumbwa na mungu ila hawako responsible na matendo yao kwamba watakuja kuhukumiwa kwa waliyoyafanya kwa sababu hawajateremshiwa dini na pia reasoning ya kipi sahihi kipi sicho ambayo binaadamu wanayo wao hawana.
 
La,

Ningeweka mimi nisingekuwa na haja ya kuzi question.

Kama mungu yupo, naye ndiye mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote. Naye ndiye muumba wa vyote, kwa nini kaumba ulimwengu wenye parameters hizi?

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao shetani ( pamoja n mabaya yote) hawezekaniki kuwepo?

Alishindwa au hakutaka tu?

Hujajibu swali.

hayo maswali yaako yoote kwamba kwa nini mungu karuhusu uwepo wa shetani nimekujibu angalia quote yangu ya mwisho.
 
sijamfananisha mungu na bill gates wewe ndo ulianza kumsifia sana bill gates na limited resources zake zote anafanya mambo makubwa kuliko mngu.


Kuhusu mungu kuweka condition ambayo ambayo shetani hawezi kutokea naweza nikasema kwamba cha kwanza coz yy ni muweza yote hakutaka cha pili ni kwamba kusingekuwa na umuhimu wa kutupa sisi akili(reasoning capacity),iweje atupe akili wakati kila kitu ameshatutafunia tayari kila kitu kipo on the right track sasa hapo mtu unakuwa unamtest nini?? Ni sawa na wewe mwalimu kumfundisha mwanafunzi wako alafu kumpa mtihani at the same time unampa na majibu alafu ukae ujisifie eti mwanafunzi kafaulu,ukitaka kumchallenge mtu(mwanfuzni wako) mpe mtihani ficha majibu lakini ulishamfundisha jinsi ya kupata majibu sahihi(dini) so akifeli atakuwa responsible coz ushaelekezwa na kupewa nafasi ya kurudia na kurudia(kuomba toba).

Tungekuwa hatuna tofauti na wanyama wengine kama mbwa,tembo n.k ndo maana wale ingwaje wameumbwa na mungu ila hawako responsible na matendo yao kwamba watakuja kuhukumiwa kwa waliyoyafanya kwa sababu hawajateremshiwa dini na pia reasoning ya kipi sahihi kipi sicho ambayo binaadamu wanayo wao hawana.

Lazima niseme kwamba kama mungu na uwezo wake usio mipaka na upendo wake wote kashindwa kuzuia polio kwa miska yote hiyo, mpaka watu wakagundua chanjo na Bill Gates ku fund campaign ya kutokomeza polio, proportionately speaking, Bill Gates kamuacha mungu sana tu.

Mungu lashindwa kuumba ulimwengu wenye parameters za kufanya binadamu wajifunze lakini.watoto wadogo wasio hatia wasife kwa polio, taunami, matetemeko na majanga mengine?

Mungu gani mqenye uqezo wote anaweza kuumba ulimwengu wenye parameters kama hizi?

Unatika kumfananisha mungu na Bill Gates, unakwenda kumfananisha mungu.na mwalimu.

Analogies zote mbili ni mbovu, wote Bill Gates na mwalomun hawana uwezo, ujuzi wala upendo wa mungu.

Utawafananishaje?

Speaking of wanyama walioumbwa na mungu lakini wasio na reaponaibility kwa matendo yao kwa sababu hawana reasoning, kwa nini mungu mqenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe viumbe na kuvibagua, vingine avipe reasoning ability vingine asivipe?

Hata baba wa kibinadamu tu akimpa mtoto mmoja hela ya matumizi na kumnyima mwingine wakati ana uwezo wa kumpa tutamsema kwamba hana maamuzi ya haki.

Sembuse mungu?
 
hayo maswali yaako yoote kwamba kwa nini mungu karuhusu uwepo wa shetani nimekujibu angalia quote yangu ya mwisho.

Hujajibu.

Nimekuuliza kwa.nini mungu hakuumba ulimwengu ambao hauna maovu kama watoto wachanga kufa kwa majanga, lakini ambao binadamu bado anaweza kujifunza?

Hujajibu hili.

I mean it is not a must for children to die violent deaths for humans to learn.

Is it now?
 
Back
Top Bottom